Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Utaratibu wa Mkristo Mkatoliki Kanisani

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Ninapoingia kanisani nachovya maji ya baraka na kusema;
"Unitakase Ee Bwana mimi na uovu wangu wote, ili nipate kustahili kushiriki ibada takatifu' Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu" Amina!
Ninapiga goti huku nikisema
"Mungu wangu na Bwana wangu"
πŸ™‹πŸ½Nikiinuka nasema
"Nitakusifu na kukuabudu katika Ekaristi takatifu"
πŸ™‹πŸ½Naenda mpaka kwenye bench, napiga magoti au nakaa nikiwa mimeinamisha kichwa (kama mabenchi yameisha nabaki nimejisimamia) huku nikitoa nia yangu ya kusali misa siku hiyo, mfano
"Ee Mungu, ninaungana nawe na jeshi lote la mbinguni, pamoja na Mama Bikira Maria, nikiwa na nia ya kumwombea mama yangu ambaye ni mgonjwa, jirani yangu ambaye mpaka sasa hatuelewani na pia familia yetu ambayo haina amani, Mungu kupitia misa hii rejesha hali ya mama yangu, rejesha uelewano na jirani yangu, na pia rejesha amani ya familia yetu pamoja na familia zote ambazo hazina amani"
πŸ™‹πŸ½Ninaendelea na misa na Kushiriki litrujia kikamilifu
πŸ™‹πŸ½Wakati wa komunyo nikikumbuka kuwa nina dhambi kubwa huwa nakominika kwa sala ya tamaa wala siendi mbele, huwa najikalia tu kwenye bench naangalia wenye moyo safi wanaenda mbele kumpokea Yesu (Kweli huwa najisikia wivu sana, itanibidi katikati ya wiki nifanye kitubio ili nisikae tena)"
πŸ™‹πŸ½Mwisho wakati wa kuondoka nachovya maji ya baraka nikisema
"Unilinde Ee Mwenyezi Mungu, nikapate kuwa mfano katika jamii yangu, na nikushuhudie katika matendo yangu"
(Hapo nachovya maji ya baraka na kufanya ishara ya msalaba) "Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu, amina"
Usiku mwema wapendwa. Malaika awalinde
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Lydia Mahiga Guest Jul 19, 2024
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ George Mallya Guest Jul 13, 2024
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Stephen Mushi Guest Jan 20, 2024
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Nancy Akumu Guest Nov 20, 2023
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Frank Sokoine Guest Nov 4, 2023
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Lydia Mutheu Guest Sep 30, 2023
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Catherine Naliaka Guest Sep 18, 2023
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ John Mwangi Guest Jun 7, 2023
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Ruth Wanjiku Guest Apr 2, 2023
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Lucy Kimotho Guest Jan 18, 2023
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Andrew Mahiga Guest Nov 16, 2022
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Brian Karanja Guest Nov 16, 2022
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Lydia Mutheu Guest Oct 11, 2022
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Peter Mbise Guest Jun 10, 2022
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ David Ochieng Guest Apr 19, 2022
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Stephen Mushi Guest Dec 25, 2021
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Grace Njuguna Guest Sep 15, 2021
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Robert Okello Guest Jul 7, 2021
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Lydia Mutheu Guest Jul 1, 2021
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Rose Kiwanga Guest Jun 21, 2021
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Jun 21, 2021
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Samuel Omondi Guest Apr 21, 2021
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ George Ndungu Guest Nov 12, 2020
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Andrew Odhiambo Guest Jul 23, 2020
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Anna Malela Guest Jul 17, 2020
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ James Malima Guest Dec 26, 2019
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Fredrick Mutiso Guest Sep 25, 2019
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Benjamin Masanja Guest Aug 6, 2019
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Mary Mrope Guest Jun 10, 2019
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Rose Lowassa Guest Mar 17, 2019
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Paul Ndomba Guest Jan 10, 2019
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Thomas Mwakalindile Guest Nov 19, 2018
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Fredrick Mutiso Guest Nov 15, 2018
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Rose Waithera Guest Oct 3, 2018
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Carol Nyakio Guest Sep 10, 2018
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Kenneth Murithi Guest Aug 25, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Nancy Kabura Guest Jul 27, 2018
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Vincent Mwangangi Guest Oct 26, 2017
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Jackson Makori Guest Jun 6, 2017
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Samson Tibaijuka Guest May 17, 2017
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Thomas Mtaki Guest Sep 29, 2016
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Betty Kimaro Guest Jul 6, 2016
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Alice Wanjiru Guest Jun 27, 2016
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Hellen Nduta Guest Apr 14, 2016
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Thomas Mwakalindile Guest Apr 8, 2016
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Nancy Akumu Guest Nov 13, 2015
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Alice Wanjiru Guest Oct 25, 2015
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ George Wanjala Guest Jun 9, 2015
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Benjamin Masanja Guest May 20, 2015
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Victor Sokoine Guest May 5, 2015
Tumaini ni nanga ya roho

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About