Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ

Hadithi: Mkasa wa kusisimua, Jifunze kitu hapa

โ€ข
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Watu wawili๐Ÿ‘ฌ walikuwa wanakunywa pombe๐Ÿบ๐Ÿป baa. Wakati wanakunywa wakaanza kubishana๐Ÿ™…๐Ÿพโ€โ™‚ na baadaye ule ubishi ukawa ugomvi.

Mmoja akamrukia mwenzake akaanza kumpiga. Baada ya kumpiga kwa muda mrefu akagundua kuwa mwenzake hapumui tena.

Kumbe amemwua mwenzie.๐Ÿ˜ฐ

Ndipo alipoanza kukimbia๐Ÿƒ๐Ÿพ huku shati laki likiwa limechafuka sana na damu. Wale waliyokuwa wanauangalia ule ugomvi wakaanza kumfukuza.
๐Ÿƒ๐Ÿพ ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™€๐Ÿƒ๐Ÿพ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™€๐Ÿƒ๐Ÿพ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™€๐Ÿƒ๐Ÿพ

Huyu mwuaji akakimbilia kwenye ๐Ÿก๐Ÿƒ๐Ÿพnyumba ya mtu mmoja mcha Mungu na akamwomba yule mtu amfiche maana ameua mtu na watu walikuwa wanamfukuza.

Yule mcha Mungu akasema nitakuficha wapi wakati mimi nina chumba kimoja tu?๐Ÿ˜จ

Yule mwuaji akamjibu akamwambia acha kuendelea kupoteza wakati fikiria tu mahali pa kunificha. Yule mcha Mungu akavua shati๐Ÿ‘” lake safi akampa yule mwuaji alafu yeye akachukua lile shati la muaji lililojaa damu akalivaa.

Akampa sharti yule mwuaji na kumwambia tunza shati langu usilichafue. Yule mcha Mungu alipofungua mlango wa chumba chake wale watu wakamvamia๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™€๐Ÿƒ๐Ÿพ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™€๐Ÿƒ๐Ÿพ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™€๐Ÿƒ๐Ÿพ๐Ÿƒ๐Ÿพ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™€๐Ÿƒ๐Ÿพ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™€๐Ÿƒ๐Ÿพ na kumpiga sana wakijua yeye ndo mwuaji huku mwuaji akiondoka salama na kurudi kwake.

Baada ya kumpiga sana yule ndugu akapelekwa polisi๐Ÿ‘ฎ๐Ÿพ๐Ÿ‘ฎ๐Ÿฝโ€โ™€ na baadaye akapelekwa mahakamani na akahukumiwa kunyongwa๐Ÿ‘ด๐Ÿผ kwa kumwua mtu mwingine.

Yule mwuaji halisi akiwa kule nyumbani alijisikia vibaya sana๐Ÿ˜ž akaenda mahakamani akajisalimisha akasema yeye ndiye aliyeua, yule ndugu aachiwe huru.

Hakimuโš– akamwambia umechelewa, yule ndugu kesha nyongwa.

Alilia๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ฉ sana na kujiambia kuwa yule mtu amekufa kwa kosa ambalo sio lake.๐Ÿ˜ฐ

Akakumbuka maneno ya mwisho ya yule ndugu _*"LITUNZE SHATI LANGU USILICHAFUE."*_

Wapendwa,
YESU alikufa kwa ajili ya dhambi zako na zangu. Alichukua vazi letu lililochafuliwa na uchafu wa dhambi zetu akatupa vazi Lake takatifu la haki. YESU aliuawa kwa kosa lako na langu. Akatupa haki Yake na kutuambia tusichafue tena maisha yetu.

Kuendelea kutenda dhambi baada ya yale ambayo Yesu ametufanyia ni kuidharau sana kazi ya msalaba na kuikanyagia chini Damu Yake ambayo tumesafishwa kwayo.

Ni kushindwa kuthamini kuwa kuna mtu alishakufa kwa ajili yetu. Ni kushindwa kutambua uthamani wa wokovu ambao tumeupokea.

