Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ

Mambo yanayoweza kusababisha sala au maombi yako yasijibiwe

โ€ข
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Mara nyingi tumekua tukiomba lakini hatupati, sababu zinaweza zikawa hizi ;

1. Mawazo na matarajio yetu

Mara nyingi tunajifunga kwenye maombi yetu pale tunapoomba na kisha kuanza kuwaza "hivi Mungu atanipa kikubwa au kidogo au atanisaidia sana au kidogo" Au tunaomba halafu tunakua na matarajio tofauti na kile tunachoomba. Aidha tunatarajia kupata kidogo au kikubwa.
Hali hii ni sawa na kumuwekea Mungu kizuizi kwenye maombi yako. Yaani kumuongoza Mungu afanye kwa kiasi kile unachofikiri.

2. Kulenga kutizamwa na watu.

Hii ni kuomba kwa majivuno yaani kuomba ili ukishapata watu waone kuwa umepata.
Jambo hili linamchukiza Mungu ndio maana unapoomba kupewa kitu au kusaidiwa kitu Mungu hafanyi /hakupi. Na Mara nyingine hata vile ulivyonavyo unanyan'ganywa kwa kuwa hauombi kwa utukufu wa Mungu bali kwa utukufu wako.
Hali hii ni sawa na kumuwekea Mungu ukuta kwenye maisha yako.

Namna njema ya kuomba ni hii

1. Kutokuomba mambo makuu sana ambayo huna haja nayo na hayana maana katika maisha yako.
2. Kutokuomba mambo madogo kwa mawazo labda nikiomba makubwa Mungu hataweza
3. Kutokuomba kwa ajili ya kutaka kuonekana na watu.
AckySHINE Solutions
โœจ Join AckySHINE for more features! โœจ

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
๐Ÿ‘ฅ Monica Nyalandu Guest Jul 20, 2024
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
๐Ÿ‘ฅ Mariam Hassan Guest Jun 5, 2024
Nakuombea ๐Ÿ™
๐Ÿ‘ฅ John Malisa Guest Dec 19, 2023
Neema ya Mungu inatosha kwako
๐Ÿ‘ฅ Alice Mrema Guest Sep 11, 2023
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
๐Ÿ‘ฅ Rose Kiwanga Guest Sep 7, 2023
Rehema hushinda hukumu
๐Ÿ‘ฅ Elijah Mutua Guest May 8, 2023
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
๐Ÿ‘ฅ Nicholas Wanjohi Guest Apr 27, 2023
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
๐Ÿ‘ฅ Agnes Sumaye Guest Mar 15, 2023
Wakati wa Mungu ni kamilifu
๐Ÿ‘ฅ Peter Tibaijuka Guest Jan 31, 2023
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
๐Ÿ‘ฅ Michael Mboya Guest Nov 4, 2022
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
๐Ÿ‘ฅ Kenneth Murithi Guest Aug 9, 2022
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
๐Ÿ‘ฅ Grace Njuguna Guest Jul 26, 2022
Kwa Mungu, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Elizabeth Malima Guest Mar 16, 2022
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
๐Ÿ‘ฅ Chris Okello Guest Jan 31, 2022
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
๐Ÿ‘ฅ Alice Jebet Guest Jan 20, 2022
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
๐Ÿ‘ฅ James Kimani Guest Sep 14, 2021
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
๐Ÿ‘ฅ Elizabeth Mrope Guest Aug 17, 2021
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
๐Ÿ‘ฅ Agnes Njeri Guest Mar 25, 2021
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
๐Ÿ‘ฅ Sarah Karani Guest Mar 3, 2021
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
๐Ÿ‘ฅ George Mallya Guest Dec 26, 2020
Neema na amani iwe nawe.
๐Ÿ‘ฅ Nancy Akumu Guest Dec 9, 2020
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
๐Ÿ‘ฅ Francis Njeru Guest Oct 29, 2020
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
๐Ÿ‘ฅ Jane Muthui Guest Jul 29, 2020
Mwamini katika mpango wake.
๐Ÿ‘ฅ Irene Makena Guest Jun 27, 2020
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
๐Ÿ‘ฅ Mariam Kawawa Guest Dec 14, 2019
Rehema zake hudumu milele
๐Ÿ‘ฅ Francis Njeru Guest Nov 9, 2019
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
๐Ÿ‘ฅ Charles Mrope Guest Nov 4, 2019
Imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Simon Kiprono Guest Nov 25, 2018
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Rose Mwinuka Guest Nov 4, 2018
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
๐Ÿ‘ฅ Andrew Mahiga Guest Nov 3, 2018
Dumu katika Bwana.
๐Ÿ‘ฅ Joseph Kiwanga Guest Oct 13, 2018
Mwamini Bwana; anajua njia
๐Ÿ‘ฅ Mary Mrope Guest Aug 8, 2018
Sifa kwa Bwana!
๐Ÿ‘ฅ Mariam Kawawa Guest Aug 4, 2018
Mungu akubariki!
๐Ÿ‘ฅ Henry Sokoine Guest Feb 27, 2018
Mungu ni mwema, wakati wote!
๐Ÿ‘ฅ Rose Mwinuka Guest Jan 16, 2018
Nguvu hutoka kwa Bwana
๐Ÿ‘ฅ Mariam Hassan Guest Dec 1, 2017
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
๐Ÿ‘ฅ Sharon Kibiru Guest Nov 19, 2017
Tumaini ni nanga ya roho
๐Ÿ‘ฅ Michael Onyango Guest Aug 24, 2017
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
๐Ÿ‘ฅ Elizabeth Mrema Guest Aug 7, 2017
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Edwin Ndambuki Guest Jul 27, 2017
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
๐Ÿ‘ฅ Jane Muthui Guest Jun 2, 2017
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
๐Ÿ‘ฅ Robert Okello Guest May 21, 2017
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Rose Mwinuka Guest Apr 15, 2017
Tembea kwa imani, si kwa kuona
๐Ÿ‘ฅ Faith Kariuki Guest Dec 5, 2016
Katika imani, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Josephine Nduta Guest Nov 3, 2016
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
๐Ÿ‘ฅ Anna Malela Guest Oct 30, 2016
Endelea kuwa na imani!
๐Ÿ‘ฅ Raphael Okoth Guest Aug 29, 2016
Baraka kwako na familia yako.
๐Ÿ‘ฅ Janet Mwikali Guest Jul 8, 2016
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
๐Ÿ‘ฅ Victor Kimario Guest May 7, 2016
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
๐Ÿ‘ฅ Elizabeth Mrema Guest Oct 29, 2015
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

๐Ÿ”— Related Posts

๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About