Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Maswali na Majibu kuhusu Mafumbo ndani ya Kanisa Katoliki

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Neno hili kuwa nafsi tatu kwa Mungu mmoja laitwaje?
Laitwa fumbo la Utatu Mtakatifu. (Lk, 3:21-22)

Kanisa linafafanuaje fumbo la umwilisho?
Linatamka kuwa Yesu Kristo ni Mungu kweli na Mtu kweli. (Ebr 4:15)

Nini maana ya neno "Fumbo"?
Fumbo ni ukweli ambao hatuwezi kuelewa kikamilifu, lakini tunasadiki kwa kuwa Mungu hutufumbulia. (Math 11:27)

Katika dini yetu yapo mafumbo hasa mangapi?
Mafumbo matatu
1. Fumbo la Utatu Mtakatifu 2. Fumbo la Mungu Kujifanya mtu 3. Fumbo la Ukombazi wetu
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Frank Sokoine Guest Jun 12, 2024
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Joyce Nkya Guest Apr 23, 2024
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Emily Chepngeno Guest Apr 22, 2024
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Francis Njeru Guest Mar 14, 2024
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Anna Malela Guest Feb 26, 2024
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Nora Kidata Guest Feb 26, 2024
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Nora Kidata Guest Dec 1, 2023
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Fredrick Mutiso Guest Oct 12, 2023
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Janet Mbithe Guest Apr 17, 2023
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Margaret Anyango Guest Dec 27, 2022
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Lydia Mutheu Guest Jul 7, 2022
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Mary Kendi Guest Jul 3, 2022
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Catherine Mkumbo Guest Jun 26, 2022
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Samuel Omondi Guest Jun 7, 2022
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Daniel Obura Guest May 6, 2022
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Diana Mallya Guest Feb 21, 2022
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Victor Kimario Guest Jan 5, 2022
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Violet Mumo Guest Jul 16, 2021
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Catherine Naliaka Guest Jun 30, 2021
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ David Ochieng Guest Jan 31, 2021
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Peter Otieno Guest Jan 3, 2021
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Nancy Komba Guest Dec 12, 2020
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Jane Muthoni Guest Oct 25, 2020
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Raphael Okoth Guest Aug 21, 2020
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Stephen Amollo Guest Jul 13, 2020
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Diana Mallya Guest Jun 9, 2020
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Nicholas Wanjohi Guest Mar 24, 2020
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Moses Kipkemboi Guest Mar 12, 2020
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ John Lissu Guest Jan 26, 2020
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Dorothy Mwakalindile Guest Nov 2, 2019
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Benjamin Kibicho Guest May 10, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Catherine Mkumbo Guest Mar 30, 2019
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Edward Lowassa Guest Mar 28, 2019
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Josephine Nekesa Guest Jan 24, 2019
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Mary Kendi Guest Jan 4, 2019
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Elizabeth Mrope Guest Sep 17, 2018
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Fredrick Mutiso Guest Sep 7, 2018
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Mary Mrope Guest Mar 27, 2018
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Susan Wangari Guest Oct 20, 2017
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Esther Nyambura Guest Jul 29, 2017
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Margaret Anyango Guest Jul 25, 2017
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Sarah Mbise Guest Jul 19, 2017
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ James Kimani Guest May 28, 2017
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Carol Nyakio Guest May 21, 2017
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ George Mallya Guest Feb 13, 2017
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Victor Malima Guest Jan 23, 2017
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Nov 6, 2016
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Paul Ndomba Guest Aug 22, 2016
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Edward Chepkoech Guest Jul 15, 2015
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Michael Onyango Guest May 31, 2015
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About