ACKYSHINE ARTICLE

Maisha ya kijijini hadi raha!!

✍️ SW - Melkisedeck ShineπŸ“… March 17, 2022πŸ’¬ 237 comments

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.

Jamaa akasema lala nae tena sina chenji!πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€