Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Date: March 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maandazi nipate kunywa chai. Baada ya muda namuona anarudi huku analamba askrimu ya AZAM kama Simba vile. Nikamuuliza maandazi yako wapi? Akanijibu eti wakati anafika yanapouzwa maandazi akagundua kuwa kapoteza hela yangu, hivyo akaanza kurudi, ila bahati nzuri wakati anarudi ili kuja kunitaarifu kuhusu kupotea kwa hela yangu, njiani akaokota elfu 1 ambayo kuna mtu alipoteza ndio akaamua kununua askrimuβ¦.kwa sasa niko polisi na mtoto yuko dispensari na mamakeπππππππ
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
MADENGE
HAKOSI
VISA
baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw...
Read More
FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU...
Read More
Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyesheβ¦
Anna: Kitu gan?...
Read More
Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik...
Read More
Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hiiβ¦
β¦Samahani baby kama unavyojua nimeokoka...
Read More
BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI
na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ...
Read More
Breaking news π₯
Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na
Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny...
Read More
Matatizo ni nini???
`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban...
Read More
Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.
Jamaa akafoka,...
Read More
Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana
..unaenda kuoga, unakumbuka k...
Read More
π’WAZO LA JIONI HII π’
KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU...
Read More
George Tenga (Guest) on July 19, 2024
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Mercy Atieno (Guest) on July 17, 2024
π Umeimaliza kabisa!
Tabitha Okumu (Guest) on July 11, 2024
π€£ Hii imenigonga vizuri!
Sharifa (Guest) on June 7, 2024
π Hiyo punchline!
Elizabeth Mrope (Guest) on June 7, 2024
π Ninaihifadhi kwa baadaye!
Mzee (Guest) on June 2, 2024
π Kichekesho kamili!
Alice Wanjiru (Guest) on May 21, 2024
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
Mazrui (Guest) on May 14, 2024
π Bado nacheka!
Patrick Mutua (Guest) on May 6, 2024
Hii imenifurahisha sana! π€£π
Robert Okello (Guest) on April 28, 2024
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! π
Khalifa (Guest) on April 13, 2024
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
Janet Sumaye (Guest) on April 1, 2024
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Carol Nyakio (Guest) on March 30, 2024
π Nilihitaji hii!
Samson Tibaijuka (Guest) on March 22, 2024
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ
Mwalimu (Guest) on March 16, 2024
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Victor Malima (Guest) on February 28, 2024
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
Martin Otieno (Guest) on February 21, 2024
π Naihifadhi hii!
Stephen Malecela (Guest) on February 14, 2024
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Grace Mushi (Guest) on February 13, 2024
ππ
Diana Mumbua (Guest) on January 13, 2024
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Anna Sumari (Guest) on January 1, 2024
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Hawa (Guest) on November 27, 2023
π€£ Nalia kwa kicheko kweli!
Thomas Mwakalindile (Guest) on November 19, 2023
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Zubeida (Guest) on November 17, 2023
π Siwezi kuacha kucheka na hii!
John Lissu (Guest) on October 21, 2023
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Miriam Mchome (Guest) on October 2, 2023
ππ
Paul Kamau (Guest) on September 10, 2023
π Nilihitaji kicheko hicho!
Joseph Njoroge (Guest) on August 5, 2023
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
Irene Akoth (Guest) on July 30, 2023
π Kichekesho gani!
Joseph Mallya (Guest) on July 23, 2023
πππ
Diana Mallya (Guest) on June 21, 2023
Mna talent ya jokes! ππ
Grace Wairimu (Guest) on June 18, 2023
Hii ni ya kufurahisha sana! ππ
Kenneth Murithi (Guest) on June 16, 2023
π€£ Sikutarajia hiyo!
Nora Lowassa (Guest) on June 14, 2023
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Henry Mollel (Guest) on May 29, 2023
Hii imenichekesha sana! ππ
Betty Akinyi (Guest) on May 29, 2023
Nimecheka hadi machozi π€£π
Rabia (Guest) on May 11, 2023
π Kali sana!
Lydia Mzindakaya (Guest) on March 28, 2023
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Isaac Kiptoo (Guest) on March 28, 2023
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
Salum (Guest) on March 21, 2023
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! π
Zakia (Guest) on March 10, 2023
π Dhahabu ya vichekesho!
Jackson Makori (Guest) on March 3, 2023
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Yusra (Guest) on February 16, 2023
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! π
Lucy Kimotho (Guest) on February 9, 2023
Nimefurahia hii sana! ππ
Frank Sokoine (Guest) on January 30, 2023
ππππ
Sarah Achieng (Guest) on January 20, 2023
Hii imenibamba sana! ππ
Benjamin Kibicho (Guest) on January 1, 2023
ππ€£ππ
Robert Ndunguru (Guest) on December 22, 2022
Kweli mna ucheshi! ππ€£
Jackson Makori (Guest) on December 19, 2022
π€£π₯π
Edwin Ndambuki (Guest) on December 11, 2022
Ucheshi wenu unanifurahisha! ππ
Patrick Mutua (Guest) on December 3, 2022
Hii ni ya maana sana! ππ
Samson Mahiga (Guest) on December 1, 2022
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Zawadi (Guest) on October 27, 2022
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! π€£
Fredrick Mutiso (Guest) on October 19, 2022
Nimecheka hadi nimesahau shida! π€£π
Janet Wambura (Guest) on October 9, 2022
ππ€£ππ
Omar (Guest) on August 17, 2022
π Umenishika vizuri!
Kevin Maina (Guest) on July 2, 2022
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
George Mallya (Guest) on June 20, 2022
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Mariam Kawawa (Guest) on June 4, 2022
Umetisha! ππ
Christopher Oloo (Guest) on May 31, 2022
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! π