Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Amri ya nne ya Mungu: Kuheshimu Wazazi

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Katika Amri ya nne ya Mungu tumeamriwa nini?

Tumeamriwa tuwaheshimu wazazi wetu na wakubwa wetu wote, tuwapende, tuwatii na tuwaombee. (Kut 20:12, Kol 3:20)


Amri ya Nne ya Mungu tumeamriwa nini?

Tumeamriwa tuwaheshimu wazazi wetu na wakubwa wote, tuwapende, tuwatii na tuwaombee. (Kut 20:12), Kol 3:20


Kwa sababu gani yatupasa kuwaheshimu Baba na Mama?

Yatupasa kuwaheshimu Baba na Mama kwa sababu;

1. Wameshirikiana na Mungu kutuleta duniani walipotuzaa
2. Wamewekwa na Mungu ili watulee na kutuongoza Mbinguni
3. Mungu ameamuru tuwapende wazazi mara baada ya Yeye. (Ayu 3:1-9)


Wazazi na wakubwa wameamriwa nini?

Wazazi na wakubwa wameamriwa watutunze na kutulea


Tuwaheshimu Baba na Mama kwa matendo gani?

Tuwaheshimu Baba na Mama kwa matendo ya adabu, heshima, utii na mapendo (Ayu 3:12)


Twawakosea Heshima Baba na Mama kwa kufanya nini?

Twawakosea Heshima Baba na Mama kwa;

1. Tukiwakasirisha na kuwatukana
2. Tukiwakaidi na kuwapiga
3. Tukiacha kuwaombea
4. Tukiacha kuwasaidia katika shida na uzee. (Kut 21:15-17)


Wazazi wawaleeje watoto wao katika imani ya Kikristo?

Wawalee hasa kwa mfano wao, kwa sala, kwa katekesi ya kifamilia na kushiriki maisha ya Kanisa


Lini tunakatazwa kuwatii watu?

Tunakatazwa kuwatii watu wanaotuamuru jambo lililokatazwa na Mungu (Mdo 5:29)


Katika Amri ya Nne ya Mungu tumekatazwa nini?

Tumekatazwa haya;

1. Kukaidi wazazi na wakubwa wetu
2. Kuwakasirisha.
3. Kuwadharau.


Wakubwa tunaopaswa kuwaheshimu ni kina nani?

Wakubwa hao ni;

1. Viongozi wa Kanisa
2. Viongozi wa Serikali
3. Walimu na walezi
4. Wakubwa wa kazi (War 13:1)
5. Viongozi wa Jumuiya

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Peter Mugendi Guest Jul 9, 2024
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Christopher Oloo Guest Jun 20, 2024
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Isaac Kiptoo Guest May 11, 2024
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Lydia Mahiga Guest Apr 24, 2024
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Rose Lowassa Guest Jan 16, 2024
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Simon Kiprono Guest Dec 20, 2023
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Mary Mrope Guest Sep 3, 2023
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Ruth Kibona Guest Jul 26, 2023
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Sarah Mbise Guest May 29, 2023
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Andrew Odhiambo Guest May 17, 2023
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Elizabeth Mrope Guest Apr 25, 2023
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Edward Chepkoech Guest Mar 17, 2023
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Victor Malima Guest Feb 6, 2023
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Victor Mwalimu Guest Jun 10, 2022
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Tabitha Okumu Guest Jan 22, 2022
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Agnes Sumaye Guest Dec 6, 2021
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Betty Akinyi Guest Nov 3, 2021
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Moses Kipkemboi Guest Oct 21, 2021
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Peter Otieno Guest Nov 16, 2020
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Francis Mtangi Guest Nov 4, 2020
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Joseph Njoroge Guest Sep 14, 2020
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Josephine Nduta Guest Sep 2, 2020
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Paul Kamau Guest Aug 4, 2020
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Jane Muthui Guest Jun 4, 2020
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Joseph Njoroge Guest Mar 7, 2020
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Joyce Mussa Guest Sep 9, 2019
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Joseph Kiwanga Guest Jul 26, 2019
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Frank Sokoine Guest May 30, 2019
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Frank Sokoine Guest Mar 14, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ George Mallya Guest Aug 21, 2018
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Edith Cherotich Guest Jul 24, 2018
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Lucy Kimotho Guest Jul 23, 2018
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Samson Mahiga Guest May 31, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Grace Mligo Guest May 10, 2018
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Andrew Mchome Guest Apr 21, 2018
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Samuel Omondi Guest Dec 12, 2017
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Andrew Mahiga Guest Apr 30, 2017
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Peter Otieno Guest Apr 26, 2017
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Nora Kidata Guest Feb 26, 2017
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Sarah Achieng Guest Feb 20, 2017
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Vincent Mwangangi Guest Feb 18, 2017
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Alice Mrema Guest Jan 17, 2017
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ James Kimani Guest May 18, 2016
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ George Mallya Guest Apr 6, 2016
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Martin Otieno Guest Feb 7, 2016
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ David Sokoine Guest Jan 22, 2016
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Joyce Nkya Guest Jan 19, 2016
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Bernard Oduor Guest Nov 21, 2015
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Stephen Malecela Guest Aug 18, 2015
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Christopher Oloo Guest Apr 7, 2015
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About