Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ

MAANA YA SALA KWA MKRISTO

โ€ข
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Sala ni kuinua mioyo yetu kwa Mungu na kuongea nae. Watu wote wanapaswa kusali, wema na wabaya. Inatupasa kusali kila siku bila kukata tama kwa ibada, kwa matumaini na kwa saburi. Kama mfano Yesu Alitufundisha sala ya Baba yetu.
Yatupasa kuwaombea wengine, watu wote wenye shida wakosefu na hata maadui zetu, vilevile tumtolee Mungu shukrani kila wakati na hasa kwa kuadhimisha Ekaristi Takatifu.
Masifu ni sala au wimbo unaomsifu na kumtambua Mungu kuwa Mungu.
Sababu za kusali
1. Kumuabudu Mungu
2. Kumshukuru Mungu
3. Kuomba Neema na Baraka kwa ajili yetu na wenzetu
4. Kuomba msamaha
Namna za sala
1. Sala ya sauti :ย Sala asaliyo mtu au kikundi kwa kutumia maneno
2. Sala ya fikra :ย Sala asaliyo mtu akiwa peke yake au na wengine kimya kimya akimuwaza Mungu.
3. Sala ya Taamuli:ย Kumtazama tuu Mungu kwa upendo Mkubwa Moyoni.
Nyakati zote zinafaa kwa sala hasa
1. Asubuhi na jioni
2. Kabla na baada ya kula
3. Kila dominika
4. Sikukuu za amri
5. Kabla na baada ya kazi
6. Katika kishawishi
Vyanzo vya sala za Kikristo
1. Neno la Mungu
2. Liturujia ya Kanisa
3. Fadhila za Kimungu
4. Matukio ya kila siku
Aidha Roho Mtakatifu ndiye mlezi wa ndani wa sala ya Kikristo akitufundisha kusali na kusali ndani mwetu.
Sala Muhimu kwa Mkristo
Sala kubwa ya kanisa ni Misa Takatifu na sala Bora kwa Bikira Maria ni Rozari Takatifu.
Sala nyingine Muhimu kwa Mkristu ni:
1. Baraka ya Sakramenti kuu
2. Andamo la Ekaristi
3. Litania Takatifu
4. Njia ya Msalaba
5. Rozari takatifu
6. Novena
Mtu anaweza kusali popote lakini kanisani ndio mahali rasmi pa sala, Aidha familia ni shule ya kwanza ya sala ambapo mtu hujifunza na kujizoesha kusali anapokua katika familia.
Changamoto na majaribu wakati wa kusali
1. Mtawanyiko wa mawazo
2. Ukavu wa Moyo
3. Uvivu na uregevu
Faida ya Sala
1. Zinaleta neema nyingi
2. Zinatuimarisha ili tushinde vishawishi na dhambi
3. Zinatuunganisha na Mungu
4. Zinatudumisha katika kutenda mema
Nenoย Aminaย katika sala linamaanaย โ€˜Na iwe hivyoโ€™.ย Na nenoย Aeluyaย maana yake niย Msifuni Mungu.
AckySHINE Solutions
โœจ Join AckySHINE for more features! โœจ

