Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA MAPENDO

Featured Image

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupendeza.

Nampenda na jirani yangu kama nafsi yangu,

kwa ajili yako.

Amina

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Robert Okello (Guest) on September 4, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Carol Nyakio (Guest) on August 29, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Violet Mumo (Guest) on June 21, 2017

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Miriam Mchome (Guest) on June 6, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Sarah Karani (Guest) on April 15, 2017

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

James Kimani (Guest) on December 27, 2016

Rehema hushinda hukumu

Ann Wambui (Guest) on December 11, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Edward Chepkoech (Guest) on November 15, 2016

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Lucy Kimotho (Guest) on October 13, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Ann Wambui (Guest) on August 6, 2016

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Lydia Mahiga (Guest) on March 5, 2016

Nakuombea πŸ™

Joseph Mallya (Guest) on December 26, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Edward Lowassa (Guest) on November 23, 2015

πŸ™πŸ™πŸ™

James Malima (Guest) on November 21, 2015

Sifa kwa Bwana!

Michael Onyango (Guest) on September 3, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Mercy Atieno (Guest) on July 26, 2015

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Raphael Okoth (Guest) on July 22, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Susan Wangari (Guest) on July 14, 2015

Mwamini Bwana; anajua njia

Lydia Mahiga (Guest) on July 12, 2015

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Martin Otieno (Guest) on June 25, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Jane Muthui (Guest) on June 21, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Jane Muthui (Guest) on June 17, 2015

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Janet Mwikali (Guest) on May 6, 2015

Dumu katika Bwana.

Related Posts

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka... Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About