Mapaja na nyonga ni sehemu ya mwili i i iliyo karibu na viungo vya uzazi vya mwanamke. Kwa sababu ya mvuto wa kijinsia kati ya mwanaume na mwanamke, ambao ni wa asili, mwanaume anapoona kilicho na uhusiano wa karibu na viungo vya uzazi au viungo vyenyewe hupata msisimko.
Kwa nini mwanaume akiona mapaja ya mwanamke uume wake husimama?
β’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
