Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Ahadi kumi na mbili za Moyo Mtakatfu wa Yesu

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Bwana Yesu mwenyewe kwa kutumia kinywa cha Mtakatifu Margareta Maria Alakoki aliahidi Baraka na neema zifuatazo kwa wale wote watakaouheshimu Moyo wake Mtakatifu.

Na kwa maneno yake mwenyewe, Bwana Yesu aliahidi:

1. โ€œNitawajalia neema zote watakazozihitaji katika hali yao ya maisha

2. Nitawajalia amani katika familia zao

3. Nitawafariji katika magumu yao yote

4. Nitakuwa kimbilio lao salama wakati wa maisha yao, na zaidi sana katika saa yao ya kufa

5. Nitawapa baraka tele katika shughuli zao zote

6. Wakosefu watapata katika Moyo wangu chanzo na bahari ya huruma isiyo na mwisho

7. Waumini walio vuguvugu watakuwa na bidii

8. Waumini wenye bidii watakwea kwa upesi katika ngazi za juu za ukamilifu

9. Nitabariki kila mahali ambapo picha au sanamu ya Moyo wangu Mtakatifu itawekwa na kuheshimiwa

10. Nitawajalia mapadre karama ya kuigusa mioyo migumu

11. Wale wote watakaoeneza Ibada hii kwa wengine majina yao yataandikwa ndani ya Moyo wangu na sitawasahau kamwe

12. Wale wote watakaopokea Sakramenti ya Ekaristi kila Ijumaa ya kwanza ya mwezi kwa miezi tisa mfululizo wakiwa katika hali ya neema ya utakaso, hawatakufa wakiwa na uadui nami, nitawapa neema ya kudumu katika uaminifu hadi mwisho na hawatakufa bila kupokea Sakramenti za mwishoโ€.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 31, 2024

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Nancy Akumu (Guest) on May 30, 2024

Rehema hushinda hukumu

Lydia Wanyama (Guest) on May 2, 2024

Neema ya Mungu inatosha kwako

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 19, 2024

Baraka kwako na familia yako.

Victor Kamau (Guest) on January 27, 2024

Dumu katika Bwana.

Lucy Wangui (Guest) on October 28, 2023

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Lydia Mutheu (Guest) on March 23, 2023

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Nancy Kabura (Guest) on February 22, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Moses Kipkemboi (Guest) on February 8, 2023

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Violet Mumo (Guest) on January 25, 2023

Mungu akubariki!

Janet Mwikali (Guest) on January 14, 2023

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Irene Akoth (Guest) on December 18, 2022

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Alice Jebet (Guest) on October 26, 2022

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Samson Tibaijuka (Guest) on September 20, 2022

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Elizabeth Mrope (Guest) on August 21, 2022

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Joseph Mallya (Guest) on July 31, 2022

Katika imani, yote yanawezekana

John Lissu (Guest) on July 29, 2022

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Catherine Mkumbo (Guest) on June 24, 2022

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Mary Sokoine (Guest) on February 17, 2022

Tumaini ni nanga ya roho

Mercy Atieno (Guest) on December 7, 2021

Nakuombea ๐Ÿ™

Esther Cheruiyot (Guest) on November 14, 2021

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Jackson Makori (Guest) on June 17, 2021

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Grace Minja (Guest) on June 4, 2021

Mungu ni mwema, wakati wote!

Richard Mulwa (Guest) on May 26, 2021

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Stephen Mushi (Guest) on January 2, 2021

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

George Wanjala (Guest) on December 20, 2020

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Janet Wambura (Guest) on November 17, 2020

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Alex Nakitare (Guest) on October 4, 2020

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Paul Ndomba (Guest) on May 31, 2020

Imani inaweza kusogeza milima

David Chacha (Guest) on February 12, 2020

Sifa kwa Bwana!

