Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mambo yanayoweza kusababisha sala au maombi yako yasijibiwe

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Mara nyingi tumekua tukiomba lakini hatupati, sababu zinaweza zikawa hizi ;

1. Mawazo na matarajio yetu

Mara nyingi tunajifunga kwenye maombi yetu pale tunapoomba na kisha kuanza kuwaza "hivi Mungu atanipa kikubwa au kidogo au atanisaidia sana au kidogo" Au tunaomba halafu tunakua na matarajio tofauti na kile tunachoomba. Aidha tunatarajia kupata kidogo au kikubwa.
Hali hii ni sawa na kumuwekea Mungu kizuizi kwenye maombi yako. Yaani kumuongoza Mungu afanye kwa kiasi kile unachofikiri.

2. Kulenga kutizamwa na watu.

Hii ni kuomba kwa majivuno yaani kuomba ili ukishapata watu waone kuwa umepata.
Jambo hili linamchukiza Mungu ndio maana unapoomba kupewa kitu au kusaidiwa kitu Mungu hafanyi /hakupi. Na Mara nyingine hata vile ulivyonavyo unanyan'ganywa kwa kuwa hauombi kwa utukufu wa Mungu bali kwa utukufu wako.
Hali hii ni sawa na kumuwekea Mungu ukuta kwenye maisha yako.

Namna njema ya kuomba ni hii

1. Kutokuomba mambo makuu sana ambayo huna haja nayo na hayana maana katika maisha yako.
2. Kutokuomba mambo madogo kwa mawazo labda nikiomba makubwa Mungu hataweza
3. Kutokuomba kwa ajili ya kutaka kuonekana na watu.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Monica Nyalandu (Guest) on July 20, 2024

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Mariam Hassan (Guest) on June 5, 2024

Nakuombea πŸ™

John Malisa (Guest) on December 19, 2023

Neema ya Mungu inatosha kwako

Alice Mrema (Guest) on September 11, 2023

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Rose Kiwanga (Guest) on September 7, 2023

Rehema hushinda hukumu

Elijah Mutua (Guest) on May 8, 2023

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 27, 2023

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Agnes Sumaye (Guest) on March 15, 2023

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Peter Tibaijuka (Guest) on January 31, 2023

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Michael Mboya (Guest) on November 4, 2022

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Kenneth Murithi (Guest) on August 9, 2022

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Grace Njuguna (Guest) on July 26, 2022

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Elizabeth Malima (Guest) on March 16, 2022

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Chris Okello (Guest) on January 31, 2022

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Alice Jebet (Guest) on January 20, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

James Kimani (Guest) on September 14, 2021

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Elizabeth Mrope (Guest) on August 17, 2021

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Agnes Njeri (Guest) on March 25, 2021

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Sarah Karani (Guest) on March 3, 2021

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

George Mallya (Guest) on December 26, 2020

Neema na amani iwe nawe.

Nancy Akumu (Guest) on December 9, 2020

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Francis Njeru (Guest) on October 29, 2020

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Jane Muthui (Guest) on July 29, 2020

Mwamini katika mpango wake.

Irene Makena (Guest) on June 27, 2020

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Mariam Kawawa (Guest) on December 14, 2019

Rehema zake hudumu milele

Francis Njeru (Guest) on November 9, 2019

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Charles Mrope (Guest) on November 4, 2019

Imani inaweza kusogeza milima

Simon Kiprono (Guest) on November 25, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Rose Mwinuka (Guest) on November 4, 2018

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Andrew Mahiga (Guest) on November 3, 2018

Dumu katika Bwana.

Joseph Kiwanga (Guest) on October 13, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

Mary Mrope (Guest) on August 8, 2018

Sifa kwa Bwana!

Mariam Kawawa (Guest) on August 4, 2018

Mungu akubariki!

Henry Sokoine (Guest) on February 27, 2018

Mungu ni mwema, wakati wote!

