Faida ya kupanda maharagwe katikati ya kabichi
ποΈ Mbinu za Kilimo na Ufugaji Kukuongezea Mapato#Karibu AckySHINE#Kilimo cha Kabichi#Kilimo cha Maharage#Kilimo cha Organic#Makala za Kilimo#SMS, Vichekesho, Mahusiano, Biashara na Ujasiriamali, Afya, Chemsha Bongo, Dini pamoja na Vitabu kwenye PDF#Utunzaji wa Udongoπ Kiswahili

Maharagwe yanapandwa kwenye kabichi yanafanya kazi zifuatazo;
Kudhibiti wadudu (mtego).
Maharage yanaweza kupandwa kati ya mistari ya kabichi yakiwa kama mitego kwani yanasaidia kulinda kabichi dhidi ya buibui wekundu.
Kuboresha udongo.
Maharagwe yanaongeza nitrojeni kwenye udongo
Chakula cha mifugo.
Maharagwe yanaweza kutumika kulishia mifugo kama ng'ombe mbuzi na kondoo.
Matandazo.
Maharage yanaweza yakatumika kama matandazo kwenye shamba kusaidia kulinda unyevu.
Kutengenezea mbolea.
Maharagwe yakioza yanaweza kuwa mbolea nzuri ya shamba lako
β
Direct PDF download
The download button now generates the PDF on the server. It no longer depends on an off-screen browser canvas, so the former blank-PDF capture path is bypassed.