Ann Wambui (Guest) on November 14, 2019

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

David Chacha (Guest) on November 12, 2019

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Lucy Mahiga (Guest) on July 16, 2019

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Janet Mwikali (Guest) on March 11, 2019

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Rose Waithera (Guest) on November 17, 2018

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Nora Kidata (Guest) on October 2, 2018

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Joseph Kiwanga (Guest) on September 14, 2018

Rehema zake hudumu milele

Elizabeth Mrope (Guest) on March 20, 2018

Endelea kuwa na imani!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 11, 2017

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Stephen Kangethe (Guest) on September 19, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Irene Makena (Guest) on July 18, 2017

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Simon Kiprono (Guest) on January 24, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Michael Onyango (Guest) on June 19, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Janet Mwikali (Guest) on June 6, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Simon Kiprono (Guest) on May 1, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Mary Njeri (Guest) on April 28, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Peter Mbise (Guest) on November 30, 2015

Mwamini katika mpango wake.

John Lissu (Guest) on November 29, 2015

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Mary Njeri (Guest) on November 21, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Patrick Akech (Guest) on July 3, 2015

Neema na amani iwe nawe.

Related Posts

Huruma ya Mungu: Chemchemi ya Upendo Usiokwisha

Huruma ya Mungu: Chemchemi ya Upendo Usiokwisha

Huruma ya Mungu ni chemchemi ya upendo usiokwisha. Tunaishi katika dunia ambayo imejaa shida na m... Read More

Siri za Dominika: Masomo ya Misa ya Jumapili Zafichua Ujumbe Muhimu

Siri za Dominika: Masomo ya Misa ya Jumapili Zafichua Ujumbe Muhimu

Siri za Dominika: Masomo ya Misa ya Jumapili Zafichua Ujumbe Muhimu

Katika kila Jumapili, ... Read More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kutubu na kumgeukia Mungu katika wongofu wa moyo?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kutubu na kumgeukia Mungu katika wongofu wa moyo?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kutubu na kumgeukia Mungu katika wongofu ... Read More

Maana ya siku ya Jumatano ya Majivu

Maana ya siku ya Jumatano ya Majivu

Read More

Je, Kanisa Katoliki linamwamini ufufuo wa wafu na hukumu ya mwisho?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini ufufuo wa wafu na hukumu ya mwisho?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini ufufuo wa wafu na hukumu ya mwisho? Jibu ni ndio! Kanisa Katoliki... Read More

Kwa nini Wakatoliki wanaungama dhambi kwa Padri?

Kwa nini Wakatoliki wanaungama dhambi kwa Padri?

Read More
Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha Upatanisho kama sakramenti ya msamaha wa dhambi?

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha Upatanisho kama sakramenti ya msamaha wa dhambi?

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha Upatanisho kama sakramenti ya msamaha wa dhambi? Jib... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu viongozi wa kidini na maaskofu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu viongozi wa kidini na maaskofu?

Katika imani ya Kanisa Katoliki, viongozi wa kidini na maaskofu ni watu muhimu sana katika kufiki... Read More

Kuomba Huruma ya Mungu: Njia ya Upatanisho na Utakaso

Kuomba Huruma ya Mungu: Njia ya Upatanisho na Utakaso

Kuomba huruma ya Mungu ni njia ya upatanisho na utakaso ambayo inawezesha mwamini kusafishwa kuto... Read More

Je, Kanisa Katoliki linaheshimu  Bikira Maria?

Je, Kanisa Katoliki linaheshimu Bikira Maria?

Je, Kanisa Katoliki linaheshimu Bikira Maria? Ndio! Katika Kanisa Katoliki, Bikira Maria ni muhimu s... Read More
AHADI 15 ZA ROZARI TAKATIFU

AHADI 15 ZA ROZARI TAKATIFU

Read More

Huruma ya Mungu: Chemchemi ya Upendo Usiokwisha

Huruma ya Mungu: Chemchemi ya Upendo Usiokwisha

Huruma ya Mungu: Chemchemi ya Upendo Usiokwisha

  1. Kama Mkristo Katoliki, tunajua k... Read More

๐Ÿ“– Explore More Articles | โœ๐Ÿป Re-Write Articles
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About