
Mbinu za kuzuia magonjwa kwa kuku
Ukaguzi wa Kila sikuβ’ Hakikisha unasafisha vyombo vya kulishia na kunyweshea pamoja na viota.β’ Ondoa kinyesi kwa kuku.β’ Waangalie kuku wako kwa makini ili kujuaβ¦
Browse published Articles by category, tag or language. Random discovery is the default and keeps a stable order while you move through pages.

Ukaguzi wa Kila sikuβ’ Hakikisha unasafisha vyombo vya kulishia na kunyweshea pamoja na viota.β’ Ondoa kinyesi kwa kuku.β’ Waangalie kuku wako kwa makini ili kujuaβ¦

Huu ni ugonjwa hatari sana kwa maisha ya binadamu. Kinyesi cha punda kinabeba vimelea vijulikanavyo kama clostindium tetanii vinavyosababisha ugonjwa wa tetanasβ¦

Wigo wa mimea ni kinga nzuri ya mazao shambani. Mimea ya wigo inaweza kutumika kama kizuizi cha wadudu kuhama hama.Wigo hutatiza vidukari kuhama na kuingia bustβ¦

Hii ni aina ya mizinga inayotumika sana na wengi. Gharama yake ni ndogo kiasi kulinganisha na mingine. Ni aina nzuri sana kwa mtu anaeanza ufugaji wa nyuki kwa β¦

Ukaguzi wa Kila sikuβ’ Hakikisha unasafisha vyombo vya kulishia na kunyweshea pamoja na viota.β’ Ondoa kinyesi kwa kuku.β’ Waangalie kuku wako kwa makini ili kujuaβ¦

Maharagwe yanapandwa kwenye kabichi yanafanya kazi zifuatazo;Kudhibiti wadudu (mtego).Maharage yanaweza kupandwa kati ya mistari ya kabichi yakiwa kama mitego kβ¦

1. Zingatia chanjo muhimu kwa kuku ili kuzuia magonjwa kama utakavyoshauriwa na mtaalamu wa mifugo.Chanjo huanza katika wiki ya kwanza (mfano chanjo ya kuzuia sβ¦

1. Nyumba ya kuku iwe safi na kavu muda wote kuzuia ueneaji na kuzaliana kwa vijidudu vya magonjwa2. Nyumba ya kuku iwe na nafasi za kupitisha hewa ya kutosha iβ¦

Mbangi mwitu au kwa kisayansi ni African marigold / (Tagetes erecta) Unazuia Bakteria, fungusi na wadudu kama vile Siafu, bungo pamoja na aina nyingine za wadudβ¦

Kutifua udongo ni jambo la muhimu sana ili kuufanya udongo kuwa bora.Umuhimu wa kutifua udongo ni kama ifuatavyo1. Hulainisha udongo ili kuruhusu mizizi ya mimeβ¦

Mbaazi ni zao la chakula ambalo pia linaweza kulimwa kama zao la biashara kutokana na kuwa na soko zuri la Mbaazi.Mbaazi ina kiasi kikubwa cha protini.Mbaazi inβ¦

Mashonanguo kwa kiingereza ni Blackjack au kwa kisayansi yanajulikana kama (Bidenspilosa)Mashona nguo yanazuia wadudukama vile Vidukari, Siafu, bungo, katapila,β¦

Mambo hayo ni haya yafuatayo;1. Hakikisha unaondoa matandazo yote ndani ya nyumba,2. Ondoa vyombo vya kulishia na kunyweshea.

Mahindi ni miongon mwa mazao makuu ya chakula hapa nchin Tanzania na ulimwa karibu kila mkoa. Ulimwa zaidi nyanda za juu kusini katika mikoa ya Mbeya, Iringa, Rβ¦

Udongo ni kiungo muhimu sana katika uzalishaji wa mazao. Ni mfumo wa uhai kwa mimea. Kwa hiyo, mkulima ni lazima alenge katika kutunza uhai wa udongo na kuepukaβ¦

Vitunguu twaumu viungo vinavyopendwa na watu wengi hasa kwa harufu yake nzuri Kwenye chakula na uwezo wake wa kuondoa harufu mbaya Kwenye chakula (shombo). Vileβ¦

Agronomy ya ParachichiHali ya hewa-Ni tunda linalopenda sana sehemu za baridi, maeneo kama ya Rungwe-Mbeya, Njombe, Makete, linastawi vizuri sana, na huwa na Faβ¦

Inafahamika kuku kutaga mayai mengi hutokana na aina ya mbegu ya kuku, ila jua kwamba hata aina ya mbegu ya kuku yenye sifa ya kutaga mayai mengi kama haitapewaβ¦

Muhogo Inazuia Minyoo na vidukari.Hatua za Kutayarisha dawaToa maji ya matunda kwa kuponda mizizi;Pima k i w a n g o kimoja cha maji ya m a t u n d a sawa na maβ¦

Mbolea ya kunyunyiza ni nzuri kwani inasaidia kuupa mmea virutubisho moja kwa moja kupitia kwenye majani au shina ambapo ndipo chakula kinahitajika.Faida za mboβ¦

Vitunguu ni zao la mbogamboga na hulimwa kwa ajili ya balbu zake ambazo hutumika kama kiungo cha chakula. Vitunguu vina matumizi mengi sana na vina madini joto,β¦

Pilipili hoho ni zao la jamii ya pilipili isiyo kali, tunda lake ni nene kiasi la duara pia linaweza kuwa lililochongoka. Pilipili hoho hutumika katika kutengenβ¦

Vitungu saumu vina manufaa sana katika kukabiliana na aina mbalimbali za wadudu waharibifu na baadhi ya magonjwa kutokana na kuwa na harufu kali inayosaidia kuwβ¦

Ukitaka kuwavutia na kuingiza nyiki kwenye mzinga unatakiwa kufanya yafuatayo;Tafuta mahali pazuri pa-kuningβiniza mzinga wako.Weka nta kwenye mizinga yako ili β¦