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
๐Ÿ‘ฅ Samuel Omondi Guest May 13, 2024
Imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Betty Kimaro Guest Nov 11, 2023
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
๐Ÿ‘ฅ Christopher Oloo Guest Nov 8, 2023
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
๐Ÿ‘ฅ Moses Mwita Guest Aug 27, 2023
Kwa Mungu, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Peter Mbise Guest Aug 2, 2023
Mwamini Bwana; anajua njia
๐Ÿ‘ฅ Janet Mwikali Guest Jul 11, 2023
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
๐Ÿ‘ฅ Grace Njuguna Guest Mar 12, 2023
Nguvu hutoka kwa Bwana
๐Ÿ‘ฅ Paul Ndomba Guest Feb 5, 2023
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
๐Ÿ‘ฅ Tabitha Okumu Guest May 24, 2022
Neema ya Mungu inatosha kwako
๐Ÿ‘ฅ Hellen Nduta Guest May 19, 2022
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
๐Ÿ‘ฅ Anna Mahiga Guest Apr 7, 2022
Dumu katika Bwana.
๐Ÿ‘ฅ Josephine Nduta Guest Sep 29, 2021
Baraka kwako na familia yako.
๐Ÿ‘ฅ Frank Macha Guest Aug 2, 2021
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
๐Ÿ‘ฅ Diana Mumbua Guest Jul 30, 2021
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
๐Ÿ‘ฅ Jane Malecela Guest Jul 15, 2021
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
๐Ÿ‘ฅ James Mduma Guest Jun 8, 2021
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
๐Ÿ‘ฅ Esther Nyambura Guest May 28, 2021
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
๐Ÿ‘ฅ Isaac Kiptoo Guest Apr 11, 2021
Endelea kuwa na imani!
๐Ÿ‘ฅ Dorothy Mwakalindile Guest Dec 27, 2020
Sifa kwa Bwana!
๐Ÿ‘ฅ Chris Okello Guest Dec 10, 2020
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
๐Ÿ‘ฅ Thomas Mtaki Guest Sep 30, 2020
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
๐Ÿ‘ฅ Monica Nyalandu Guest Sep 10, 2020
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
๐Ÿ‘ฅ Charles Mboje Guest Aug 12, 2020
Rehema hushinda hukumu
๐Ÿ‘ฅ Nancy Komba Guest Jul 29, 2020
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
๐Ÿ‘ฅ Brian Karanja Guest Jun 21, 2020
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
๐Ÿ‘ฅ Joyce Nkya Guest Dec 19, 2019
Tumaini ni nanga ya roho
๐Ÿ‘ฅ Jane Muthui Guest Aug 1, 2019
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
๐Ÿ‘ฅ Catherine Naliaka Guest Jan 29, 2019
Wakati wa Mungu ni kamilifu
๐Ÿ‘ฅ Rose Kiwanga Guest Jan 27, 2019
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
๐Ÿ‘ฅ Paul Ndomba Guest Nov 8, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Nancy Kabura Guest Sep 18, 2018
Katika imani, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Margaret Mahiga Guest Jul 19, 2018
Tembea kwa imani, si kwa kuona
๐Ÿ‘ฅ Chris Okello Guest Jun 23, 2018
Rehema zake hudumu milele
๐Ÿ‘ฅ Janet Sumari Guest Jun 1, 2018
Neema na amani iwe nawe.
๐Ÿ‘ฅ Mary Mrope Guest May 20, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Andrew Odhiambo Guest Feb 2, 2018
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
๐Ÿ‘ฅ Jane Muthui Guest Nov 28, 2017
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
๐Ÿ‘ฅ Victor Kamau Guest Nov 11, 2017
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
๐Ÿ‘ฅ Andrew Odhiambo Guest Sep 21, 2017
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
๐Ÿ‘ฅ Alice Wanjiru Guest Aug 30, 2017
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Martin Otieno Guest Feb 18, 2017
Nakuombea ๐Ÿ™
๐Ÿ‘ฅ Chris Okello Guest Jan 22, 2017
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
๐Ÿ‘ฅ Joseph Njoroge Guest Nov 18, 2016
Mungu akubariki!
๐Ÿ‘ฅ Tabitha Okumu Guest Oct 30, 2016
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
๐Ÿ‘ฅ Nancy Komba Guest Aug 21, 2016
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
๐Ÿ‘ฅ Diana Mumbua Guest Jun 16, 2016
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
๐Ÿ‘ฅ Raphael Okoth Guest Dec 2, 2015
Mungu ni mwema, wakati wote!
๐Ÿ‘ฅ Francis Njeru Guest Sep 11, 2015
Mwamini katika mpango wake.
๐Ÿ‘ฅ Lucy Mushi Guest Aug 24, 2015
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
๐Ÿ‘ฅ Henry Sokoine Guest May 24, 2015
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

๐Ÿ”— Related Posts

๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About