Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mafundisho na mapokeo Katika Kanisa Katoliki yanapopatikana kwenye Biblia

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Wakatoliki wengi huyumbishwa kwa kuambiwa huamini mambo ambayo hayako au ni kinyume na Biblia. Aya zifuatazo zitakusaidia wewe mkatoliki kuelewa au kujua mistari ya Biblia inayofafanua imani katoliki.
1) KUOMBEA MAREHEMU:
2 Mak. 12:38-46
Hek. 3:1
Tob 4:17
2) MATUMIZI YA SANAMU NA VISAKRAMENTI
2Fal 3:20-21
Hes. 21:8-9
Kut. 25:17-22
Kol. 1:20, 2:14
Yn. 12:32
Mt. 19:11-12
3) USAHIHI WA MAPOKEO YA KANISA KATOLIKI KAMA CHANZO CHA IMANI
2 The 2:15
2 Kor. 10:10-11
Yn 21-25
2 Yoh. 1:12
3 Yoh. 1:13
4) KUABUDU JUMAPILI BADALA YA JUMAMOSI(SABATO)…. Hasa ni kwa sababu Yesu aliitukuza siku ya kwanza ya juma kwa ufufuko wake na kwa kuwatokea wanafunzi wake siku hiyo.
Ufu 1:10
Mdo 20:7
Mt 28:1-8
Lk. 24:1-7
Lk. 24:13ff
1 Kor. 16:1-2
Yn. 20:1-22
5) MAMLAKA YA PAPA KAMA MFUASI AU MRITHI WA MT. PETRO
Yn. 21:15-17
Mt 16:18-19
W 2:1-14
6) MAPADRI KUITWA BABA WAKATI BABA NI MMOJA ALIYEKO MBINGUNI
Mwa 17:4
Yer. 7:7
Hes. 12:14
Yn. 6:49
Mt 23:30
Lk. 1:73
7) JE BIBLIA INATAMBUA MUUNDO WA UONGOZI WA KANISA?
Efe. 4:11-13
1Tim 5:17-25
1Tim 3:1-7,8-18
8) JE BIBLIA INASEMAJE KUHUSU TOHARANI.
Isa 35:8, 52:1
Zek 13:1-2
1Kor 3:15
Lk 12:47-48, 58-59
Ufu 21:27
Ebr 12:22-23
Ayu 14:13-17
9) KUHUSU MATUMIZI YA UBANI
Kut 30:34-37
Hes 16:6-7
Law 16:12-13
Lk 1:10
Ufu 8:32
10) ROZARI IKO KATIKA BIBLIA?
Lk 1:28
Lk 1:42
11) JE KUTUMIA MAJI YA BARAKA NI MAPENZI YA MUNGU?
2Fal 2:19-22
Yn 5:1-18
Yn 7:37
Hes 19:1-22
12) KWANINI TUNAOMBA WATAKATIFU WATUOMBEE?
Mit 15:8, 15:29
Ayu 42:8
Yak 5:16
Mt 16:19
13)KWANINI TUNATUMIA MEDALI, MISALABA, SCAPURALI NA MIFUPA YA WATAKATIFU?
2Fal 13:20-21
14) KWANINI TUNAUNGAMA DHAMBI ZETU KWA PADRI
Mt 16:19,1-20
Yak 5:15-16
15) UBATIZO WA WATOTO WACHANGA UKO KATIKA BIBLIA
Mdo 16:15-33
Mdo 18:8
Mt 28:19
Mdo 10:47-48
16) KUSIMIKWA KWA UTUME
Kut 28:4-43
17) RANGI ZA KANISA
Kut 27:9-29
18) MATUMIZI YA MISHUMAA
Kut 25:31-40; 27:20-21
Hes 8:1-4
19) MPAKO WA MAFUTA YA KRISMA
Kut 30:22-32
20) MPAKO WA MAFUTA YA WAGONJWA
Yak 5:14-15
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Jacob Kiplangat (Guest) on June 3, 2024

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Irene Makena (Guest) on March 16, 2024

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Frank Sokoine (Guest) on January 28, 2024

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

John Mushi (Guest) on May 25, 2023

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Christopher Oloo (Guest) on April 22, 2023

Dumu katika Bwana.

Anna Mchome (Guest) on April 5, 2023

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Agnes Sumaye (Guest) on February 15, 2023

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Henry Mollel (Guest) on October 28, 2022

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Ann Wambui (Guest) on January 10, 2022

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Edwin Ndambuki (Guest) on September 15, 2021

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Richard Mulwa (Guest) on August 28, 2021

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Miriam Mchome (Guest) on August 12, 2021

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Martin Otieno (Guest) on June 12, 2021

Endelea kuwa na imani!

Ann Awino (Guest) on March 17, 2021

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

David Chacha (Guest) on February 12, 2021

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Janet Mwikali (Guest) on January 9, 2021

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Ann Wambui (Guest) on September 13, 2020

Rehema zake hudumu milele

Andrew Odhiambo (Guest) on July 5, 2020

Sifa kwa Bwana!

