Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

MASOMO YA MISA, JULAI 24, 2021: JUMAMOSI, JUMA LA 16 LA MWAKA

Featured Image

SOMO 1

Kut. 24:3-8

Musa aliwambia watu maneno yote ya Bwana, na hukumu zake zote; watu wote wakajibu kwa sauti moja, wakasema, Maneno yote aliyoyanena Bwana tutayatenda. Basi Musa akayaandika maneno yote ya Bwana, akaondoka asubuhi na mapema, akajenga madhabahu chini ya mlima, na nguzo kumi na mbili, kwa hesabu ya kabila kumi na mbili za Israeli, akapeleka vijana wa wana wa Israeli, waliotoa sadaka za kuteketezwa, wakamchinjia Bwana sadaka za amani za ng’ombe. Musa akatwaa nusu ya ile damu, akaitia katika mabakuli; na nusu ya ile damu akainyunyiza juu ya madhabahu. Kisha akakitwaa kitabu cha agano akakisoma masikioni mwa watu; wakasema, Hayo yote aliyoyanena Bwana tutayatenda, nasi tutatii. Musa akaitwaa ile damu, akawanyunyizia watu, akasema, Hii ndiyo damu ya agano alilolifanya Bwana pamoja nanyi katika maneno haya yote.

Neno la Bwana... Tumshukuru Mungu.

WIMBO WA KATIKATI

Zab. 50:1-2, 5-6, 14-15 (K) 14 (K)

Mtolee Mungu dhabihu za kushukuru. Mungu, Mungu Bwana, amenena, ameiita nchi, Toka maawio ya jua hata machweo yake. Tokea Sayuni,, ukamilifu wa uzuri, Mungu amemulika. (K)

Nikusanyieni wacha Mungu wangu, Waliofanya agano nami kwa dhabihu. Na mbingu zitatangaza haki yake, Kwa maana Mungu ndiye aliye hakimu. (K)

Mtolee Mungu dhabihu za kushukuru; Mtimizie Aliye juu nadhiri zako. Ukaniite siku ya mateso; Nitakuokoa, na wewe utanitukuza. (K)

SHANGILIO

Zab. 8:15

Aleluya, aleluya,

Wanabarikiwa wale ambao kwa unyofu na wema wa mioyo yao, hulisikia neno la Mungu na kulishika.

Aleluya.

INJILI

Mt. 13:24 – 30

Yesu aliwatolea makutano mfano akisema, Ufalme wa mbinguni umefanana na mtu aliyepanda mbegu njema katika konde lake; lakini watu walipolala akaja adui yake akapanda magugu katikati ya agano, akaenda zake. Baadaye majani ya ngano yalipomea na kuzaa, yakaonekana na magugu. Watumwa wa mwenye nyumba wakaenda wakamwambia, Bwana, hukupanda mbegu njema katika konde lako? Limepata wapi basi magugu? Akawaambia, Adui ndiye aliyetenda hivi. Watumwa wakamwambia, Basi, wataka twende tukayakusanye? Akasema, La; msije mkakusanya magugu, na kuzing’oa ngano pamoja nayo. Viacheni vyote vikue hata wakati wa mavuno; na wakati wa mavuno nitawaambia wavunao, Yakusanyeni kwanza magugu, myafunge matita matita mkayachome; bali ngano ikusanyeni ghalani mwangu.

Neno la Bwana... Sifa kwako Ee Kristo.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Edwin Ndambuki (Guest) on February 12, 2024

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Lucy Wangui (Guest) on January 29, 2024

Neema na amani iwe nawe.

Margaret Mahiga (Guest) on January 2, 2024

Endelea kuwa na imani!

Betty Akinyi (Guest) on December 5, 2023

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

James Malima (Guest) on December 4, 2023

Mungu akubariki!

Hellen Nduta (Guest) on September 17, 2023

Mwamini katika mpango wake.

