Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

 

236 💬 ⬇️

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Featured Image
236 💬 ⬇️

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Featured Image
MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki
236 💬 ⬇️

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Featured Image
236 💬 ⬇️

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Featured Image
236 💬 ⬇️

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Featured Image
238 💬 ⬇️

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Featured Image
236 💬 ⬇️

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Featured Image
236 💬 ⬇️

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Featured Image
236 💬 ⬇️

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Featured Image
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About