AckySHINE AckySHINE
Menu
AckyShine

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Featured Image
Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: Kwanini unasema hivyo?
236 💬 ⬇️

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Featured Image
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa. Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao. Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.
236 💬 ⬇️

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue.
Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika.
Ilikua ni bahati tu alimvizia na
kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua

237 💬 ⬇️

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Featured Image

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita binti mmoja anayejiuza akamsogelea yule mke wa jamaa

 

237 💬 ⬇️

Kama simu yako ina wifi

Featured Image
236 💬 ⬇️

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Featured Image
Mume akamwambia mke wake: "Funga macho yako tufanye maombi" Akaanza kwa Kimombo:- "… Lord I pray for Grace, I pray for Mercy, I pray 4 Joy, I pray 4 Love, I pray 4 Hope, I pray 4 GLORY, I pray 4 Faith, I pray 4…."
237 💬 ⬇️

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Featured Image
Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA?
236 💬 ⬇️

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Featured Image
237 💬 ⬇️

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Featured Image
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About