Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Featured Image

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote. Kumbuka ile tamaa yako kuu uliyoonyesha huku duniani ya " kusimika Msalaba wa Yesu Kristu, katika nchi zote na kuhubiri Injili mpaka mwisho wa dunia" . Twakuomba kwa ajili ya maagano yako, wasaidie mapadre, wamisionari, na kanisa zima.

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu " Msimamizi wa misioni" UTUOMBEE

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Richard (Guest) on July 1, 2024

The scriptures are extremely nourishing. I like the combinations of the prayers in this. May God bless you

Melkisedeck Leon Shine (Master Admin) on July 11, 2024

Asante sana, Na wewe pia ubarikiwe.

Richard (Guest) on July 1, 2024

Quite inspiring. The scriptures are extremely nourishing. I like the combinations of the prayers in this. May God bless you

Melkisedeck Leon Shine (Master Admin) on July 11, 2024

Amina. Karibu sana,
Endelea kubarikiwa.

Nora Lowassa (Guest) on June 3, 2024

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Ann Wambui (Guest) on March 17, 2024

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Rose Amukowa (Guest) on February 22, 2024

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

George Mallya (Guest) on January 11, 2024

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Susan Wangari (Guest) on October 25, 2023

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Sarah Mbise (Guest) on October 17, 2023

Nguvu hutoka kwa Bwana

Grace Njuguna (Guest) on September 2, 2023

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Joyce Mussa (Guest) on June 23, 2023

Rehema hushinda hukumu

Nancy Akumu (Guest) on April 16, 2023

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Joyce Mussa (Guest) on March 31, 2023

Sifa kwa Bwana!

Victor Malima (Guest) on December 4, 2022

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Rose Mwinuka (Guest) on November 30, 2022

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Rose Mwinuka (Guest) on November 27, 2022

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Sarah Achieng (Guest) on November 20, 2022

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Monica Nyalandu (Guest) on September 3, 2022

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Kevin Maina (Guest) on August 13, 2022

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Diana Mumbua (Guest) on July 4, 2022

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Hamida (Guest) on April 17, 2022

πŸ™πŸ™πŸ™

Janet Mwikali (Guest) on March 7, 2022

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Ann Awino (Guest) on January 27, 2022

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Nancy Kabura (Guest) on January 26, 2022

Tumaini ni nanga ya roho

Betty Kimaro (Guest) on July 31, 2021

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Mercy Atieno (Guest) on June 23, 2021

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Carol Nyakio (Guest) on June 6, 2021

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Patrick Akech (Guest) on May 22, 2021

Rehema zake hudumu milele

Betty Cheruiyot (Guest) on March 21, 2021

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Ann Wambui (Guest) on February 10, 2021

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Francis Mrope (Guest) on February 6, 2021

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Edward Lowassa (Guest) on December 27, 2020

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Michael Onyango (Guest) on November 20, 2020

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Violet Mumo (Guest) on October 5, 2020

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Isaac Kiptoo (Guest) on June 10, 2020

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Nancy Kawawa (Guest) on February 28, 2020

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Catherine Mkumbo (Guest) on February 18, 2020

Neema ya Mungu inatosha kwako

Raphael Okoth (Guest) on January 12, 2020

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Catherine Mkumbo (Guest) on September 26, 2019

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

George Wanjala (Guest) on September 15, 2019

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Stephen Kangethe (Guest) on August 18, 2019

Baraka kwako na familia yako.

Nancy Akumu (Guest) on April 29, 2019

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Benjamin Masanja (Guest) on April 14, 2019

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Lucy Mushi (Guest) on January 29, 2019

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Francis Mrope (Guest) on January 28, 2019

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Joseph Kiwanga (Guest) on January 15, 2019

Katika imani, yote yanawezekana

Moses Kipkemboi (Guest) on January 14, 2019

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Richard Mulwa (Guest) on January 6, 2019

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Jane Muthoni (Guest) on January 1, 2019

Mwamini katika mpango wake.

Charles Mrope (Guest) on December 23, 2018

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Anna Malela (Guest) on November 20, 2018

Endelea kuwa na imani!

George Mallya (Guest) on November 13, 2018

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Jane Muthui (Guest) on August 25, 2018

Dumu katika Bwana.

Frank Macha (Guest) on July 10, 2018

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Samuel Omondi (Guest) on July 2, 2018

Wakati wa Mungu ni kamilifu

James Kimani (Guest) on June 26, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

David Sokoine (Guest) on April 30, 2018

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Kevin Maina (Guest) on March 17, 2018

πŸ™πŸ™πŸ™

Monica Nyalandu (Guest) on November 17, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Related Posts

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)