Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Amri ya Nane ya Mungu: Makatazo na Amri

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Amri ya Nane ya Mungu inatukataza nini?

Inakataza haya:

1. Ushahidi wa uongo, kiapo cha uongo na uongo wowote.
2. Hukumu isiyo ya haki, usengenyaji, uchafuzi wa jina na usingiziaji.
3. Kusifu watu uongo, kujisifu mwenyewe au ulaghai.


Katika Amri ya Nane Mungu anaamuru nini?

Katika Amri ya Nane Mungu anaamuru tuseme ukweli na tulinde heshima ya wengine. (Mt 5:37, Yak 5:12).


Twaharibu heshima ya wengine kwa namna gani?

Twaharibu Kwa

1. Kuwadhania vibaya
2. Kuwasengenya (Mith 12:22)
3. Kuwasingizia na kuleta uzushi. (Mdo 5:1-11; Law 19:11)


Aliyeharibu heshima ya mwingine yampasa afanye nini?

Aliyeharibu heshima ya mwingine yampasa kuirudisha kadiri awezavyo.


Tunalinda heshima ya wengine kwa namna gani?

Tunalinda heshima ya wengine kwa kuwaza na kusema mema juu yao. (1Kor 13:6)

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Andrew Odhiambo Guest Jul 5, 2024
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Andrew Odhiambo Guest Apr 21, 2024
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ John Kamande Guest Apr 8, 2024
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Betty Kimaro Guest Dec 13, 2023
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Dorothy Mwakalindile Guest Aug 25, 2023
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Grace Majaliwa Guest Aug 12, 2023
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ John Mwangi Guest Apr 3, 2023
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Elizabeth Mrope Guest Nov 26, 2022
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Susan Wangari Guest Nov 6, 2022
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Sarah Mbise Guest Sep 16, 2022
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Edward Chepkoech Guest Sep 14, 2022
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Grace Mushi Guest Aug 28, 2022
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Grace Wairimu Guest Jul 23, 2022
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Nancy Komba Guest Apr 26, 2022
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Susan Wangari Guest Apr 24, 2022
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Bernard Oduor Guest Mar 17, 2022
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Charles Wafula Guest Jan 9, 2022
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Lydia Mahiga Guest Oct 18, 2021
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Moses Kipkemboi Guest Sep 11, 2021
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Robert Okello Guest Jun 8, 2021
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Nora Lowassa Guest Apr 7, 2021
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Kevin Maina Guest Feb 4, 2021
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Lydia Wanyama Guest Feb 3, 2021
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Samuel Omondi Guest Jan 14, 2021
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Benjamin Kibicho Guest Oct 1, 2020
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ John Malisa Guest Sep 19, 2020
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Nancy Kabura Guest Sep 12, 2020
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Faith Kariuki Guest Apr 24, 2020
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Tabitha Okumu Guest Apr 2, 2020
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Simon Kiprono Guest Feb 28, 2020
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Betty Akinyi Guest Sep 27, 2019
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ George Mallya Guest Aug 10, 2019
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Peter Mwambui Guest Jul 24, 2019
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Anna Kibwana Guest May 19, 2019
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Miriam Mchome Guest May 10, 2019
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Carol Nyakio Guest May 8, 2019
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ John Malisa Guest Nov 10, 2018
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Peter Mbise Guest Oct 16, 2018
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Janet Mwikali Guest Jul 5, 2018
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Elizabeth Malima Guest Jan 10, 2018
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Jacob Kiplangat Guest Mar 31, 2017
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Henry Mollel Guest Mar 13, 2017
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Daniel Obura Guest Mar 7, 2017
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Peter Otieno Guest Jan 29, 2017
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Janet Sumaye Guest Oct 27, 2016
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ John Kamande Guest Sep 26, 2016
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Sharon Kibiru Guest Sep 25, 2016
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Joseph Kiwanga Guest Jul 30, 2016
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Lydia Mutheu Guest Oct 17, 2015
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Janet Mwikali Guest Jul 21, 2015
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About