Miriam Mchome (Guest) on July 24, 2023

Rehema zake hudumu milele

Jackson Makori (Guest) on June 24, 2023

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Andrew Mchome (Guest) on January 22, 2023

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Peter Mugendi (Guest) on January 20, 2023

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Lydia Mahiga (Guest) on January 7, 2023

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

George Tenga (Guest) on November 19, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Grace Majaliwa (Guest) on August 30, 2022

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Janet Sumaye (Guest) on August 5, 2022

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

John Mushi (Guest) on May 18, 2022

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Nancy Akumu (Guest) on February 20, 2022

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Josephine Nekesa (Guest) on February 19, 2022

Katika imani, yote yanawezekana

Simon Kiprono (Guest) on January 28, 2022

Mungu ni mwema, wakati wote!

Jackson Makori (Guest) on January 3, 2022

Nguvu hutoka kwa Bwana

Miriam Mchome (Guest) on December 25, 2021

Tumaini ni nanga ya roho

Ruth Wanjiku (Guest) on August 27, 2021

Baraka kwako na familia yako.

George Ndungu (Guest) on December 4, 2020

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Andrew Odhiambo (Guest) on September 6, 2020

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Vincent Mwangangi (Guest) on July 5, 2020

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Rose Lowassa (Guest) on May 11, 2020

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Esther Cheruiyot (Guest) on January 15, 2020

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Rose Mwinuka (Guest) on January 10, 2020

Dumu katika Bwana.

Esther Nyambura (Guest) on June 23, 2019

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Moses Kipkemboi (Guest) on June 15, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Andrew Mchome (Guest) on June 11, 2019

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

James Malima (Guest) on June 9, 2019

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Monica Lissu (Guest) on May 7, 2019

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

George Ndungu (Guest) on January 28, 2019

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Grace Mushi (Guest) on October 26, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

Samson Mahiga (Guest) on October 15, 2018

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Joseph Kiwanga (Guest) on September 9, 2018

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Dorothy Nkya (Guest) on June 19, 2018

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Ann Awino (Guest) on December 11, 2017

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Charles Mrope (Guest) on December 5, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

John Kamande (Guest) on June 23, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Betty Akinyi (Guest) on February 18, 2017

Nakuombea 🙏

Lydia Wanyama (Guest) on August 15, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Philip Nyaga (Guest) on July 16, 2016

Sifa kwa Bwana!

Anthony Kariuki (Guest) on April 11, 2016

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Raphael Okoth (Guest) on March 1, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Victor Kamau (Guest) on December 14, 2015

Rehema hushinda hukumu

Diana Mallya (Guest) on December 2, 2015

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Elizabeth Malima (Guest) on September 4, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 8, 2015

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Andrew Mchome (Guest) on April 9, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Related Posts

MASOMO YA MISA, MACHI 21, 2022: JUMATATU , JUMA LA 3 LA KWARESIMA

MASOMO YA MISA, MACHI 21, 2022: JUMATATU , JUMA LA 3 LA KWARESIMA

SOMO 1

2 Fal.... Read More

MASOMO YA MISA, APRILI 1, 2023: JUMAMOSI, JUMA LA 5 LA KWARESIMA

SOMO 1

SOMO 1

SOMO 1

Hos. 5... Read More

MASOMO YA MISA, JUNI 25, 2023: JUMAPILI YA 12 YA MWAKA

MASOMO YA MISA, JUNI 25, 2023: JUMAPILI YA 12 YA MWAKA

SOMO 1

SOMO 1

SOMO IRead More

MASOMO YA MISA, DOMINIKA YA 4 YA KWARESIMA, MARCHI 27, 2022

MASOMO YA MISA, DOMINIKA YA 4 YA KWARESIMA, MARCHI 27, 2022

SOMO 1: Yos. 5:9a, 10-12

Bwana akamwambia Yoshua, Siku hii ya leo nimeivingirisha hiyo ai... Read More

MASOMO YA MISA, MACHI 23, 2022: JUMATANO JUMA LA 3 LA KWARESIMA

MASOMO YA MISA, MACHI 23, 2022: JUMATANO JUMA LA 3 LA KWARESIMA

MASOMO YA MISA, MACHI 23, 2022: JUMATANO JUMA LA 3 LA KWARESI

SOMO 1 - Kumb. 4:1, 5-9

... Read More
📖 Explore More Articles
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About