Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Featured Image

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti Takatifu ya Altare;/ pokea kitendo hiki cha kukuangukia kifudi fudi/ kama ishara ya tamaa niliyonayo ya kukuabudu Wewe/ bila kuchoka/ na kukushukuru kwa mapendo yako makubwa/ yasiyo na kipimo/ ambayo Moyo wako Mtakatifu sana/ unawaka katika Sakramenti Takatifu hii./ Siwezi kukushukuru vizuri zaidi/ kuliko kama ningetolea kwako/ matendo yangu yote ya kukuabudu/ unyenyekevu wangu/ uvumilivu na mapendo/ ambayo huu Moyo Mwabudiwa ulifanya,/ bado unafanya/ na utaendelea kufanya katika uzima wa milele mbinguni./ Ninaahidi kupitia Moyo huu,/ nitakupenda,/ nitakutukuza,/ na nitakuabudu kama nitakavyoweza./ Ninajiunganisha na hii Sadaka Takatifu/ ambayo unatoa kwa Baba Mungu/ na ninatolea kwako utu wangu./ Ninakuomba kuangamiza ndani yangu/ dhambi zote pamoja na majeraha yake/ na usikubali kunitenga nawe milele./ Amina.

(Na Mt. Margareta Maria Alakoki)

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Robert Okello (Guest) on June 22, 2024

Katika imani, yote yanawezekana

Diana Mallya (Guest) on June 19, 2024

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Monica Adhiambo (Guest) on May 15, 2024

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Lucy Wangui (Guest) on April 22, 2024

Rehema hushinda hukumu

Janet Wambura (Guest) on April 21, 2024

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Rose Lowassa (Guest) on November 28, 2023

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Alice Mwikali (Guest) on June 19, 2023

Nakuombea πŸ™

Faith Kariuki (Guest) on June 1, 2023

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Hellen Nduta (Guest) on April 26, 2023

Imani inaweza kusogeza milima

Peter Tibaijuka (Guest) on October 20, 2022

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Linda Karimi (Guest) on October 17, 2022

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Mary Kendi (Guest) on August 8, 2022

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Chris Okello (Guest) on July 28, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Betty Akinyi (Guest) on July 9, 2022

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Daniel Obura (Guest) on July 7, 2022

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Agnes Sumaye (Guest) on April 8, 2022

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

John Lissu (Guest) on February 3, 2022

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Monica Adhiambo (Guest) on January 25, 2022

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Raphael Okoth (Guest) on October 26, 2021

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Grace Minja (Guest) on July 12, 2021

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Patrick Akech (Guest) on May 8, 2021

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Faith Kariuki (Guest) on April 21, 2021

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Nancy Kabura (Guest) on April 7, 2021

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Frank Sokoine (Guest) on February 16, 2021

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Jane Muthui (Guest) on February 14, 2021

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

John Mushi (Guest) on January 10, 2021

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Mary Kidata (Guest) on December 27, 2020

Mwamini katika mpango wake.

Mariam Kawawa (Guest) on July 2, 2020

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Jacob Kiplangat (Guest) on June 14, 2020

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Sarah Karani (Guest) on April 29, 2020

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Nancy Kawawa (Guest) on April 27, 2020

Dumu katika Bwana.

Patrick Akech (Guest) on February 26, 2020

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Edith Cherotich (Guest) on February 1, 2020

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Grace Njuguna (Guest) on November 3, 2019

Nguvu hutoka kwa Bwana

Joyce Nkya (Guest) on October 12, 2019

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 1, 2019

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

George Mallya (Guest) on August 2, 2019

Mwamini Bwana; anajua njia

Nancy Komba (Guest) on July 23, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Wilson Ombati (Guest) on April 21, 2019

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Joy Wacera (Guest) on March 17, 2019

Mungu akubariki!

Josephine Nduta (Guest) on March 7, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Victor Kamau (Guest) on March 5, 2019

Neema na amani iwe nawe.

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 5, 2019

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Nancy Akumu (Guest) on March 2, 2019

πŸ™πŸ™πŸ™

Grace Mligo (Guest) on January 23, 2019

Mungu ni mwema, wakati wote!

Lydia Mutheu (Guest) on December 27, 2018

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

James Mduma (Guest) on December 27, 2018

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Samson Mahiga (Guest) on November 3, 2018

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Patrick Kidata (Guest) on August 5, 2018

Baraka kwako na familia yako.

James Mduma (Guest) on May 17, 2018

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Michael Mboya (Guest) on March 13, 2018

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Anna Mchome (Guest) on February 25, 2018

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Ruth Kibona (Guest) on October 1, 2017

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Joseph Kawawa (Guest) on August 28, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Alex Nakitare (Guest) on August 26, 2017

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Daniel Obura (Guest) on August 12, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Elizabeth Mtei (Guest) on July 7, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Esther Cheruiyot (Guest) on June 30, 2017

Rehema zake hudumu milele

Grace Njuguna (Guest) on June 12, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Betty Akinyi (Guest) on May 19, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Related Posts

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
πŸ“– Explore More Articles