Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ

Faida ya kuabudu Ekaristi Takatifu

โ€ข
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
1.Kila saa moja tunayotumia kuabudu, inafurahisha moyo wa Yesu na hivyo majina yetu huandikwa mbinguni kwa ajili ya uzima wa milele (Mama Thereza wa Calcuta)
2.Maisha ya kiroho ya familia zetu yanaimarishwa kwa njia ya saa ya kuabudu (John Paul II)
3. Saa takatifu ya kuabudu ni ya muhimu sana kiasi kwamba roho za waamini wengi huenda kwenye uzima (mbinguni) badala ya motoni (ufunuo wa Yesu kwa Dina Belanger)
4. Wakati pekee ambao Yesu aliwaomba kitu wanafunzi wake ni wakati anakaribia mateso na hakuomba chochote isipokua saa moja ya kukesha nae (Askofu Mkuu Fulton Sheen)
5.Saa moja takatifu ya kuabudu ni kushiriki katika harakati za ukombozi (Askofu mkuu Fulton Sheen)
6. Neema ya kuabudu Ekaristi iko juu ya watu wote (St Peter Julian Eymard)
7.Bwana wetu Yesu husikia maombi yetu yote na popote lakini amewafunulia watu wake kuwa wale watakaokwenda kukaa nae katika kuabudu Ekaristi wanapata neema zaidi (Mtakatifu Alphonsus Ligoria)
8.Kila saa unapokwenda kuabudu kumbuka kwamba Yesu amekusubiria wewe binafsi kwenda kumtembelea kwa karne ishirini (St Josemaria scavia)
9.Kuabudu kwa dhati kuna neema na manufaa makubwa ambayo huzidi kwa wale wanaoabudu, hupanuka na kugusa nyumba zao familia zao na mpaka katika parokia zao (Pope Paul VI)
10. Saa moja takatifu mbele ya Ekaristi ni muhimu kuliko miaka elfu moja ya utukufu wa mwanadamu (Mtakatifu Padre Pio)
AckySHINE Solutions
โœจ Join AckySHINE for more features! โœจ

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
๐Ÿ‘ฅ Peter Mugendi Guest Jun 26, 2024
Mwamini Bwana; anajua njia
๐Ÿ‘ฅ Ann Awino Guest Apr 26, 2024
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
๐Ÿ‘ฅ Paul Ndomba Guest Apr 16, 2024
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
๐Ÿ‘ฅ Elijah Mutua Guest Feb 25, 2024
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
๐Ÿ‘ฅ Rose Amukowa Guest Oct 12, 2023
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
๐Ÿ‘ฅ Peter Tibaijuka Guest Apr 18, 2023
Tembea kwa imani, si kwa kuona
๐Ÿ‘ฅ Ruth Kibona Guest Mar 15, 2023
Kwa Mungu, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Victor Kamau Guest Feb 9, 2023
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
๐Ÿ‘ฅ Edwin Ndambuki Guest Jan 21, 2023
Endelea kuwa na imani!
๐Ÿ‘ฅ Samson Tibaijuka Guest Aug 28, 2022
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
๐Ÿ‘ฅ James Malima Guest Aug 17, 2022
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
๐Ÿ‘ฅ David Kawawa Guest Mar 6, 2022
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
๐Ÿ‘ฅ Victor Sokoine Guest Jan 24, 2022
Nakuombea ๐Ÿ™
๐Ÿ‘ฅ Lydia Mahiga Guest Aug 15, 2021
Baraka kwako na familia yako.
๐Ÿ‘ฅ David Kawawa Guest Jun 11, 2021
Imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Margaret Mahiga Guest May 21, 2021
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
๐Ÿ‘ฅ Joseph Kitine Guest Apr 1, 2021
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
๐Ÿ‘ฅ Rose Lowassa Guest Mar 17, 2021
Tumaini ni nanga ya roho
๐Ÿ‘ฅ Thomas Mwakalindile Guest Jan 12, 2021
Rehema zake hudumu milele
๐Ÿ‘ฅ James Mduma Guest Aug 31, 2020
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
๐Ÿ‘ฅ David Ochieng Guest Aug 25, 2020
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
๐Ÿ‘ฅ Monica Nyalandu Guest Jul 19, 2020
Nguvu hutoka kwa Bwana
๐Ÿ‘ฅ Jane Muthui Guest Jun 12, 2020
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
๐Ÿ‘ฅ Irene Akoth Guest May 7, 2020
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Simon Kiprono Guest Dec 9, 2019
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
๐Ÿ‘ฅ Andrew Odhiambo Guest Nov 11, 2019
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
๐Ÿ‘ฅ Robert Ndunguru Guest Jun 15, 2019
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
๐Ÿ‘ฅ James Kawawa Guest Apr 25, 2019
Sifa kwa Bwana!
๐Ÿ‘ฅ Bernard Oduor Guest Apr 9, 2019
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
๐Ÿ‘ฅ Patrick Kidata Guest Apr 5, 2019
Mungu ni mwema, wakati wote!
๐Ÿ‘ฅ Mary Kendi Guest Feb 27, 2019
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
๐Ÿ‘ฅ Jane Muthoni Guest Nov 9, 2018
Wakati wa Mungu ni kamilifu
๐Ÿ‘ฅ Alice Wanjiru Guest Aug 12, 2018
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
๐Ÿ‘ฅ Peter Mbise Guest May 15, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Raphael Okoth Guest Apr 20, 2018
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
๐Ÿ‘ฅ Lucy Kimotho Guest Dec 27, 2017
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
๐Ÿ‘ฅ Betty Kimaro Guest Dec 27, 2017
Dumu katika Bwana.
๐Ÿ‘ฅ Joyce Mussa Guest Jul 1, 2017
Mungu akubariki!
๐Ÿ‘ฅ Linda Karimi Guest Sep 26, 2016
Mwamini katika mpango wake.
๐Ÿ‘ฅ James Malima Guest Aug 10, 2016
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
๐Ÿ‘ฅ Anna Malela Guest Jul 16, 2016
Neema na amani iwe nawe.
๐Ÿ‘ฅ Charles Mrope Guest May 24, 2016
Neema ya Mungu inatosha kwako
๐Ÿ‘ฅ John Lissu Guest Apr 10, 2016
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
๐Ÿ‘ฅ Elizabeth Mrope Guest Feb 8, 2016
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
๐Ÿ‘ฅ Vincent Mwangangi Guest Jan 29, 2016
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
๐Ÿ‘ฅ Moses Mwita Guest Dec 14, 2015
Katika imani, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Patrick Akech Guest Dec 7, 2015
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
๐Ÿ‘ฅ Alice Mwikali Guest Nov 11, 2015
Rehema hushinda hukumu
๐Ÿ‘ฅ David Ochieng Guest Sep 5, 2015
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
๐Ÿ‘ฅ Jacob Kiplangat Guest Jun 3, 2015
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

๐Ÿ”— Related Posts

๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About