Log in to access your menu with tools for managing π tasks, π₯ clients, π° finances, π learning, π personal growth, and π spirituality, all in one place!.
eBooks: Mbinu za Kilimo na Ufugaji Kukuongezea Mapato - AckySHINE
Jinsi ya kulima mahindi kitaalamu kama inavyotakiwa
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:12 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mahindi ni miongon mwa mazao makuu ya chakula hapa nchin Tanzania na ulimwa karibu kila mkoa. Ulimwa zaidi nyanda za juu kusini katika mikoa ya Mbeya, Iringa, Ruvuma, Njimbe na Katavi. Pia mikoa ya Morogoro Mwanza Dodoma Shinyanga Arusha Tanga na mikoa mingine. Kwakua ni zao la biashara hivyo karibu kila mkoa unalima zao hili.
Updated at: 2024-05-23 15:46:11 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kudonoana kwa kuku ni tatizo linalo wa sumbua wengi, ni moja ya athari ya lishe duni. Ni kisema lishe duni na maanisha chakula wanacho kula kukosa vurutubisho muhimu vya madini au kuku kutokula chakula cha kutosha.
Jinsi ya kutengeneza mbolea ya mboji kitaalamu na kwa urahisi
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:00 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mbolea ya mboji hutokana na mabaki ya majani na miti. Majani na miti yanapooza hugeuka na kutengeneza virutubisho ambavyo husaidia kurutubisha udongo na kupunguza gharama.
Mboji ikichanganywa kwenye udongo huifanya mimea kustawi na kuwa na afya ya kujikinga na magonjwa yanayoshambulia mimea. Kwa kawaida wadudu waharibifu hutafuta mimea ambayo ni dhaifu. Udongo ambao umeimarishwa kwa mboji huwa na mimea michache dhaifu. Kwa hivyo, siyo rahisi kushambuliwa na wadudu.
Updated at: 2024-05-23 15:46:02 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Safisha vyombo vya kulishia na kunyweshea kila siku. Osha, sugua vizuri, kisha suuza kuondoa utando unaobeba bakteria.
Kuku wanahitaji wapewe chakula cha kutosha na chenye virutubisho vyote. Unaweza kuwaongezea majani, makombo, nafaka, mchanga laini, au maganda ya mayai
Ugonjwa wa tetanasi au pepopunda unaoathiri sana punda na binadamu
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:45:56 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Huu ni ugonjwa hatari sana kwa maisha ya binadamu. Kinyesi cha punda kinabeba vimelea vijulikanavyo kama clostindium tetanii vinavyosababisha ugonjwa wa tetanasi.
Wadudu hawa wanaweza kuishi katika viumbe wote wenye damu moto maarufu kama mamalia na ndege, na wanapotoka ndani ya miili ya viumbe hao wadudu hao wanaweza kuishi kwenye udongo kwa miaka mingi
Updated at: 2024-05-23 15:45:58 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kichwa cha kabichi kinapofunga vizuri, hutumika kama chakula na huvunwa baada ya kufunga na kukomaa vizuri. Kwa kawaida kabichi hupandwa kwa msimu mmoja, lakini iwapo itakuzwa kwa ajili ya kutoa mbegu hukuzwa zaidi ya msimu mmoja. Endapo inalimwa sehemu yenye maji ya kutosha, inaweza kulimwa msimu wote wa mwaka.
Jinsi ya kutengeneza mbolea ya maji ya kunyunyiza kwenye majani
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:04 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mbolea ya kunyunyiza ni nzuri kwani inasaidia kuupa mmea virutubisho moja kwa moja kupitia kwenye majani au shina ambapo ndipo chakula kinahitajika.
Faida za mbolea ya maji ni pamoja na kuongezeka kwa kiwango cha mavuno, uwezo wa mimea kukabiliana na wadudu pamoja na magonjwa, kuvumilia ukame, na kuongeza ubora wa mazao.
Mambo 6 muhimu ya kuzingatia kupata udongo bora mzuri shambani
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:05 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Udongo ni kiungo muhimu sana katika uzalishaji wa mazao. Ni mfumo wa uhai kwa mimea. Kwa hiyo, mkulima ni lazima alenge katika kutunza uhai wa udongo na kuepuka usumbufu kwa uhai wa udongo.
Jinsi ya kulima vitunguu (vitunguu maji) kwa mbinu za kilimo bora na kwa faida
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:45:49 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Vitunguu ni zao la mbogamboga na hulimwa kwa ajili ya balbu zake ambazo hutumika kama kiungo cha chakula. Vitunguu vina matumizi mengi sana na vina madini joto, chuma, vitamin A, vitamin B, vitamin C na vitamin E. Vitunguu hulimwa na hukubali zaidi nyanda za baridi. Nyanda zenye joto vitunguu hulimwa pia. Vitunguu vinaweza kulimwa mwaka mzima endapo maji yanapatikana.
Jinsi ya kumlisha n'gombe anayekamuliwa atoe maziwa mengi
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:15 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ngβombe wa maziwa wanahitaji virutubisho zaidi ili kuweza kuzalisha maziwa kwa wingi hasa katika kipindi cha miezi 3-4 ya mwanzo baada ya kuzaa, wakati ambao uzalishaji wa maziwa unakuwa juu.
Mambo makubwa yanayosababisha kulazimika kulima au kutifua udongo
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:06 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kutifua udongo ni jambo la muhimu sana ili kuufanya udongo kuwa bora.
