Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Nimeitoa sehemu

Featured Image
236 💬 ⬇️

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Featured Image
236 💬 ⬇️

Wasichana wafupi wanafurahisha

Featured Image
236 💬 ⬇️

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Featured Image

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wang hata mimi nilikuwa nataka nikuambie hivyo hivyo

 

236 💬 ⬇️

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Featured Image
236 💬 ⬇️

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Featured Image

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai akachukua tax wakati wa kurudi.walipofika sasa shughuli ilikuwa hivi.

Masai: we dureva? Naulisa Ng'ombe na mbusi ipi ngali?
Dereva: Ni ng'ombe ghali Masai.

236 💬 ⬇️

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Featured Image

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE, MJOMBA KULE MWISHO.
MA-MDOGO UNAENDA?,
NGOJA ASHUKE BIBI.
HAYA SHEMEJI UMEIKUTA YA KUWAH.
Babu njoo ukae!
Baba angu hapo tusogee kidogo,

 

236 💬 ⬇️

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

 

236 💬 ⬇️

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Featured Image
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About