Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Mambo 7 ya kubadili katika maisha ili ubadilike

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

1. Huwezi kubadili namna watu walivyokutendea mpaka ubadili namna unavyowatendea.โ€‹

Matayo 7:12;
"Basi yote myatakayo mtendewe na watu, nanyi watendeeni vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo Torati na Manabii."

โ€‹2. Huwezi kubadili tabia mpaka ubadili marafiki.โ€‹

1Wakorintho 15:33
"Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema."

โ€‹3. Huwezi kubadili ulichovuna mpaka ubadili ulichokipanda.โ€‹

Wagalatia 6:7;
"Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa chochote apandacho mtu, ndicho atakachovuna."

โ€‹4. Huwezi kubadili mwelekeo wa maisha yako mpaka ubadili dereva.โ€‹

Kutoka 23:1-3;
"Msivumishe habari za uongo; usishirikiane na mwovu kwa kuwa shahidi wa uongo. Usiwafuate walio wengi katika kutenda uovu; wala usitie ushahidi wako katika neno lolote kwa kugeukia kando na kuandamana na mkutano ili kupotosha hukumu; wala usimpendelee mtu mnyonge katika neno lake".

Maisha yako yaweza ongozwa na mkumbo wa watu au โ€‹MSIMAMOโ€‹ wako โ€‹BINAFSIโ€‹ kwa โ€‹UNACHOKIAMINI.โ€‹

โ€‹5. Huwezi kubadili hali yako ya kifedha mpaka ubadili tabia yako ya kifedha.โ€‹

Mithali 21:17;
Mtu apendaye anasa atakuwa maskini; yeyote apendaye mvinyo, kula na manukato hatakuwa tajiri."

โ€‹Mtindo wa maisha ya ufukara ndiyo busara kwa wengi.โ€‹

โ€‹6. Huwezi kunibadili mpaka ujibadili mwenyewe.โ€‹

Matayo 7:3-5.
"Basi, mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe huioni? Au utamwambiaje nduguyo, Niache nikitoe kibanzi katika jicho lako; na kumbe! Mna boriti ndani ya jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe; ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi katika jicho la ndugu yako."

โ€‹7. Huwezi kubadili mtazamo wako wa kifikra mpaka ubadilipo usikiacho.โ€‹

Mithali 23:7;
"Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo.
Akuambia haya kula, kunywa; lakini moyo wake hauwi pamoja nawe."

โ€‹(Waache wenye Hekima wasikilize na kuongeza ufahamu wao.)โ€‹

Huyo anayesikiliza, huashiria na kuamua kile anachojifunza.

Kile unachojifunza, huashiria uelewa ulio nao kichwani mwako.

Uelewa ulionao kichwani mwako, huashiria maamuzi yako.

Na maamuzi yako, huashiria โ€‹mwelekeo wa maisha yako.โ€‹

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Elizabeth Mrope (Guest) on March 31, 2024

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Peter Mwambui (Guest) on February 22, 2024

Mwamini katika mpango wake.

Samuel Omondi (Guest) on January 22, 2024

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

John Lissu (Guest) on January 1, 2024

Nakuombea ๐Ÿ™

James Malima (Guest) on August 21, 2023

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Edward Chepkoech (Guest) on July 26, 2023

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

George Ndungu (Guest) on July 25, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Elizabeth Malima (Guest) on April 30, 2023

Imani inaweza kusogeza milima

Joyce Aoko (Guest) on February 15, 2023

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Moses Mwita (Guest) on February 10, 2023

Nguvu hutoka kwa Bwana

Victor Sokoine (Guest) on December 4, 2022

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Agnes Lowassa (Guest) on November 4, 2022

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Paul Kamau (Guest) on October 5, 2022

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Joyce Aoko (Guest) on September 20, 2022

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Alice Wanjiru (Guest) on June 24, 2022

Mungu ni mwema, wakati wote!

Patrick Mutua (Guest) on April 19, 2022

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Ann Wambui (Guest) on March 12, 2022

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Anna Kibwana (Guest) on March 7, 2022

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Anna Mahiga (Guest) on March 4, 2022

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Lucy Mahiga (Guest) on February 9, 2022

Katika imani, yote yanawezekana

Fredrick Mutiso (Guest) on January 5, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Thomas Mtaki (Guest) on October 16, 2021

Rehema hushinda hukumu

Diana Mallya (Guest) on July 22, 2021

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 4, 2021

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Peter Otieno (Guest) on March 31, 2021

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Brian Karanja (Guest) on March 22, 2021

Sifa kwa Bwana!