Umuhimu wa kutifua udongo ni kama ifuatavyo 1. Hulainisha udongo ili kuruhusu mizizi ya mimea kupenya kwa urahisi. 2. Kutifua kunaboresha uwezekano wa kupenya kwa nitrogen na oxygen kutoka kwenye hewa.
Mambo 5 ya muhimu kuzingatia kuhusu mahali unapotaka kuweka mizinga ya nyuki
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:06 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ukitaka kujua kuwa eneo unalotaka kuweka mizinga ya nyuki ni sahihi unatakiwa kuzingatia yafuatayo:
1. Haishauriwi kuweka mzinga shambani au karibu na shamba. Unatakiwa uweke umbali wa mita 150-200 kutoka kwenye mazao au nyumbani. Hii ni Kulingana na hali ya kujilinda ya nyuki wa Afrika
Mchanganuo wa Tsh 300,000/= kwa uzalishaji wa kuku wa kienyeji kwa faida
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:11 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Hapa tuta hitaji kuku 11 tu wakubwa wanao taga yani majike 10 na Jogoo 1 tu. Kwa kutumia kuku hao 11 baada ya miezi mitatu unaweza ukawa na kuku mia Tatu 300 au na zaidi kama unataka.
Nunua kuku wako katika chanzo cha kuaminika kuepuka magonjwa usinunue kuku sehemu za masokoni au kwenye mabanda ya njiani au kuku wanao safirishwa kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine.
Updated at: 2024-05-23 15:46:13 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mbaazi ni zao la chakula ambalo pia linaweza kulimwa kama zao la biashara kutokana na kuwa na soko zuri la Mbaazi.Mbaazi ina kiasi kikubwa cha protini.Mbaazi inaweza kutoa mavuno ya tani 3.5 hadi 4 kwa hekta
Updated at: 2024-05-23 15:45:59 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
1. Zingatia chanjo muhimu kwa kuku ili kuzuia magonjwa kama utakavyoshauriwa na mtaalamu wa mifugo. Chanjo huanza katika wiki ya kwanza (mfano chanjo ya kuzuia sotoka) na inaweza kurudiwa baadaye.
Jinsi ya kuandaa mbangimwitu kama Dawa ya magonjwa na ya kuulia wadudu shambani
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:05 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mbangi mwitu au kwa kisayansi ni African marigold / (Tagetes erecta) Unazuia Bakteria, fungusi na wadudu kama vile Siafu, bungo pamoja na aina nyingine za wadudu.
Jinsi vitunguu swaumu vinavyosaidia kuzuia wadudu shambani
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:14 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Vitungu saumu vina manufaa sana katika kukabiliana na aina mbalimbali za wadudu waharibifu na baadhi ya magonjwa kutokana na kuwa na harufu kali inayosaidia kuwafukuza wadudu kama vidukari, bungo na hata panya.
Namna ya kufanya Ukaguzi wa mara kwa mara wa banda la kuku kuzuia magonjwa
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:03 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ukaguzi wa Kila siku β’ Hakikisha unasafisha vyombo vya kulishia na kunyweshea pamoja na viota. β’ Ondoa kinyesi kwa kuku. β’ Waangalie kuku wako kwa makini ili kujua afya na maendeleo yao. Yaani ili kutambua kama kuna mwenye ugonjwa
Updated at: 2024-05-23 15:46:04 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ukaguzi wa Kila siku β’ Hakikisha unasafisha vyombo vya kulishia na kunyweshea pamoja na viota. β’ Ondoa kinyesi kwa kuku. β’ Waangalie kuku wako kwa makini ili kujua afya na maendeleo yao. Yaani ili kutambua kama kuna mwenye ugonjwa
Mambo muhimu ya kuzingatia kwenye ufugaji wa nyuki wa asali
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:07 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Unapohitaji unahitaji kufuga nyuki ni lazima uwe na uelewa wa mzunguko wa maisha ya nyuki. Unapoanza ni lazima uulize mtaalamu wa nyuki, wafugaji wenzako ambao wana uzoefu wa kutosha, au kujiunga katika kikundi cha ufugaji ili apate ufahamu zaidi juu ya ufugaji wa nyuki.
Updated at: 2024-05-23 15:45:52 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Pilipili hoho ni zao la jamii ya pilipili isiyo kali, tunda lake ni nene kiasi la duara pia linaweza kuwa lililochongoka. Pilipili hoho hutumika katika kutengeneza rangi za asili za vyakula ambazo kwa sasa hupendwa zaidi kuliko zile zinazotokana na kemikali na pia huongeza ladha na harufu katika vyakula.
Jinsi ya kutumia mashonanguo kama dawa ya kuzuia wadudu kwenye mimea
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:10 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mashonanguo kwa kiingereza ni Blackjack au kwa kisayansi yanajulikana kama (Bidens pilosa) Mashona nguo yanazuia wadudukama vile Vidukari, Siafu, bungo, katapila, chenene (crickets), nyenyere, siafu na inzi weupe.
Aina kuu ya mizinga bora ya nyuki kwa ajili ya kupata asali nyingi
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:08 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Hii ni aina ya mizinga inayotumika sana na wengi. Gharama yake ni ndogo kiasi kulinganisha na mingine. Ni aina nzuri sana kwa mtu anaeanza ufugaji wa nyuki kwa kuwa ni wa gharama nafuu. Mfugaji wa nyuki anaweza kutengeneza mzinga Yya aina hii mwenyewe kama ana utaalamu wa useremala.