Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kwa nini watu wanakuwa wagomvi na wakali wanapokuwa wamelewa?

Featured Image

Madhara ya pombe husababisha watu walioolewa kugombana.
Kutokana na ushawishi wa pombe watu hupoteza tabia zao
za kawaida na kuona vigumu kuhimili mihemko na kushindwa
kufanya maamumzi katika hali hiyo. Matokeo yake, mlevi
huyachukulia tofauti mazingira na maneno. Watu waliolewa hukasirishwa haraka na vitu ambavyo wangevipuuza kama
wasingekuwa wamelewa. Mara nyingi huwapiga watu wakati
wangetatua hali hiyo kwa njia tofauti kama wasingelewa.
Kama jambo hili litatokea miongoni mwa rafiki zako au familia,
jaribu kuwa mbali na uepuke ulevi. Usijaribu kujadiliana na mtu
aliyelewa kwa sababu kwa vyovyote hatakuelewa.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Je, kama mwanamke na mwanaume wanapata watoto wa jinsia moja tu, ni kosa la nani?

Je, kama mwanamke na mwanaume wanapata watoto wa jinsia moja tu, ni kosa la nani?

Hakuna mwenye kosa, kwa sababu jinsia ya mtoto i inategemea na bahati na hamna uwezekano wa kupan... Read More

Je, ni lazima kumeza vidonge vya kuzuia mimba siku zote, hata zile siku nisipojamiiana?

Je, ni lazima kumeza vidonge vya kuzuia mimba siku zote, hata zile siku nisipojamiiana?

Ndiyo, vidonge vya kuzuia mimba ni lazima vimezwe kila siku hata kama hufanyi ngono siku hiyo. Ku... Read More

Ushauri kwa mtu aliyebakwa

Ushauri kwa mtu aliyebakwa

Jambo la kwanza jaribu kumwondoa hofu mwathiriwa na
muliwaze maana amepata jambo la kutisha.... Read More

Wakati wa makuzi/ kubalehe/ kuvunja ungo, ni mabadiliko gani yanatokea kwenye miili ya wasichana?

Wakati wa makuzi/ kubalehe/ kuvunja ungo, ni mabadiliko gani yanatokea kwenye miili ya wasichana?

Balehe ni kipindi cha mpito kati ya utoto na utu uzima, ambapo watoto wa ki... Read More

Njia za Kujenga Ukaribu wa Kiroho na Msichana katika Uhusiano

Njia za Kujenga Ukaribu wa Kiroho na Msichana katika Uhusiano

Kujenga ukaribu wa kiroho na msichana katika uhusiano ni jambo muhimu sana. Uhusiano wa kimapenzi... Read More

Je, watu wote wenye virusi vya UKIMWI watapata UKIMWI? Na kama ndiyo, itachukua muda gani?

Je, watu wote wenye virusi vya UKIMWI watapata UKIMWI? Na kama ndiyo, itachukua muda gani?

Ndiyo, baada ya muda fulani karibia watu wote wenye maambukizi ya Virusi vya UKIMWI wataanza kuug... Read More

Je, nini imani ya watu katika kutumia michezo ya ngono/kufanya mapenzi kama njia ya kuimarisha uhusiano wako?

Je, nini imani ya watu katika kutumia michezo ya ngono/kufanya mapenzi kama njia ya kuimarisha uhusiano wako?

  1. Je, ni sahihi kutumia michezo ya ngono/kufanya mapenzi kama njia ya kuimarisha uhusiano wak... Read More
Je, watu wanapendelea kujaribu michezo wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanapendelea kujaribu michezo wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Habari zenu wapenzi wa blog hii! Leo tutaangazia swali moja la kuvutia sana ambalo huenda linawas... Read More

Je, ni kweli kuwa ulemavu unaweza kugundulika mara tu mtoto anapozaliwa?

Je, ni kweli kuwa ulemavu unaweza kugundulika mara tu mtoto anapozaliwa?

Ni kweli kuwa daktari anaweza kufanya vipimo vya kugundua
kama mtoto aliye tumboni ni mwenye... Read More

Mtoa huduma wa afya anaweza kukataa kutibu?

Mtoa huduma wa afya anaweza kukataa kutibu?

Siyo haki kwa mtoa huduma wa afya kukataa kumtibu.
Kama kijana, una haki sawa ya kutibiwa ka... Read More

Je, mawasiliano ni muhimu katika kuboresha uzoefu wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, mawasiliano ni muhimu katika kuboresha uzoefu wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, wewe na mwenzi wako mnahisi kama hamjawai kufurahia tendo la ndoa? Kila wakati mnafikiri kuwa... Read More

Magonjwa ya zinaa na dalili zake

Magonjwa ya zinaa na dalili zake

Kuna magonjwa mengi tofauti ya zinaa, lakini yale ambayo yameenea sana ni kisonono, kaswende, klamdi... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About