Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Mambo 7 ya kubadili katika maisha ili ubadilike

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

1. Huwezi kubadili namna watu walivyokutendea mpaka ubadili namna unavyowatendea.​

Matayo 7:12;
"Basi yote myatakayo mtendewe na watu, nanyi watendeeni vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo Torati na Manabii."

​2. Huwezi kubadili tabia mpaka ubadili marafiki.​

1Wakorintho 15:33
"Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema."

​3. Huwezi kubadili ulichovuna mpaka ubadili ulichokipanda.​

Wagalatia 6:7;
"Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa chochote apandacho mtu, ndicho atakachovuna."

​4. Huwezi kubadili mwelekeo wa maisha yako mpaka ubadili dereva.​

Kutoka 23:1-3;
"Msivumishe habari za uongo; usishirikiane na mwovu kwa kuwa shahidi wa uongo. Usiwafuate walio wengi katika kutenda uovu; wala usitie ushahidi wako katika neno lolote kwa kugeukia kando na kuandamana na mkutano ili kupotosha hukumu; wala usimpendelee mtu mnyonge katika neno lake".

Maisha yako yaweza ongozwa na mkumbo wa watu au ​MSIMAMO​ wako ​BINAFSI​ kwa ​UNACHOKIAMINI.​

​5. Huwezi kubadili hali yako ya kifedha mpaka ubadili tabia yako ya kifedha.​

Mithali 21:17;
Mtu apendaye anasa atakuwa maskini; yeyote apendaye mvinyo, kula na manukato hatakuwa tajiri."

​Mtindo wa maisha ya ufukara ndiyo busara kwa wengi.​

​6. Huwezi kunibadili mpaka ujibadili mwenyewe.​

Matayo 7:3-5.
"Basi, mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe huioni? Au utamwambiaje nduguyo, Niache nikitoe kibanzi katika jicho lako; na kumbe! Mna boriti ndani ya jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe; ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi katika jicho la ndugu yako."

​7. Huwezi kubadili mtazamo wako wa kifikra mpaka ubadilipo usikiacho.​

Mithali 23:7;
"Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo.
Akuambia haya kula, kunywa; lakini moyo wake hauwi pamoja nawe."

​(Waache wenye Hekima wasikilize na kuongeza ufahamu wao.)​

Huyo anayesikiliza, huashiria na kuamua kile anachojifunza.

Kile unachojifunza, huashiria uelewa ulio nao kichwani mwako.

Uelewa ulionao kichwani mwako, huashiria maamuzi yako.

Na maamuzi yako, huashiria ​mwelekeo wa maisha yako.​

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Elizabeth Mrope Guest Mar 31, 2024
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Peter Mwambui Guest Feb 22, 2024
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Samuel Omondi Guest Jan 22, 2024
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ John Lissu Guest Jan 1, 2024
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ James Malima Guest Aug 21, 2023
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Edward Chepkoech Guest Jul 26, 2023
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ George Ndungu Guest Jul 25, 2023
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Elizabeth Malima Guest Apr 30, 2023
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Joyce Aoko Guest Feb 15, 2023
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Moses Mwita Guest Feb 10, 2023
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Victor Sokoine Guest Dec 4, 2022
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Agnes Lowassa Guest Nov 4, 2022
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Paul Kamau Guest Oct 5, 2022
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Joyce Aoko Guest Sep 20, 2022
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Alice Wanjiru Guest Jun 24, 2022
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Patrick Mutua Guest Apr 19, 2022
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Ann Wambui Guest Mar 12, 2022
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Anna Kibwana Guest Mar 7, 2022
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Anna Mahiga Guest Mar 4, 2022
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Lucy Mahiga Guest Feb 9, 2022
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Fredrick Mutiso Guest Jan 5, 2022
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Thomas Mtaki Guest Oct 16, 2021
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Diana Mallya Guest Jul 22, 2021
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Dorothy Majaliwa Guest Jun 4, 2021
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Peter Otieno Guest Mar 31, 2021
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Brian Karanja Guest Mar 22, 2021
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Raphael Okoth Guest Mar 16, 2021
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Victor Kamau Guest Jan 30, 2021
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Peter Mwambui Guest Jan 24, 2021
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Mary Mrope Guest May 20, 2020
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Mary Kendi Guest Apr 11, 2020
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Alex Nakitare Guest Dec 29, 2019
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ John Mwangi Guest Oct 2, 2019
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Edwin Ndambuki Guest Mar 20, 2019
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Irene Akoth Guest Jan 5, 2019
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Anna Kibwana Guest Nov 13, 2018
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Oct 8, 2018
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Francis Mtangi Guest Jun 21, 2018
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Catherine Mkumbo Guest Jan 15, 2018
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Thomas Mwakalindile Guest Jan 4, 2018
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Mercy Atieno Guest May 24, 2017
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ George Ndungu Guest Apr 22, 2017
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Benjamin Kibicho Guest Jan 29, 2017
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Janet Sumaye Guest Jan 24, 2017
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Frank Sokoine Guest Aug 6, 2016
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Janet Mbithe Guest Apr 25, 2016
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Peter Mugendi Guest Apr 24, 2016
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Grace Mushi Guest Mar 9, 2016
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Lydia Wanyama Guest Oct 11, 2015
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Grace Minja Guest May 25, 2015
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About