Samuel Omondi (Guest) on June 10, 2020

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

John Lissu (Guest) on April 30, 2020

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Lucy Mushi (Guest) on April 20, 2020

Mungu akubariki!

Daniel Obura (Guest) on January 4, 2020

Baraka kwako na familia yako.

Fredrick Mutiso (Guest) on August 21, 2019

Tumaini ni nanga ya roho

Simon Kiprono (Guest) on August 16, 2019

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Agnes Sumaye (Guest) on July 2, 2019

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Stephen Kangethe (Guest) on June 24, 2019

Neema ya Mungu inatosha kwako

Stephen Amollo (Guest) on May 6, 2019

Neema na amani iwe nawe.

Edith Cherotich (Guest) on September 19, 2018

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Lydia Mahiga (Guest) on September 4, 2018

Nakuombea πŸ™

Mary Njeri (Guest) on May 25, 2018

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Lucy Mushi (Guest) on March 23, 2018

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Stephen Malecela (Guest) on January 30, 2018

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Daniel Obura (Guest) on January 17, 2018

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Vincent Mwangangi (Guest) on December 28, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Grace Mligo (Guest) on June 5, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Nora Lowassa (Guest) on April 29, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Elizabeth Malima (Guest) on March 11, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Sarah Achieng (Guest) on February 16, 2017

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Patrick Akech (Guest) on December 30, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Monica Nyalandu (Guest) on December 30, 2016

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Francis Mtangi (Guest) on November 14, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Faith Kariuki (Guest) on June 24, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Lydia Wanyama (Guest) on March 28, 2016

Mwamini Bwana; anajua njia

Francis Mrope (Guest) on February 11, 2016

Rehema hushinda hukumu

Esther Nyambura (Guest) on December 2, 2015

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Joyce Aoko (Guest) on October 3, 2015

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Lydia Mzindakaya (Guest) on June 6, 2015

Nguvu hutoka kwa Bwana

Mercy Atieno (Guest) on May 15, 2015

Mwamini katika mpango wake.

Charles Mboje (Guest) on April 29, 2015

Mungu ni mwema, wakati wote!

Mary Kidata (Guest) on April 6, 2015

Imani inaweza kusogeza milima

Related Posts

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi upendo na huruma kwa wengine kama Kristo alivyofanya?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi upendo na huruma kwa wengine kama Kristo alivyofanya?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi upendo na huruma kwa wengine kama Kristo alivyofa... Read More

Je, Kanisa Katoliki linaheshimu na kufundisha juu ya maombi kwa watakatifu?

Je, Kanisa Katoliki linaheshimu na kufundisha juu ya maombi kwa watakatifu?

Je, Kanisa Katoliki linaheshimu na kufundisha juu ya maombi kwa watakatifu? Jibu ni ndio! Kanisa ... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ekaristi?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ekaristi?

Sakramenti ya Ekaristi ni moja kati ya sakramenti saba zinazoheshimiwa na Kanisa Katoliki. Kwa mu... Read More

Nifunge nini Kwaresma? Mambo ya kufunga kipindi cha Kwaresima

Nifunge nini Kwaresma? Mambo ya kufunga kipindi cha Kwaresima

Read More
Ni nini umuhimu wa Bikira Maria katika imani ya Kanisa Katoliki?

Ni nini umuhimu wa Bikira Maria katika imani ya Kanisa Katoliki?

Ni nini umuhimu wa Bikira Maria katika imani ya Kanisa Katoliki?

Katika imani ya Kanisa Ka... Read More

Maana halisi ya kuolewa au ya kuwa mke

Maana halisi ya kuolewa au ya kuwa mke

NDOA sio kichaka cha kujificha kukimbia matatizo. NDOA sio mahali pa kutolea mkosi. Wala sio maha... Read More

Zaburi ya Toba, Zaburi ya 51

Zaburi ya Toba, Zaburi ya 51

Read More
Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kuheshimu uhuru wa dini na kukuza uelewa na amani kati ya dini mbalimbali?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kuheshimu uhuru wa dini na kukuza uelewa na amani kati ya dini mbalimbali?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kuheshimu uhuru wa dini na kukuza uelewa ... Read More

Unayopaswa kujua Kuhusu Kipindi cha Majilio

Unayopaswa kujua Kuhusu Kipindi cha Majilio

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Yesu Kristo?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Yesu Kristo?

Habari za leo kwa wapenzi wa Yesu Kristo? Leo nitapenda kuzungumzia kuhusu imani ya Kanisa Katoli... Read More

Nafasi ya Bikira Maria Katika Kanisa Katoliki

Nafasi ya Bikira Maria Katika Kanisa Katoliki

Read More
Utaratibu wa Mkristo Mkatoliki Kanisani

Utaratibu wa Mkristo Mkatoliki Kanisani

Read More