Wapendwa,
*Tutapataje kupona tusipojali wokovu mkuu namna hii?*

T A F A K A R I

AckySHINE Solutions
โœจ Join AckySHINE for more features! โœจ

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
๐Ÿ‘ฅ Benjamin Kibicho Guest Jul 21, 2024
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
๐Ÿ‘ฅ Betty Akinyi Guest Jun 14, 2024
Dumu katika Bwana.
๐Ÿ‘ฅ Peter Otieno Guest Mar 16, 2024
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
๐Ÿ‘ฅ Mariam Kawawa Guest Mar 13, 2024
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
๐Ÿ‘ฅ David Musyoka Guest Dec 9, 2023
Wakati wa Mungu ni kamilifu
๐Ÿ‘ฅ Thomas Mwakalindile Guest Sep 1, 2023
Rehema hushinda hukumu
๐Ÿ‘ฅ David Kawawa Guest Jul 18, 2023
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Jane Malecela Guest Feb 23, 2023
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
๐Ÿ‘ฅ Michael Onyango Guest Feb 14, 2023
Neema ya Mungu inatosha kwako
๐Ÿ‘ฅ Vincent Mwangangi Guest Dec 19, 2022
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
๐Ÿ‘ฅ Mary Kidata Guest Jun 6, 2022
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
๐Ÿ‘ฅ Henry Mollel Guest May 26, 2022
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
๐Ÿ‘ฅ David Ochieng Guest May 14, 2022
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
๐Ÿ‘ฅ Isaac Kiptoo Guest Aug 29, 2021
Nguvu hutoka kwa Bwana
๐Ÿ‘ฅ Francis Mrope Guest Jan 30, 2021
Tumaini ni nanga ya roho
๐Ÿ‘ฅ Chris Okello Guest Jun 28, 2020
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
๐Ÿ‘ฅ Peter Tibaijuka Guest Jun 10, 2020
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
๐Ÿ‘ฅ Chris Okello Guest May 20, 2020
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
๐Ÿ‘ฅ Sarah Karani Guest May 13, 2020
Endelea kuwa na imani!
๐Ÿ‘ฅ Ann Awino Guest Mar 1, 2020
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Betty Akinyi Guest Feb 24, 2020
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
๐Ÿ‘ฅ Betty Kimaro Guest Dec 11, 2019
Imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Jane Muthui Guest Oct 23, 2019
Baraka kwako na familia yako.
๐Ÿ‘ฅ Thomas Mwakalindile Guest Oct 14, 2019
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
๐Ÿ‘ฅ Peter Mugendi Guest Sep 7, 2019
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
๐Ÿ‘ฅ Irene Akoth Guest May 28, 2019
Mwamini katika mpango wake.
๐Ÿ‘ฅ Ann Wambui Guest May 26, 2019
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
๐Ÿ‘ฅ Robert Ndunguru Guest Apr 22, 2019
Mungu akubariki!
๐Ÿ‘ฅ Elizabeth Malima Guest Mar 11, 2019
Neema na amani iwe nawe.
๐Ÿ‘ฅ Edward Lowassa Guest Oct 16, 2018
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
๐Ÿ‘ฅ Jane Muthoni Guest Sep 5, 2018
Nakuombea ๐Ÿ™
๐Ÿ‘ฅ Charles Wafula Guest Aug 13, 2018
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
๐Ÿ‘ฅ Robert Okello Guest Jul 3, 2018
Katika imani, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Monica Adhiambo Guest May 13, 2018
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
๐Ÿ‘ฅ Betty Akinyi Guest Apr 2, 2018
Mwamini Bwana; anajua njia
๐Ÿ‘ฅ Stephen Kikwete Guest Oct 1, 2017
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
๐Ÿ‘ฅ James Kimani Guest Jul 15, 2017
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
๐Ÿ‘ฅ Benjamin Kibicho Guest Jun 8, 2017
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
๐Ÿ‘ฅ Betty Kimaro Guest May 1, 2017
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
๐Ÿ‘ฅ Faith Kariuki Guest Mar 27, 2017
Kwa Mungu, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Francis Mtangi Guest Mar 26, 2017
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
๐Ÿ‘ฅ Henry Sokoine Guest Oct 26, 2016
Sifa kwa Bwana!
๐Ÿ‘ฅ Grace Minja Guest Aug 10, 2016
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
๐Ÿ‘ฅ Joy Wacera Guest Apr 3, 2016
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
๐Ÿ‘ฅ George Tenga Guest Feb 20, 2016
Rehema zake hudumu milele
๐Ÿ‘ฅ Victor Kamau Guest Dec 8, 2015
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
๐Ÿ‘ฅ John Lissu Guest Nov 5, 2015
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
๐Ÿ‘ฅ Lucy Mahiga Guest Oct 4, 2015
Tembea kwa imani, si kwa kuona
๐Ÿ‘ฅ Janet Mbithe Guest Jun 5, 2015
Mungu ni mwema, wakati wote!
๐Ÿ‘ฅ Frank Sokoine Guest Apr 27, 2015
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

๐Ÿ”— Related Posts

๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About