Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Tofauti kati ya Ibada, Sadaka na Sala/maombi

Featured Image
Tofauti kati ya Ibada, Sadaka na Sala/maombi ni kama Ifuatavyo;

Ibada

Ibada mara nyingi huusisha matendo ya kipekee. Ibada inaweza kuwa ya kuabudu, kusifu, kuomba toba na kushukuru

Mfano wa ibada ni, Ibada ya Ijumaa kuu, Ibada ya kuabudu sakramenti kuu

Sadaka

Ni majitoleo kwa Mungu kwa nia ya kuomba, kushukuru, zawadi au kutakasa.

Sadaka ninayoiongelea hapa ni sadaka tofauti na hela/pesa ambayo inapotolewa hupewa binadamu mwingine na sio Moja kwa moja kwa mlengwa (Mungu). Sadaka ninayoiongelea mimi ni sadaka mfano wa ile ya Kaini na Abeli, Mfano wa ile ya Ibrahimu, Mfano wa sadaka alizotoa Musa Jangwani. Naongelea sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya damu ya kuchinjwa.

Sadaka hii inatolewa knisani kwenye adhimisho la ibada ya misa takatifu pale padri anapotolea mkate na divai na kuigeuza kuwa mwili na damu ya kristu.

Kinachofanyika hapa ni matoleo ya sadaka ya mwili na damu ya Yesu aliyoitoa pale msalabani, Pale Mkate na divai vinapogeuzwa mwili na damu ya Yesu basi ni ishara ya Sadaka ya mwili na damu aliyoitoa Yesu.

Mfano wa sadaka ni inapofanyika mageuzi ya Ekaristi pekee bila kwenda na mtiririko wa Misa

Sala

Sala ni kuongea kwa sauti au kimya, kwa nia ya kuomba, kushukuru, kusifu au kutafakari.

Sala inaweza ikawa sala za maombi, shukrani, sifa au tafakari

Mfano wa sala ni, jumuiya za kikatoliki zinapokutana, Sala za kawaida za kila siku mfano Asubuhi, mchana, Jioni

Kumbuka: Sala sio maombi. Sala ni zaidi ya maombi. Sala inaweza ikawa tafakari, maombi, sifa au shukrani

Umuhimu wa Ibada ya misa ya kikatoliki

Ibada ya misa ya kikatoliki imechukua nafasi ya vyote hivi vitatu, sala/maombi, sadaka na ibada. Ukishiriki misa ya Katoliki ni sawa na umeshiriki Ibada, Sawa na umeshiriki maombi na ni Sawa na umeshiriki Sadaka.

Tofauti kati ya misa ya kikatoliki na ibada za madhehebu mengine

Madhehebu menginehayachukui yote mfano inaweza ikawa imefanyika ibada tuu, na maombi bila sadaka.

Kwa hiyo unapohudhuria na kushiriki ibada ambayo sio ya kikatoliki, unakua hujakamilisha misa bali ni ibada na maombi tuu. Unakua umekosa sadaka yani sadaka ya mwili na damu ya Kristu.

Ndiyo maana unatakiwa uudhurie Ibada ya Misa Takatifu ya Kikatoliki.

Tags: huusisha ibada ijumaa inaweza kati kipekee. kristu.. kuabudu kuomba kushukuru kusifu kuu kuwa mara matendo mfano na ni nyingi sadaka sakramenti sala/maombi toba tofauti tumsifu wa ya yesu.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Samson Mahiga (Guest) on June 29, 2024

Neema ya Mungu inatosha kwako

Grace Minja (Guest) on June 23, 2024

Sifa kwa Bwana!

Esther Cheruiyot (Guest) on February 19, 2024

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Sharon Kibiru (Guest) on February 10, 2024

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

John Kamande (Guest) on November 12, 2023

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Janet Mwikali (Guest) on October 6, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Diana Mumbua (Guest) on June 30, 2023

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Stephen Kangethe (Guest) on June 25, 2023

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Charles Mchome (Guest) on May 20, 2023

Mungu ni mwema, wakati wote!

Bernard Oduor (Guest) on May 6, 2023

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Paul Ndomba (Guest) on May 5, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Rose Waithera (Guest) on February 22, 2023

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Lucy Wangui (Guest) on February 8, 2023

Dumu katika Bwana.

