Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Mambo ya Muhimu kufahamu kuhusu Ishara ya Msalaba

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Ishara ya msalaba ni nini?
Ishara ya Msalaba ni tendo la mtu kugusa panda la uso, kifua na mabega kwa kutumia mkono wa kulia na kutamkaΒ "Kwa jina la Baba, na la Mwana na la Roho Mtakatifu, Amina"

Kwa kugusa paji la uso tuna maana gani?
Kwa kugusa paji la uso tuna maana ya kukubali kwa akili

Kwa kugusa kifua tuna maana gani?
Kwa kugusa kifua maana yake ni kuupokea na kuukubali msalaba moyoni.

Kwa kugusa mabega tuna maana gani?
Kwa kugusa mabega maana yake ni kuwa tayari kuubeba msalaba kwa nguvu zetu zote

Kwa nini tunafanya Ishara ya Msalaba?
Tunafanya Ishara ya Msalaba kwa nia ya kumkiri Mungu mmoja katika Nafsi Tatu. Pia msalaba ni Ishara ya Ukombozi wetu

Ishara ndogo ya Msalaba juu ya panda la uso, mdomo, na kifua kabla ya Injili ina maana gani?
Maana yake ni kama Ahadi kuwa, Niko tayari kulifahamu Neno la Mungu kwa akili yangu, Nitalitangaza kishujaa kwa Midomo yangu, Nitalipenda na kulishika kwa Moyo wangu wote.
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Vincent Mwangangi Guest Jun 30, 2024
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Margaret Anyango Guest Mar 3, 2024
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Elizabeth Malima Guest Feb 12, 2024
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Frank Macha Guest Sep 16, 2023
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Elizabeth Malima Guest Jun 27, 2023
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Michael Mboya Guest May 30, 2023
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Philip Nyaga Guest Apr 8, 2023
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Nancy Akumu Guest Feb 5, 2023
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Lucy Mushi Guest Dec 22, 2022
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Henry Sokoine Guest Jul 23, 2022
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Victor Malima Guest Jul 3, 2022
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Alice Wanjiru Guest Jun 3, 2022
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Nancy Komba Guest May 16, 2022
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Rose Mwinuka Guest Feb 27, 2022
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Carol Nyakio Guest Dec 22, 2021
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Moses Mwita Guest Oct 25, 2021
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Anna Mchome Guest Oct 20, 2021
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Mariam Hassan Guest Jul 29, 2021
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Benjamin Masanja Guest Jul 13, 2021
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Mariam Kawawa Guest Apr 21, 2021
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Nancy Kabura Guest Jan 22, 2021
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Janet Sumari Guest Jan 15, 2021
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Joyce Aoko Guest Nov 21, 2020
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Victor Sokoine Guest Aug 5, 2020
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ David Nyerere Guest Jul 7, 2020
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Alex Nakitare Guest Jul 6, 2020
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Patrick Akech Guest Apr 23, 2020
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Sarah Mbise Guest Apr 21, 2020
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Janet Sumaye Guest Mar 9, 2020
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Anna Malela Guest Feb 24, 2020
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Elizabeth Mrope Guest Jan 3, 2020
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Betty Kimaro Guest Oct 2, 2019
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Ruth Wanjiku Guest Jun 24, 2019
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Vincent Mwangangi Guest Mar 13, 2019
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Jackson Makori Guest Jan 9, 2019
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Philip Nyaga Guest Nov 10, 2018
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Alice Jebet Guest Sep 10, 2018
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Anna Mchome Guest Aug 29, 2018
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Lucy Wangui Guest Apr 19, 2018
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ David Sokoine Guest Jan 29, 2018
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Grace Mushi Guest Jul 3, 2017
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Sarah Karani Guest Jun 7, 2017
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Moses Mwita Guest May 8, 2017
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Janet Mwikali Guest Apr 22, 2017
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Anna Mchome Guest Feb 24, 2017
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ George Ndungu Guest Feb 14, 2017
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Mary Kendi Guest Jul 13, 2016
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Irene Makena Guest Apr 6, 2016
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Anna Malela Guest Nov 5, 2015
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Samuel Were Guest Sep 19, 2015
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About