Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoniโ€ฆ

Mara blenda priiiiiโ€ฆ juiceโ€ฆ ama milk shakeโ€ฆ. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shakeโ€ฆAnza kukuna naziโ€ฆ

Chambua mnafuโ€ฆ

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemkaโ€ฆ katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoniโ€ฆ hahahaha kwenye frijiโ€ฆ wala hatumi..

Hahaahhaโ€ฆ utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supuโ€ฆ

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapatiโ€ฆMpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeivaโ€ฆMpe ale..Mshushie na glass ya mtindiโ€ฆHahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipigeโ€ฆ

Hahahahahahaโ€ฆ.Baada ya hapo acha apumzikeโ€ฆ aogeโ€ฆ

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoniโ€ฆ

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamaniโ€ฆ

Hahahahahaโ€ฆ yani kwa raha ya supuโ€ฆ nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu janaโ€ฆ hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njooโ€ฆ unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwaโ€ฆ

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongoโ€ฆ. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhaziliโ€ฆ
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Ruth Kibona (Guest) on July 22, 2024

๐Ÿ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 16, 2024

๐Ÿ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Stephen Kikwete (Guest) on June 8, 2024

๐Ÿ˜„๐Ÿ˜…๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 18, 2024

Hii ni kali sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Charles Wafula (Guest) on April 12, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Sarah Karani (Guest) on March 31, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Elizabeth Mrema (Guest) on March 19, 2024

๐Ÿ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Janet Wambura (Guest) on March 2, 2024

๐Ÿ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Nancy Kabura (Guest) on February 19, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on February 14, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

John Mushi (Guest) on February 9, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on February 4, 2024

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†

Patrick Akech (Guest) on December 28, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! ๐Ÿ‘๐Ÿคฃ

Agnes Sumaye (Guest) on November 27, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Peter Otieno (Guest) on November 26, 2023

๐Ÿ˜ Hii ni dhahabu!

Mercy Atieno (Guest) on November 12, 2023

๐Ÿคฃ Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Ramadhan (Guest) on October 28, 2023

๐Ÿ˜† Hii imenigonga kweli!

Samuel Omondi (Guest) on October 23, 2023

๐Ÿ˜† Hiyo punchline!

Tabu (Guest) on October 16, 2023

๐Ÿคฃ Hii kichekesho ni nzuri sana!

Chiku (Guest) on September 19, 2023

๐Ÿ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Fadhili (Guest) on September 4, 2023

๐Ÿ˜… Bado nacheka!

Stephen Mushi (Guest) on August 6, 2023

Hii imenibamba sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…

Robert Okello (Guest) on July 24, 2023

๐Ÿ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joyce Aoko (Guest) on June 20, 2023

Nimefurahia sana hii! ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜Š

Andrew Mahiga (Guest) on May 25, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š

Joseph Kiwanga (Guest) on May 10, 2023

๐Ÿ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mashaka (Guest) on April 30, 2023

๐Ÿ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Henry Mollel (Guest) on April 24, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Zubeida (Guest) on April 19, 2023

๐Ÿคฃ Ninashiriki hii na kila mtu!

George Mallya (Guest) on April 7, 2023

๐Ÿ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Charles Mboje (Guest) on April 6, 2023

๐Ÿ˜ Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Alice Mwikali (Guest) on February 22, 2023

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜†

Aziza (Guest) on February 22, 2023

๐Ÿ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Elizabeth Mrope (Guest) on February 14, 2023

Huyu alikuwa na point! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ

Chris Okello (Guest) on February 2, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

James Malima (Guest) on January 23, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Monica Lissu (Guest) on January 6, 2023

๐Ÿ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jaffar (Guest) on December 26, 2022

๐Ÿ˜ Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Jacob Kiplangat (Guest) on November 29, 2022

Nimecheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Omari (Guest) on November 27, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! ๐Ÿ˜„

Grace Wairimu (Guest) on November 21, 2022

๐Ÿ˜… Bado ninacheka!

John Kamande (Guest) on November 11, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on October 29, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Samuel Were (Guest) on October 26, 2022

๐Ÿ˜†๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜„

Isaac Kiptoo (Guest) on October 23, 2022

๐Ÿ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Lucy Mushi (Guest) on October 19, 2022

Hii imenichekesha sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on September 20, 2022

Hii imenifurahisha sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š

Ruth Mtangi (Guest) on September 6, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜„

Shani (Guest) on August 31, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! ๐Ÿ’ฐ

Alex Nakitare (Guest) on August 29, 2022

๐Ÿ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Victor Sokoine (Guest) on August 18, 2022

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 9, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ๐Ÿ˜†๐Ÿ‘

Shamsa (Guest) on August 2, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! ๐Ÿ˜œ

Susan Wangari (Guest) on August 1, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on July 31, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! ๐Ÿ˜†๐Ÿ‘

Habiba (Guest) on July 31, 2022

๐Ÿ˜„ Kali sana!

Betty Kimaro (Guest) on July 26, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on July 2, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜†

Nyota (Guest) on June 30, 2022

๐Ÿ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mgeni (Guest) on June 26, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! ๐Ÿ˜…

Related Posts

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.๐Ÿ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

๐Ÿ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
โ€ขโ€ขUtaota umeokota dolla ukiamka emptyโ€ฆ
โ€ขโ€ขUtaota... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beibโ€ฆ
B... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

๐Ÿ“– Explore More Articles | โœ๐Ÿป Re-Write Articles
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About