Margaret Mahiga (Guest) on February 6, 2023

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Grace Majaliwa (Guest) on December 29, 2022

Imani inaweza kusogeza milima

Anthony Kariuki (Guest) on November 4, 2022

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Anna Sumari (Guest) on September 1, 2022

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Elizabeth Mtei (Guest) on January 20, 2022

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Robert Ndunguru (Guest) on December 24, 2021

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Margaret Anyango (Guest) on October 18, 2021

Nguvu hutoka kwa Bwana

Sharon Kibiru (Guest) on March 31, 2021

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Agnes Sumaye (Guest) on December 9, 2020

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Paul Kamau (Guest) on November 16, 2020

Rehema zake hudumu milele

Edwin Ndambuki (Guest) on October 4, 2020

Mwamini katika mpango wake.

Peter Mwambui (Guest) on June 12, 2020

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Sarah Mbise (Guest) on April 18, 2020

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Sarah Mbise (Guest) on March 27, 2020

Mungu akubariki!

Lydia Mutheu (Guest) on January 3, 2020

Endelea kuwa na imani!

Rose Lowassa (Guest) on December 5, 2019

Tumaini ni nanga ya roho

Alice Mrema (Guest) on October 18, 2019

Nakuombea πŸ™

Frank Macha (Guest) on June 18, 2019

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Jacob Kiplangat (Guest) on May 19, 2019

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Francis Mtangi (Guest) on April 7, 2019

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Richard Mulwa (Guest) on February 2, 2019

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Peter Mugendi (Guest) on October 8, 2018

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

George Tenga (Guest) on July 20, 2018

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Charles Wafula (Guest) on May 28, 2018

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Jane Malecela (Guest) on April 9, 2018

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Monica Adhiambo (Guest) on February 27, 2018

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Elizabeth Malima (Guest) on November 2, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Joyce Aoko (Guest) on August 3, 2017

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Lydia Mzindakaya (Guest) on June 29, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Edwin Ndambuki (Guest) on June 1, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Sharon Kibiru (Guest) on April 10, 2017

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Rose Amukowa (Guest) on March 16, 2017

Rehema hushinda hukumu

Janet Sumaye (Guest) on March 4, 2017

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Anna Sumari (Guest) on July 24, 2016

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Joseph Kitine (Guest) on July 14, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Janet Sumaye (Guest) on December 28, 2015

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Raphael Okoth (Guest) on August 27, 2015

Katika imani, yote yanawezekana

Related Posts

MITAGUSO MIKUU YA KANISA KATOLIKI

MITAGUSO MIKUU YA KANISA KATOLIKI

Read More

Jinsi Bikira Maria anavyoelezwa Katika dini ya Kiislamu

Jinsi Bikira Maria anavyoelezwa Katika dini ya Kiislamu

Read More
Utaratibu wa Mkristo Mkatoliki Kanisani

Utaratibu wa Mkristo Mkatoliki Kanisani

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu ngono na maadili ya kijinsia?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu ngono na maadili ya kijinsia?

Kanisa Katoliki ni moja ya madhehebu makubwa duniani, na imani yake juu ya ngono na maadili ya ki... Read More

Mbinu 4 anazotumia Shetani kuteka na kurubuni Watu

Mbinu 4 anazotumia Shetani kuteka na kurubuni Watu

1. Kutushawishi tuache kusali maaana njia kuu ya mawasiliano kati yetu na MUNGU.Hivyo akifanikiwa ha... Read More
Mafundisho Kuhusu Bikira Maria

Mafundisho Kuhusu Bikira Maria

Read More

Kuomba Msamaha katika Huruma ya Mungu: Njia ya Uongofu

Kuomba Msamaha katika Huruma ya Mungu: Njia ya Uongofu

  1. Kuomba Msamaha ni Njia ya Uongofu

Katika maisha yetu, tunakosea wakati mwingi... Read More

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha umuhimu wa kuishi imani katika matendo mema?

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha umuhimu wa kuishi imani katika matendo mema?

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha umuhimu wa kuishi imani katika matendo mema? Jibu ni... Read More

Nifunge nini Kwaresma? Mambo ya kufunga kipindi cha Kwaresima

Nifunge nini Kwaresma? Mambo ya kufunga kipindi cha Kwaresima

Read More
Je, Kanisa Katoliki linamwomba Bikira Maria?

Je, Kanisa Katoliki linamwomba Bikira Maria?

Je, Kanisa Katoliki linamwomba Bikira Maria?

Ndio, Kanisa Katoliki linamwomba Bikira Maria... Read More

Je, Kanisa Katoliki linakiri na kufundisha amri kumi za Mungu kama mwongozo wa maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linakiri na kufundisha amri kumi za Mungu kama mwongozo wa maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linakiri na kufundisha amri kumi za Mungu kama mwongozo wa maisha ya Kikristo... Read More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ndoa kama sakramenti ya agano la upendo na uaminifu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ndoa kama sakramenti ya agano la upendo na uaminifu?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ndoa kama sakramenti ya agano la upendo na uaminifu?... Read More