Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical school.

02.πŸ‘‰ Wale waliokuwa wa pili, wanachukua MBA na LLB na kuja kuwa Mameneja wa
wanafunzi walioshika nafasi ya kwanza.

03.πŸ‘‰ Wale waliokuwa wa tatu, wanageukia
Siasa na kuwaongoza wote hapo juu.
Yaani wa kwanza na wa pili.

04.πŸ‘‰ Wale waliofeli, wanaenda Jeshi, hawa wakigoma, basi hao wa juu
wote hawana raha.

05.πŸ‘‰ Wale waliopata Zero na waliokataa
shule wanakuwa waganga wa kienyeji,
wote hapo juu watamtafuta huyu, pale
mambo yao yanapokwenda kombo. Tuache kudharauliana, kila mtu ni boss akiwa kwenye nafasi yake.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‰πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸƒπŸΏπŸƒπŸΏπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œ

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Jamal (Guest) on July 4, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Sharon Kibiru (Guest) on June 26, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on June 13, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 10, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

George Wanjala (Guest) on June 9, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Lydia Wanyama (Guest) on May 3, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Maneno (Guest) on April 16, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Mashaka (Guest) on April 7, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Richard Mulwa (Guest) on March 10, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on February 9, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Kiza (Guest) on February 4, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Mwagonda (Guest) on January 16, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 18, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joseph Njoroge (Guest) on November 5, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on November 2, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Anna Mchome (Guest) on October 28, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Peter Mwambui (Guest) on October 15, 2023

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Joseph Kawawa (Guest) on September 26, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on September 23, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Jackson Makori (Guest) on September 9, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Joseph Mallya (Guest) on September 2, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Andrew Mchome (Guest) on August 29, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Joseph Kawawa (Guest) on July 29, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on July 24, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joseph Kiwanga (Guest) on July 9, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on July 8, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Selemani (Guest) on July 7, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Agnes Sumaye (Guest) on June 22, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Mwinuka (Guest) on May 9, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Moses Kipkemboi (Guest) on April 16, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 19, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mary Kidata (Guest) on March 7, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on February 28, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mustafa (Guest) on February 27, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on February 13, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Lucy Mushi (Guest) on February 5, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

James Malima (Guest) on January 31, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mary Njeri (Guest) on January 18, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Robert Ndunguru (Guest) on January 14, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on December 21, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

George Tenga (Guest) on December 9, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Victor Malima (Guest) on December 5, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Dorothy Nkya (Guest) on November 18, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Betty Cheruiyot (Guest) on November 17, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Fikiri (Guest) on November 9, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Bakari (Guest) on October 23, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Rose Amukowa (Guest) on October 9, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Wairimu (Guest) on September 17, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

George Tenga (Guest) on August 13, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Sarah Karani (Guest) on July 11, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on June 26, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mwafirika (Guest) on June 24, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Victor Sokoine (Guest) on June 11, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on May 30, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on April 18, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on April 1, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on March 6, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Nancy Kawawa (Guest) on February 19, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Rose Mwinuka (Guest) on February 10, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mwanaidi (Guest) on January 25, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Related Posts

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About