Raphael Okoth (Guest) on March 16, 2021

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Victor Kamau (Guest) on January 30, 2021

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Peter Mwambui (Guest) on January 24, 2021

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Mary Mrope (Guest) on May 20, 2020

Baraka kwako na familia yako.

Mary Kendi (Guest) on April 11, 2020

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Alex Nakitare (Guest) on December 29, 2019

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

John Mwangi (Guest) on October 2, 2019

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Edwin Ndambuki (Guest) on March 20, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Irene Akoth (Guest) on January 5, 2019

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Anna Kibwana (Guest) on November 13, 2018

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Joy Wacera (Guest) on October 8, 2018

Tumaini ni nanga ya roho

Francis Mtangi (Guest) on June 21, 2018

Neema na amani iwe nawe.

Catherine Mkumbo (Guest) on January 15, 2018

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 4, 2018

Neema ya Mungu inatosha kwako

Mercy Atieno (Guest) on May 24, 2017

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

George Ndungu (Guest) on April 22, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Benjamin Kibicho (Guest) on January 29, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Janet Sumaye (Guest) on January 24, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Frank Sokoine (Guest) on August 6, 2016

Rehema zake hudumu milele

Janet Mbithe (Guest) on April 25, 2016

Dumu katika Bwana.

Peter Mugendi (Guest) on April 24, 2016

Mungu akubariki!

Grace Mushi (Guest) on March 9, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Lydia Wanyama (Guest) on October 11, 2015

Endelea kuwa na imani!

Grace Minja (Guest) on May 25, 2015

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Related Posts

Zaburi ya Toba, Zaburi ya 51

Zaburi ya Toba, Zaburi ya 51

Read More
Njia Kuu 3 za Kuiishi Huruma ya Mungu

Njia Kuu 3 za Kuiishi Huruma ya Mungu

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya watoto wachanga?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya watoto wachanga?

Katika Kanisa Katoliki, watoto wachanga ni baraka kubwa kutoka kwa Mungu. Imani yetu inaamini kuw... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu amri kumi za Mungu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu amri kumi za Mungu?

Kanisa Katoliki ni moja ya madhehebu makubwa duniani. Imani yake inaongozwa na biblia na kanuni za k... Read More
Maana halisi ya kuolewa au ya kuwa mke

Maana halisi ya kuolewa au ya kuwa mke

NDOA sio kichaka cha kujificha kukimbia matatizo. NDOA sio mahali pa kutolea mkosi. Wala sio maha... Read More

Kuomba Msamaha katika Huruma ya Mungu: Njia ya Uongofu

Kuomba Msamaha katika Huruma ya Mungu: Njia ya Uongofu

  1. Kuomba Msamaha ni Njia ya Uongofu

Katika maisha yetu, tunakosea wakati mwingi... Read More

Siri ya kamba nyekundu

Siri ya kamba nyekundu

Miaka zaidi ya 3000 iliyopita katika mji wa Yeriko alikuwepo mwanamke mmoja kahaba, jina lake Rah... Read More

Mambo ya kufahamu katika kipindi cha kwaresima

Mambo ya kufahamu katika kipindi cha kwaresima

Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu imani na matendo?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu imani na matendo?

Kanisa Katoliki ni moja ya madhehebu makubwa zaidi ya Ukristo duniani. Na kama madhehebu mengine ... Read More

Tarehe ya Pasaka inavyopatikana

Tarehe ya Pasaka inavyopatikana

KWANINI TAREHE ZA PASAKA HUBADILIKA KILA MWAKA ??

JIBU:
KALENDA za mwanzo ziliutumia m... Read More

Huruma ya Mungu: Nguvu ya Ukombozi na Utakaso

Huruma ya Mungu: Nguvu ya Ukombozi na Utakaso

Huruma ya Mungu: Nguvu ya Ukombozi na Utakaso

  1. Kama Wakatoliki, tunaamini sana ka... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu haki na haki za binadamu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu haki na haki za binadamu?

Kanisa Katoliki ni mojawapo ya madhehebu makubwa duniani na linazingatia sana haki na haki za bin... Read More

๐Ÿ“– Explore More Articles | โœ๐Ÿป Re-Write Articles