Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Majivuno na Kujikweza Mbele ya Mungu

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Rejea Luka 14:7-24 na Luka 18 :9-18
Mungu anakawaida ya kumkweza yoyote ajishushaye na kumshusha yule ajikwezaye. Vile unavyojiona bora mbele ya Mungu na mbele ya watu ndivyo na Mungu anatakavyokuonyesha kuwa wewe sio bora au wewe sio zaidi ya wengine.

Madhara ya Kujikweza au majivuno

1. Sala zako hazitajibiwa kwa kuwa mara zote nia ya sala zako zitakua ni za kujitakia makuu.
2. Kusahau nafasi ya Mungu katika maisha yako na kuhisi unajitosheleza kwa yote.
3.Kusahau nafasi na umuhimu wa wengine kwa kuhisi kuwa hawana thamani kama wewe.

Dalili za Kujikweza au majivuno

1.Kutaka au kupenda kuwa na nafasi ya kwanza kwenye kila kitu.
2. Kukosa uvumilivu
3. Kuwa na hofu ya kushindwa na kufedheheshwa
4.Kukosa upendo na kujali kwa wengine
5. Kupungua imani kwa Mungu. Yani kuhisi kama Mungu anaweza kufanya au hawezi.
6. Kupungua ukaribu wako kwa Mungu.
7.Kutokupenda kusali /kuomba Mungu.

Dawa ya majivuno au jinsi ya kujishusha

1.Kujifunza unyenyekevu.
2.Kujifunza upendo wa kweli kwa Mungu na wengine.
3. Jifunze kuwaombea wengine. Hii itasaidia kujenga unyenyekevu.
4. Kujifunza kuridhika
5. Jifunze kufurahia mafanikio ya wengine.
6. Usiwe muongeaji sana na mchunguzi wa mambo ya watu sana.



AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Grace Wairimu Guest May 14, 2024
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Kevin Maina Guest May 6, 2024
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Faith Kariuki Guest Jun 7, 2023
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Edith Cherotich Guest May 21, 2023
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Patrick Kidata Guest Feb 20, 2023
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Nancy Kawawa Guest Jan 16, 2023
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Jane Malecela Guest Nov 6, 2022
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Sarah Karani Guest Oct 24, 2022
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Anthony Kariuki Guest Jul 9, 2022
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Jul 1, 2022
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Peter Mwambui Guest May 25, 2022
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Alice Mrema Guest May 23, 2022
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Susan Wangari Guest Jan 1, 2022
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Victor Kimario Guest Oct 8, 2021
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ James Mduma Guest Oct 5, 2021
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Janet Wambura Guest Sep 26, 2021
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Emily Chepngeno Guest Sep 12, 2021
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Patrick Akech Guest Aug 21, 2021
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Francis Mrope Guest Aug 17, 2021
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Ruth Wanjiku Guest Dec 2, 2020
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Jacob Kiplangat Guest May 6, 2020
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Monica Nyalandu Guest Apr 11, 2020
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Monica Adhiambo Guest Jan 13, 2020
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Henry Sokoine Guest Dec 8, 2019
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Victor Malima Guest Oct 29, 2019
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Peter Mwambui Guest Jun 5, 2019
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Margaret Mahiga Guest Feb 4, 2019
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Dorothy Nkya Guest Jan 28, 2019
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Catherine Mkumbo Guest Dec 3, 2018
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Catherine Mkumbo Guest Oct 29, 2018
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Nora Lowassa Guest Sep 2, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Agnes Njeri Guest Aug 29, 2018
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Victor Kamau Guest Nov 20, 2017
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Anna Sumari Guest Oct 31, 2017
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Charles Mboje Guest Sep 13, 2017
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Nancy Komba Guest Jul 22, 2017
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Agnes Sumaye Guest May 27, 2017
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Esther Nyambura Guest Apr 15, 2017
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Miriam Mchome Guest Apr 6, 2017
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Ruth Kibona Guest Dec 14, 2016
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Agnes Njeri Guest Nov 1, 2016
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Alice Jebet Guest Oct 15, 2016
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Benjamin Kibicho Guest Oct 6, 2016
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Benjamin Kibicho Guest Sep 2, 2016
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Alex Nyamweya Guest Sep 1, 2016
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Moses Kipkemboi Guest Jul 31, 2016
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Tabitha Okumu Guest May 31, 2016
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Brian Karanja Guest Sep 14, 2015
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Hellen Nduta Guest Jun 13, 2015
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ David Kawawa Guest May 19, 2015
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About