Mambo manne ambayo ni ya mwisho katika maisha ni;
- Kifo
- Hukumu
- Mbinguni
- Motoni
Mambo haya yote yanaweza kutokea wakati wowote bila kujua wala kutarajia
Kifo
Kifo ni kitu ambacho kinaweza kumpata mtu yeyote wa umri wowote awe mtoto kijana au mzee na kwa wakati wowote.
Maranyingi watu hawapendi kuongelea kuhusu kifo kwakua ni kitu ambacho kinampata kila mtu na hakipingiki wala hakina mjadala.
Maranyingi watu hawapendi kuongelea kuhusu kifo kwakua ni kitu ambacho kinampata kila mtu na hakipingiki wala hakina mjadala.
Hukumu
Baada ya kifo, inafuata hukumu, kila mtu atahukumiwa kulingana na matendo yake kama ulitenda mema utaenda mbinguni, na kama umetenda mabaya utaenda motoni.
Mbingu
Kama mtu akifa akiwa katika hali usafi wa moyo anaelekea mbinguni. Haijalishi ni kwa kipindi gani aliishi hivyo. Ila ni kwa hali gani kifo kilimkuta. Kwa sababu hii kila mtu anatakiwa aishi katika hali ya usafi wa moyo kwani hajui ni wakati gani atakutwa na kifo.
Motoni
Kama mtu akifa katika hali ya dhambi anaenda motoni. Kwa hiyo inatupasa tutumie vyema msamaa na huruma ya Mungu katika maisha yetu ili mwishi wetu uwe mzuri wakati bado tukiwa na muda.
Kila unapoishi ni lazima ufikirie mambo haya ukizingatia hujui wakati yanaweza kukupata. Kwa hiyo, nilazima uishi ukiwa unatafakari haya
ili uwe na mwisho mzuri.
ili uwe na mwisho mzuri.
Grace Njuguna (Guest) on June 8, 2024
Endelea kuwa na imani!
Grace Njuguna (Guest) on March 23, 2024
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Victor Malima (Guest) on January 23, 2024
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Mercy Atieno (Guest) on December 17, 2023
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Mary Kendi (Guest) on August 11, 2023
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Dorothy Majaliwa (Guest) on May 7, 2023
Rehema zake hudumu milele
Peter Mbise (Guest) on February 1, 2023
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Chris Okello (Guest) on November 11, 2022
Imani inaweza kusogeza milima
Victor Kimario (Guest) on August 22, 2022
Neema ya Mungu inatosha kwako
Irene Akoth (Guest) on May 26, 2022
Dumu katika Bwana.
Ann Wambui (Guest) on May 11, 2022
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Grace Mligo (Guest) on April 24, 2022
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
James Malima (Guest) on April 7, 2022
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Tabitha Okumu (Guest) on March 20, 2022
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
David Ochieng (Guest) on March 8, 2022
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Moses Mwita (Guest) on August 13, 2021
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Rose Lowassa (Guest) on May 14, 2021
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Irene Akoth (Guest) on May 4, 2021
Tumaini ni nanga ya roho
Joyce Aoko (Guest) on September 15, 2020
Katika imani, yote yanawezekana
Victor Kamau (Guest) on September 13, 2020
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Stephen Malecela (Guest) on April 3, 2020
Kwa Mungu, yote yanawezekana
George Mallya (Guest) on March 1, 2020
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Janet Mwikali (Guest) on January 23, 2020
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Ruth Wanjiku (Guest) on September 17, 2019
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
John Kamande (Guest) on August 31, 2019
Baraka kwako na familia yako.
Dorothy Majaliwa (Guest) on April 11, 2019
Mwamini katika mpango wake.
Moses Kipkemboi (Guest) on February 14, 2019
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
George Mallya (Guest) on February 6, 2019
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Moses Mwita (Guest) on January 3, 2019
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Andrew Mahiga (Guest) on December 2, 2018
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Jacob Kiplangat (Guest) on April 12, 2018
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Edward Lowassa (Guest) on April 6, 2018
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Nancy Kawawa (Guest) on September 18, 2017
Nakuombea π
Agnes Sumaye (Guest) on August 18, 2017
Mwamini Bwana; anajua njia
Fredrick Mutiso (Guest) on April 4, 2017
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Elizabeth Malima (Guest) on April 3, 2017
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Grace Njuguna (Guest) on March 24, 2017
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Carol Nyakio (Guest) on December 17, 2016
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Lucy Wangui (Guest) on October 9, 2016
Mungu ni mwema, wakati wote!
Joyce Nkya (Guest) on September 9, 2016
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Patrick Kidata (Guest) on July 28, 2016
Sifa kwa Bwana!
Alice Wanjiru (Guest) on March 21, 2016
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Nora Kidata (Guest) on March 8, 2016
Neema na amani iwe nawe.
Rose Lowassa (Guest) on November 21, 2015
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Linda Karimi (Guest) on November 7, 2015
Mungu akubariki!
Ruth Mtangi (Guest) on October 28, 2015
Rehema hushinda hukumu
Victor Kamau (Guest) on September 17, 2015
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Victor Malima (Guest) on July 9, 2015
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Lucy Mahiga (Guest) on June 25, 2015
Nguvu hutoka kwa Bwana
Samuel Omondi (Guest) on May 5, 2015
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako