Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Mafundisho na mapokeo Katika Kanisa Katoliki yanapopatikana kwenye Biblia

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Wakatoliki wengi huyumbishwa kwa kuambiwa huamini mambo ambayo hayako au ni kinyume na Biblia. Aya zifuatazo zitakusaidia wewe mkatoliki kuelewa au kujua mistari ya Biblia inayofafanua imani katoliki.
1) KUOMBEA MAREHEMU:
2 Mak. 12:38-46
Hek. 3:1
Tob 4:17
2) MATUMIZI YA SANAMU NA VISAKRAMENTI
2Fal 3:20-21
Hes. 21:8-9
Kut. 25:17-22
Kol. 1:20, 2:14
Yn. 12:32
Mt. 19:11-12
3) USAHIHI WA MAPOKEO YA KANISA KATOLIKI KAMA CHANZO CHA IMANI
2 The 2:15
2 Kor. 10:10-11
Yn 21-25
2 Yoh. 1:12
3 Yoh. 1:13
4) KUABUDU JUMAPILI BADALA YA JUMAMOSI(SABATO)…. Hasa ni kwa sababu Yesu aliitukuza siku ya kwanza ya juma kwa ufufuko wake na kwa kuwatokea wanafunzi wake siku hiyo.
Ufu 1:10
Mdo 20:7
Mt 28:1-8
Lk. 24:1-7
Lk. 24:13ff
1 Kor. 16:1-2
Yn. 20:1-22
5) MAMLAKA YA PAPA KAMA MFUASI AU MRITHI WA MT. PETRO
Yn. 21:15-17
Mt 16:18-19
W 2:1-14
6) MAPADRI KUITWA BABA WAKATI BABA NI MMOJA ALIYEKO MBINGUNI
Mwa 17:4
Yer. 7:7
Hes. 12:14
Yn. 6:49
Mt 23:30
Lk. 1:73
7) JE BIBLIA INATAMBUA MUUNDO WA UONGOZI WA KANISA?
Efe. 4:11-13
1Tim 5:17-25
1Tim 3:1-7,8-18
8) JE BIBLIA INASEMAJE KUHUSU TOHARANI.
Isa 35:8, 52:1
Zek 13:1-2
1Kor 3:15
Lk 12:47-48, 58-59
Ufu 21:27
Ebr 12:22-23
Ayu 14:13-17
9) KUHUSU MATUMIZI YA UBANI
Kut 30:34-37
Hes 16:6-7
Law 16:12-13
Lk 1:10
Ufu 8:32
10) ROZARI IKO KATIKA BIBLIA?
Lk 1:28
Lk 1:42
11) JE KUTUMIA MAJI YA BARAKA NI MAPENZI YA MUNGU?
2Fal 2:19-22
Yn 5:1-18
Yn 7:37
Hes 19:1-22
12) KWANINI TUNAOMBA WATAKATIFU WATUOMBEE?
Mit 15:8, 15:29
Ayu 42:8
Yak 5:16
Mt 16:19
13)KWANINI TUNATUMIA MEDALI, MISALABA, SCAPURALI NA MIFUPA YA WATAKATIFU?
2Fal 13:20-21
14) KWANINI TUNAUNGAMA DHAMBI ZETU KWA PADRI
Mt 16:19,1-20
Yak 5:15-16
15) UBATIZO WA WATOTO WACHANGA UKO KATIKA BIBLIA
Mdo 16:15-33
Mdo 18:8
Mt 28:19
Mdo 10:47-48
16) KUSIMIKWA KWA UTUME
Kut 28:4-43
17) RANGI ZA KANISA
Kut 27:9-29
18) MATUMIZI YA MISHUMAA
Kut 25:31-40; 27:20-21
Hes 8:1-4
19) MPAKO WA MAFUTA YA KRISMA
Kut 30:22-32
20) MPAKO WA MAFUTA YA WAGONJWA
Yak 5:14-15
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Jacob Kiplangat Guest Jun 3, 2024
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Irene Makena Guest Mar 16, 2024
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Frank Sokoine Guest Jan 28, 2024
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ John Mushi Guest May 25, 2023
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Christopher Oloo Guest Apr 22, 2023
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Anna Mchome Guest Apr 5, 2023
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Agnes Sumaye Guest Feb 15, 2023
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Henry Mollel Guest Oct 28, 2022
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Ann Wambui Guest Jan 10, 2022
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Edwin Ndambuki Guest Sep 15, 2021
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Richard Mulwa Guest Aug 28, 2021
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Miriam Mchome Guest Aug 12, 2021
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Martin Otieno Guest Jun 12, 2021
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Ann Awino Guest Mar 17, 2021
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ David Chacha Guest Feb 12, 2021
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Janet Mwikali Guest Jan 9, 2021
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Ann Wambui Guest Sep 13, 2020
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Andrew Odhiambo Guest Jul 5, 2020
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Samuel Omondi Guest Jun 10, 2020
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ John Lissu Guest Apr 30, 2020
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Lucy Mushi Guest Apr 20, 2020
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Daniel Obura Guest Jan 4, 2020
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Fredrick Mutiso Guest Aug 21, 2019
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Simon Kiprono Guest Aug 16, 2019
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Agnes Sumaye Guest Jul 2, 2019
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Stephen Kangethe Guest Jun 24, 2019
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Stephen Amollo Guest May 6, 2019
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Edith Cherotich Guest Sep 19, 2018
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Lydia Mahiga Guest Sep 4, 2018
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Mary Njeri Guest May 25, 2018
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Lucy Mushi Guest Mar 23, 2018
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Stephen Malecela Guest Jan 30, 2018
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Daniel Obura Guest Jan 17, 2018
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Vincent Mwangangi Guest Dec 28, 2017
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Grace Mligo Guest Jun 5, 2017
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Nora Lowassa Guest Apr 29, 2017
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Elizabeth Malima Guest Mar 11, 2017
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Sarah Achieng Guest Feb 16, 2017
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Patrick Akech Guest Dec 30, 2016
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Monica Nyalandu Guest Dec 30, 2016
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Francis Mtangi Guest Nov 14, 2016
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Faith Kariuki Guest Jun 24, 2016
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Lydia Wanyama Guest Mar 28, 2016
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Francis Mrope Guest Feb 11, 2016
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Esther Nyambura Guest Dec 2, 2015
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Joyce Aoko Guest Oct 3, 2015
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Lydia Mzindakaya Guest Jun 6, 2015
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Mercy Atieno Guest May 15, 2015
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Charles Mboje Guest Apr 29, 2015
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Mary Kidata Guest Apr 6, 2015
Imani inaweza kusogeza milima

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About