Jinsi ya kuandaa mbangimwitu kama Dawa ya magonjwa na ya kuulia wadudu shambani
ποΈ Mbinu za Kilimo na Ufugaji Kukuongezea Mapato#Karibu AckySHINE#Kilimo cha Organic#Magonjwa na Wadudu Kwenye Kilimo#Makala za Kilimo#Mbangimwitu#SMS, Vichekesho, Mahusiano, Biashara na Ujasiriamali, Afya, Chemsha Bongo, Dini pamoja na Vitabu kwenye PDFπ Kiswahili

Mbangi mwitu au kwa kisayansi ni African marigold / (Tagetes erecta) Unazuia Bakteria, fungusi na wadudu kama vile Siafu, bungo pamoja na aina nyingine za wadudu.
Hatua za Maandalizi ya dawa na kutumia
- Ponda gramu 100-200 za matawi, mizizi na maua;
- Weka lita moja ya maji yaliyochemka;
- Loweka kwa masaa ishirini na nne;
- Ongeza lita moja ya maji baridi,
- Nyunyiza kwenye mimea au mchanga.
β
Direct PDF download
The download button now generates the PDF on the server. It no longer depends on an off-screen browser canvas, so the former blank-PDF capture path is bypassed.