Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

MATATIZO YANAYORUDISHA UIMBAJI WA KWAYA KATOLIKI NYUMA

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
1.Kuwaimbia binadamu.Yaani tupo kwa ajili ya kuimba ili tusifiwe na watu.
2.Kuimba bila tafakari.Mara nyingi tunaimba tu bila kuzingatia ujumbe Wa ule wimbo
3.Kuimba bila kusali!Yasemekana Kuimba ni kusali Mara mbili.Waimbaji wengi hukariri wimbo na nyimbo nyingi zimetungwa kwa njia ya sala lakini wanakwaya wengi huimba tu wala hali ya sala haimo ndani yao!
4.Walimu wenye hasira na ubinafsi.Mkufunzi Wa kwaya ni nguzo muhimu kwa maendeleo ya uimbaji.Iwapo choirmaster ni mwenye vurugu, mchochezi na mpenda fitina, bila shaka itakuwa vigumu kwa kwaya kupiga hatua kiuimbaji!
5.Sheria Kali zisizoenda na maadili ya kanisa.Kila jamii INA sheria zake na sheria ni nzuri.lakini tukiwa na sheria zinazowakandamiza wengine, tutapoteza kondoo wengi badala ya kuwaleta kwa Mungu!
6.Utoaji Wa albamu au kurekodi nyimbo kwa nia ya kutafuta pesa au kigezo kwa kwaya.Kwaya nyingi zimeanguka pindi tu wanapotoa albamu ya kwanza!Maana tunakosa kufahamu kuwa sisi ni wainjilisiti na tunawasaidia mapadri wetu kuhubiri injili.
7.Kutotii viongozi Wa kanisa.Wanakwaya wanaokosa kufahamu kuwa wapo chini ya viongozi na kanisa husika Mara nyingi hujipata wakiwa kwa makosa bila kunuia!
8.Kutoishi kwa hali ya sakramenti!Kama kuna jambo kubwa ambalo ibilisi hufurahia, ni yule MTU anayeishi katika maisha ya ndoa isiyo halali mbele za Mungu.Yaani Maana yake unaishi na mke au Mme bila ndoa ya kanisa na huna kizuizi chochote kinachokufanya usipate sakramenti hiyo.
9.Kitubio.Wengi tunapokea sakramenti ya ekaristi katika hali ya dhambi na hatushughuliki kabisaa kwenda kitubio.Hii inachochea zaidi kuwepo kwa dhambi za mazoea katika maisha yetu!
10.Kutosali kila siku.Inakuwa rahisi kwetu sisi kujaribiwa tukiwa hatusali.Kuimba kwako kunawasha hasira za shetani kwa hivo usiposali, bila shaka atarudi kulipiza kisasi.
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ James Malima Guest Jun 5, 2024
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Samson Tibaijuka Guest Jun 2, 2024
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Susan Wangari Guest Apr 12, 2024
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Alex Nyamweya Guest Feb 21, 2024
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Edward Chepkoech Guest Feb 1, 2024
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Carol Nyakio Guest Jul 28, 2023
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Margaret Anyango Guest Dec 29, 2022
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Stephen Mushi Guest May 21, 2022
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Monica Adhiambo Guest Feb 16, 2022
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Anna Malela Guest Feb 8, 2022
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Richard Mulwa Guest Jan 23, 2022
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Nora Lowassa Guest Nov 17, 2021
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Brian Karanja Guest Aug 16, 2021
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Philip Nyaga Guest Jul 24, 2021
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ David Nyerere Guest Jun 23, 2021
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Joseph Kawawa Guest Jun 1, 2021
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Mary Sokoine Guest Apr 2, 2021
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Henry Mollel Guest Mar 3, 2021
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Elizabeth Malima Guest Oct 10, 2020
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Nancy Akumu Guest Jul 17, 2020
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Victor Kamau Guest Jun 22, 2020
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Janet Wambura Guest May 29, 2020
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Edward Lowassa Guest May 1, 2020
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Stephen Malecela Guest Mar 7, 2020
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Anna Mahiga Guest Dec 2, 2019
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Ruth Mtangi Guest Sep 13, 2019
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ David Ochieng Guest Sep 10, 2019
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Samson Mahiga Guest Jul 24, 2019
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Nancy Komba Guest May 12, 2019
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Rose Kiwanga Guest Apr 18, 2019
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Grace Njuguna Guest Mar 22, 2019
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Dorothy Mwakalindile Guest Feb 11, 2019
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ James Kawawa Guest Nov 8, 2018
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ David Nyerere Guest Nov 6, 2018
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Diana Mumbua Guest Mar 11, 2018
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ James Kawawa Guest Dec 7, 2017
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Elizabeth Mrope Guest Sep 7, 2017
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Joyce Nkya Guest Mar 21, 2017
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ James Mduma Guest Oct 27, 2016
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Rose Lowassa Guest Sep 18, 2016
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ David Kawawa Guest Jun 19, 2016
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Ruth Wanjiku Guest Apr 19, 2016
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Grace Mligo Guest Mar 7, 2016
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Michael Mboya Guest Feb 13, 2016
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Alice Wanjiru Guest Feb 6, 2016
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Sarah Karani Guest Jan 28, 2016
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Frank Macha Guest Oct 26, 2015
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Irene Makena Guest Sep 14, 2015
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Elizabeth Mrope Guest Sep 5, 2015
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Anna Mchome Guest Aug 15, 2015
Tumaini ni nanga ya roho

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About