Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu
Date: March 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maandazi nipate kunywa chai. Baada ya muda namuona anarudi huku analamba askrimu ya AZAM kama Simba vile. Nikamuuliza maandazi yako wapi? Akanijibu eti wakati anafika yanapouzwa maandazi akagundua kuwa kapoteza hela yangu, hivyo akaanza kurudi, ila bahati nzuri wakati anarudi ili kuja kunitaarifu kuhusu kupotea kwa hela yangu, njiani akaokota elfu 1 ambayo kuna mtu alipoteza ndio akaamua kununua askrimuβ¦.kwa sasa niko polisi na mtoto yuko dispensari na mamakeπππππππ
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:
MUME - mke wangu natubu mbele yako k...
Read More
Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua...
Read More
Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.
mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj...
Read More
Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok...
Read More
DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah...
Read More
Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiππ...
Read More
Hili nalo neno
Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka...
Read More
NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel...
Read More
Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana
..unaenda kuoga, unakumbuka k...
Read More
Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"β¦halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao...
Read More
Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin ume...
Read More
Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu...
Read More
George Tenga (Guest) on July 19, 2024
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Mercy Atieno (Guest) on July 17, 2024
π Umeimaliza kabisa!
Tabitha Okumu (Guest) on July 11, 2024
π€£ Hii imenigonga vizuri!
Sharifa (Guest) on June 7, 2024
π Hiyo punchline!
Elizabeth Mrope (Guest) on June 7, 2024
π Ninaihifadhi kwa baadaye!
Mzee (Guest) on June 2, 2024
π Kichekesho kamili!
Alice Wanjiru (Guest) on May 21, 2024
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
Mazrui (Guest) on May 14, 2024
π Bado nacheka!
Patrick Mutua (Guest) on May 6, 2024
Hii imenifurahisha sana! π€£π
Robert Okello (Guest) on April 28, 2024
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! π
Khalifa (Guest) on April 13, 2024
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
Janet Sumaye (Guest) on April 1, 2024
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Carol Nyakio (Guest) on March 30, 2024
π Nilihitaji hii!
Samson Tibaijuka (Guest) on March 22, 2024
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ
Mwalimu (Guest) on March 16, 2024
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Victor Malima (Guest) on February 28, 2024
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
Martin Otieno (Guest) on February 21, 2024
π Naihifadhi hii!
Stephen Malecela (Guest) on February 14, 2024
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Grace Mushi (Guest) on February 13, 2024
ππ
Diana Mumbua (Guest) on January 13, 2024
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Anna Sumari (Guest) on January 1, 2024
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Hawa (Guest) on November 27, 2023
π€£ Nalia kwa kicheko kweli!
Thomas Mwakalindile (Guest) on November 19, 2023
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Zubeida (Guest) on November 17, 2023
π Siwezi kuacha kucheka na hii!
John Lissu (Guest) on October 21, 2023
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Miriam Mchome (Guest) on October 2, 2023
ππ
Paul Kamau (Guest) on September 10, 2023
π Nilihitaji kicheko hicho!
Joseph Njoroge (Guest) on August 5, 2023
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
Irene Akoth (Guest) on July 30, 2023
π Kichekesho gani!
Joseph Mallya (Guest) on July 23, 2023
πππ
Diana Mallya (Guest) on June 21, 2023
Mna talent ya jokes! ππ
Grace Wairimu (Guest) on June 18, 2023
Hii ni ya kufurahisha sana! ππ
Kenneth Murithi (Guest) on June 16, 2023
π€£ Sikutarajia hiyo!
Nora Lowassa (Guest) on June 14, 2023
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Henry Mollel (Guest) on May 29, 2023
Hii imenichekesha sana! ππ
Betty Akinyi (Guest) on May 29, 2023
Nimecheka hadi machozi π€£π
Rabia (Guest) on May 11, 2023
π Kali sana!
Lydia Mzindakaya (Guest) on March 28, 2023
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Isaac Kiptoo (Guest) on March 28, 2023
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
Salum (Guest) on March 21, 2023
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! π
Zakia (Guest) on March 10, 2023
π Dhahabu ya vichekesho!
Jackson Makori (Guest) on March 3, 2023
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Yusra (Guest) on February 16, 2023
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! π
Lucy Kimotho (Guest) on February 9, 2023
Nimefurahia hii sana! ππ
Frank Sokoine (Guest) on January 30, 2023
ππππ
Sarah Achieng (Guest) on January 20, 2023
Hii imenibamba sana! ππ
Benjamin Kibicho (Guest) on January 1, 2023
ππ€£ππ
Robert Ndunguru (Guest) on December 22, 2022
Kweli mna ucheshi! ππ€£
Jackson Makori (Guest) on December 19, 2022
π€£π₯π
Edwin Ndambuki (Guest) on December 11, 2022
Ucheshi wenu unanifurahisha! ππ
Patrick Mutua (Guest) on December 3, 2022
Hii ni ya maana sana! ππ
Samson Mahiga (Guest) on December 1, 2022
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Zawadi (Guest) on October 27, 2022
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! π€£
Fredrick Mutiso (Guest) on October 19, 2022
Nimecheka hadi nimesahau shida! π€£π
Janet Wambura (Guest) on October 9, 2022
ππ€£ππ
Omar (Guest) on August 17, 2022
π Umenishika vizuri!
Kevin Maina (Guest) on July 2, 2022
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
George Mallya (Guest) on June 20, 2022
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Mariam Kawawa (Guest) on June 4, 2022
Umetisha! ππ
Christopher Oloo (Guest) on May 31, 2022
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! π