Rose Mwinuka (Guest) on January 16, 2018

Nguvu hutoka kwa Bwana

Mariam Hassan (Guest) on December 1, 2017

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Sharon Kibiru (Guest) on November 19, 2017

Tumaini ni nanga ya roho

Michael Onyango (Guest) on August 24, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Elizabeth Mrema (Guest) on August 7, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Edwin Ndambuki (Guest) on July 27, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Jane Muthui (Guest) on June 2, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Robert Okello (Guest) on May 21, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Rose Mwinuka (Guest) on April 15, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Faith Kariuki (Guest) on December 5, 2016

Katika imani, yote yanawezekana

Josephine Nduta (Guest) on November 3, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Anna Malela (Guest) on October 30, 2016

Endelea kuwa na imani!

Raphael Okoth (Guest) on August 29, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Janet Mwikali (Guest) on July 8, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Victor Kimario (Guest) on May 7, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Elizabeth Mrema (Guest) on October 29, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Related Posts

Mambo 7 ya kubadili katika maisha ili ubadilike

Mambo 7 ya kubadili katika maisha ili ubadilike

1. Huwezi kubadili namna watu walivyokutendea mpaka ubadili namna unavyowatendea.​

Mata... Read More

Huruma ya Mungu: Nguvu ya Ukombozi na Utakaso

Huruma ya Mungu: Nguvu ya Ukombozi na Utakaso

Huruma ya Mungu: Nguvu ya Ukombozi na Utakaso

  1. Kama Wakatoliki, tunaamini sana ka... Read More

JE,SHERIA YA MAPADRE KUTOOA NA KUISHI USEJA IMEANDIKWA WAPI KATIKA BIBLIA AU IMETUNGWA TU NA PAPA?

JE,SHERIA YA MAPADRE KUTOOA NA KUISHI USEJA IMEANDIKWA WAPI KATIKA BIBLIA AU IMETUNGWA TU NA PAPA?

Read More
Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kutubu na kumgeukia Mungu katika wongofu wa moyo?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kutubu na kumgeukia Mungu katika wongofu wa moyo?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kutubu na kumgeukia Mungu katika wongofu ... Read More

Ahadi kumi na mbili za Moyo Mtakatfu wa Yesu

Ahadi kumi na mbili za Moyo Mtakatfu wa Yesu

Read More
Ni nini umuhimu wa Bikira Maria katika imani ya Kanisa Katoliki?

Ni nini umuhimu wa Bikira Maria katika imani ya Kanisa Katoliki?

Ni nini umuhimu wa Bikira Maria katika imani ya Kanisa Katoliki?

Katika imani ya Kanisa Ka... Read More

Ibada ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukarabati na Uongofu

Ibada ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukarabati na Uongofu

Ibada ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukarabati na Uongofu.

Ndugu yangu, Ibada ya Huruma ya Mu... Read More

Soma stori hii, unaweza ukajifunza kitu

Soma stori hii, unaweza ukajifunza kitu

Kijana mmoja alisafiri kwa meli na rafiki zake,
wakiwa katikati ya safari yao meli ilianzaRead More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maombi ya watakatifu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maombi ya watakatifu?

Karibu kwenye makala hii kuhusu imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maombi ya watakatifu. Kwa Wakatol... Read More

Kugundua Huruma ya Mungu: Kupata Amani ya Ndani

Kugundua Huruma ya Mungu: Kupata Amani ya Ndani

Kugundua Huruma ya Mungu: Kupata Amani ya Ndani

Karibu kwenye makala hii inayojadili kuhus... Read More

Kutukuza Huruma ya Mungu: Kupata Neema na Ukombozi

Kutukuza Huruma ya Mungu: Kupata Neema na Ukombozi

  1. Kutukuza Huruma ya Mungu ni sehemu kubwa ya imani ya Kikristo. Ni imani kwamba Mungu anatup... Read More
Ibada Kuu ya Huruma ya Mungu: Kupokea Baraka Tele

Ibada Kuu ya Huruma ya Mungu: Kupokea Baraka Tele

Ibada Kuu ya Huruma ya Mungu: Kupokea Baraka Tele

Kama Mkristo, tunaamini kuwa huruma ya M... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles