
MASOMO YA MISA, MACHI 20, 2022: JUMAPILI YA 3 YA KWARESIMA
SOMO 1 - Kut. 3:1-8a, 13-15 Basi, Musa alikuwa akilichunga kunda la Yethro mkwewe, kuhani wa Midiani; akaliongoza kundi nyuma ya jangwa, akafika mpka mlima wa Mβ¦
Browse published Articles by category, tag or language. Random discovery is the default and keeps a stable order while you move through pages.

SOMO 1 - Kut. 3:1-8a, 13-15 Basi, Musa alikuwa akilichunga kunda la Yethro mkwewe, kuhani wa Midiani; akaliongoza kundi nyuma ya jangwa, akafika mpka mlima wa Mβ¦

MWANZO Zab. 47:2 Enyi watu wote, pigeni makofi, mpigieni Mungu kelele kwa sauti ya shangwe. SOMO 1 2 Fal 4:8-11,14-16 Ilikuwa siku moja, Elisha alikwenda Shunemβ¦

SOMO 1 Yer. 17:5-10 Bwana asema hivi: Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake, na moyoni mwake amemwacha Bwana. Maana ataβ¦

SOMO 1: Yos. 5:9a, 10-12Bwana akamwambia Yoshua, Siku hii ya leo nimeivingirisha hiyo aibu ya Misri iondoke juu yenu.Basi wana wa Israeli wakapanga hema zao hukβ¦

SOMO 1 Yer. 20 : 10-13 Nimesikia mashutumu ya watu wengi; hofu ziko pande zote. Rafiki zangu wote wanaonivizia nisite, husema, Mshitaki, nasi tutamshitaki; huenβ¦

MWANZO:Mdo. 1:11 Enyi watu wa Galilaya, mbona mmesimama mkitazama mbinguni? Atakuja vivyo hivyo mlivyomwona akienda zake mbinguni, Aleluya. SOMO 1 Mdo. 1:1-11 Kβ¦

SOMO I Isa. 22:19-23 Bwana, Bwana wa majeshi, asema hivi: Nami nitakusukuma na kukutoa katika mahali pako, naye atakushusha utoke hapa usimamapo. Na itakuwa katβ¦

SOMO 1 Hos. 5:15-6:6 Bwana asema: Katika taabu yao watanitafuta kwa bidii: Njoni, tumrudie Bwana; maana yeye amerarua, na yeye atatuponya; yeye amepiga, na yeyeβ¦

SOMO 1Hek. 2:1, 12-22Wasiomsadikia Mungu walisema hivi, huku wakimfikiri yasiyo kweli, Zaidi ya hayo na tumwotee mtu wa haki, maana hatuna haja naye, naye yu kiβ¦

Aleluya, aleluya, Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristu, awape roho ya hekima mjue tumaini la mwito wake. Aleluya.

SOMO 1Yer. 7:23-28 Naliwaamuru neno hili, nikisema, Sikilizeni sauti yangu, nami nitakuwa Mungu wenu, nanyi mtakuwa watu wangu; mkaende katika njia ile yote nitβ¦

MASOMO YA MISA, MACHI 25, 2022IJUMAA, JUMA LA 3 LA KWARESIMASHEREHE YA KUPASHWA HABARI YA KUZALIWA BWANA SOMO 1Isa. 7:10 β 14Bwana alisema na Ahazi akinena, Jitβ¦

SOMO 1 Dan.13:41-62 Palikuwa na mtu mmoja jina lake Yoakimu, akikaa Babeli, naye ameoa mke jina lake Susana binti Helkia, mwanamke mzuri sana na mcha Mungu. Wazβ¦

SOMO 1 Mdo. 2:1-11 Hata ilipotimia siku ya Pentekoste walikuwako wote mahali pamoja. Kukaja ghafula toka mbinguni uvumi kama uvumi wa upepo wa nguvu ukienda kasβ¦

SOMO 1 - Kumb. 4:1, 5-9 Musa aliwaambia makutano: Ee Israeli, zisikilizeni amri na hukumu niwafundishazo, ili mmzitende; mpate kuishi na kuingia na kuimiliki ncβ¦

SOMO 1 Kut. 19 :2-6 Waisraeli walipokuwa wameondoka Refidimu na kufika jangwa la Sinai, wakatua katika lile jangwa; wakapiga kambi huko wakiukabili mlima. Musa β¦

SOMO 1Isa. 65:17-21 Bwana asema: Tazama, mimi naumba mbingu mpya na nchi mpya, na mambo ya kwanza hayatakumbukwa, wala hayataingia moyoni. Lakini furahini, mkasβ¦

SOMO 1Mwa. 37:3-4, 12-13, 17-28 Israeli akampenda Yusufu kuliko wanawe wote, maana ni mwana wa uzee wake, akamfanyia kanzu ndefu. Ndugu zake wakaona ya kuwa babβ¦

SOMO 1 Yer. 18-18-20 Waliposema, Njoni na tufanye mashauri juu ya Yeremia; maana sheria haitampotea kuhani, wala shauri halitampotea mwenye hekima, wala neno haβ¦

SOMO 1: Isa. 43:16-21Bwana asema hivi, yeye afanyaye njia katika bahari, na mahali pa kupita katika maji yenye nguvu; atoaye gari na farasi, jeshi la askari na β¦
SOMO 1 Isa. 50:4 β 7 Bwana Mungu amenipa ulimi wa hao wafundishwao, nipate kujua jinsi ya kumtegemeza kwa maneno yeye aliyechoka, huniamsha asubuhi baada ya asuβ¦

Aleluya Aleluya! Mimi ndimi njia, na ukweli, na uzima, asema Bwana; Mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi. Aleluya

SOMO 1 Mdo 20 : 28-38 Paulo aliwaambia wakuu wa kanisa ya Efeso: Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangβ¦

SOMO 1 2 Fal. 5:1-15 Naamani, jemadari wa jeshi la mfalme wa Shamu, alikuwa mtu mkubwa mbele ya bwana wake, na mwenye kuheshimiwa, kwa sababu kwa mkono wake Bwaβ¦