Inakadiriwa huchukua miezi mitatu tangu kuambukizwa na VVU hadi i virusi hivyo vionekane kwenye damu. Itakuwa kazi bure kukimbilia kwenda kupima VVU mara tu baada ya kufanya ngono isiyo salama. Inabidi kusubiri miezi mitatu kabla ya kwenda kwenye Ushauri Nasihi na Upimaji wa Hiari.

Je, inachukua muda gani tangu mtu aambukizwe na VVU hadi vionekane kwenye damu?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine

Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts

Jinsi ya Kujikinga na Maambukizi ya Kisonono na Kaswende
Jinsi ya Kujikinga na Maambukizi ya Kisonono na Kaswende π
Karibu sana kwenye makala hi... Read More

Kwa nini watu wanakuwa wagomvi na wakali wanapokuwa wamelewa?
Madhara ya pombe husababisha watu walioolewa kugombana.
Kutokana na ushawishi wa pombe watu ...
Read More

Je, kama wazazi watawapa dawa za kulevya watoto wao watashitakiwa kisheria?
Ndiyo, watashtakiwa! Wakati mwingine wazazi huwatuma
watoto wao kuchukua au kununua pombe au...
Read More

Kwa nini wasichana wakiingia utu uzima damu zinaanza kutoka kwenye uke?

Nikitumia nyembe kali au sindano pamoja na mtu mwenye Virusi vya UKIMWI ninaweza kupata Virusi vya UKIMWI na UKIMWI?
Ndiyo, unaweza kuambukizwa ukitumia nyembe kali au sindano kwa kuchangia pamoja na mtu mwenye vir... Read More

Jinsi ya Kuwa na Muda Mzuri na Msichana Bila Kutumia Fedha Nyingi
Kutumia fedha nyingi kupata muda mzuri na msichana siyo lazima. Kuna njia nyingi za kuwa na muda ... Read More

Je, Tanzania kuna wataalamu wanaosaidia watu wenye matatizo ya ulevi wa kupindukia?
Ndiyo. Hapa Tanzania kuna kitengo maalumu kinachojishughulisha
na masuala ya akili. Wataalam...
Read More

Je, katika kujaribu fantasia za ngono/kufanya mapenzi pamoja na mwenza wako?
Je, katika kujaribu fantasia za ngono/kufanya mapenzi pamoja na mwenza wako? Hii ni mada ambayo i... Read More

Kama wameoana mume na mke na ikatokea hawapati mtoto, je, utajuaje kuwa tatizo liko kwa mwanamke au mwanaume?
Kwa wastani i i inachukua kama muda wa mwaka mmoja kwa mwanamke kuanza kupata ujauzito, wakikutan... Read More

Je, ni sahihi kuzungumza na wenzio/ marafiki juu ya uhusiano wangu wa kimapenzi?
Kama unavyohusisha rafiki zako katika mihemuko mingine, inaeleweka kama utataka kuwashirikisha ka... Read More

Vidokezo vya Kufanya Msichana Ahisi Anapendwa na Kuthaminiwa
Habari za asubuhi wapendwa! Leo, tutajadili vidokezo muhimu ambavyo vitamsaidia msichana ahisi an... Read More

Je, kuna umuhimu wa kuelewa tamaa na mahitaji ya ngono/kufanya mapenzi ya mwenza wako?
Je, kuna umuhimu wa kuelewa tamaa na mahitaji ya ngono/kufanya mapenzi ya mwenza wako? Ndio! Ni m... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!