Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ

Zifahamu dhambi ambazo huondolewa na PAPA pekee au Padre kwa ruhusa maalumu kutoka kwa Baba Mtakatifu

โ€ข
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
1.Kumdhuru baba mtakatifu kimwili mfano:kumpiga au kumtemea mate
2.Kukufuru Ekaristi Takatifu mfano kutema na kuchezea kwa namna yoyote kama ya kishirikina.
3.Padri kutenda dhambi na muumini mfano : kuzini
4.Askofu kumpa padre uaskofu padre yeyote bila ruhusa ya baba mtakatifu.
NB:jiandae kufanya kitubio kama unaguswa na dhambi yoyote kati ya hizo kwani kuna mchakato maalumu wa kuteuliwa kwa mapadre zaidi ya 800 na baba mtakatifu kwenda dunia zima kwa kuwaondolea watu wenye dhambi hizo. Tumsifu Yesu Kristu ๐Ÿ™๐Ÿฟ
Kuhusu dhambi namba 3 inakosa tu maelezo.Na maelezo yake ni haya;
Padre kuzini na muumini hiyo inabaki kuwa ni dhambi Kati ya Padre na muumini wake.Kwa dhambi hiyo Padre anaweza akatafuta Padre mwenzake akaungama kadhalika na kwa muumini huyo.
Shida ni pale tu endapo,Padre anataka KUMUUNGAMISHA mwanamke (muumini) aliyetoka KUZINI naye au yule ANAYEZINI naye hiyo dhambi na kosa hilo hata Askofu wako hana mamlaka ya kukuungamisha wala kukusamehe ni kiti cha Baba Mtakatifu pekee chini ya Congregatio inayoshughulikia mambo matakatifu iitwayo kwa kifupi CDF yaani Congregation for Doctrine of Faith.
Ambayo inashughulikia na mambo mawili hasa makuu yaani;
1.Protection of Sanctity of Sacraments
2.Dealing with Grave Disorders and bad conducts in the Church.
Kwa ufupi ndio hivyo ninaweza kukwambia.
AckySHINE Solutions
โœจ Join AckySHINE for more features! โœจ

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
๐Ÿ‘ฅ Grace Majaliwa Guest Jun 26, 2024
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
๐Ÿ‘ฅ Frank Sokoine Guest Apr 28, 2024
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
๐Ÿ‘ฅ Betty Kimaro Guest Aug 29, 2023
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
๐Ÿ‘ฅ Nora Kidata Guest Jun 23, 2023
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
๐Ÿ‘ฅ Linda Karimi Guest Jun 16, 2023
Nakuombea ๐Ÿ™
๐Ÿ‘ฅ Nancy Komba Guest Jun 5, 2023
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
๐Ÿ‘ฅ Francis Mrope Guest May 9, 2023
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
๐Ÿ‘ฅ Francis Mtangi Guest Jan 9, 2023
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
๐Ÿ‘ฅ Alice Wanjiru Guest Nov 6, 2022
Endelea kuwa na imani!
๐Ÿ‘ฅ Susan Wangari Guest Oct 26, 2022
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
๐Ÿ‘ฅ Joseph Kitine Guest Jul 20, 2022
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
๐Ÿ‘ฅ David Ochieng Guest Jul 1, 2022
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
๐Ÿ‘ฅ Kevin Maina Guest Apr 9, 2022
Neema na amani iwe nawe.
๐Ÿ‘ฅ Raphael Okoth Guest Mar 11, 2022
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
๐Ÿ‘ฅ Mary Kidata Guest Mar 8, 2022
Sifa kwa Bwana!
๐Ÿ‘ฅ Rose Mwinuka Guest Feb 26, 2022
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
๐Ÿ‘ฅ George Wanjala Guest Feb 22, 2022
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
๐Ÿ‘ฅ Sarah Karani Guest Dec 13, 2021
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
๐Ÿ‘ฅ Isaac Kiptoo Guest Sep 29, 2021
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Andrew Mchome Guest Jul 2, 2021
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
๐Ÿ‘ฅ Michael Mboya Guest Feb 25, 2021
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
๐Ÿ‘ฅ Dorothy Majaliwa Guest Dec 8, 2020
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
๐Ÿ‘ฅ Philip Nyaga Guest Apr 8, 2020
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
๐Ÿ‘ฅ Diana Mallya Guest Dec 22, 2019
Wakati wa Mungu ni kamilifu
๐Ÿ‘ฅ Alice Wanjiru Guest Dec 12, 2019
Mungu akubariki!
๐Ÿ‘ฅ Josephine Nekesa Guest Jul 10, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ John Malisa Guest Mar 4, 2019
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
๐Ÿ‘ฅ Francis Mrope Guest Feb 5, 2019
Katika imani, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Janet Mwikali Guest Dec 16, 2018
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
๐Ÿ‘ฅ Raphael Okoth Guest Nov 24, 2018
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
๐Ÿ‘ฅ Anna Sumari Guest Sep 17, 2018
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
๐Ÿ‘ฅ John Mwangi Guest Sep 9, 2018
Baraka kwako na familia yako.
๐Ÿ‘ฅ Joseph Njoroge Guest Aug 18, 2018
Mungu ni mwema, wakati wote!
๐Ÿ‘ฅ Monica Lissu Guest May 15, 2018
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
๐Ÿ‘ฅ Nora Lowassa Guest Feb 24, 2018
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
๐Ÿ‘ฅ Nora Kidata Guest Nov 15, 2017
Kwa Mungu, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Charles Mboje Guest Aug 27, 2017
Mwamini katika mpango wake.
๐Ÿ‘ฅ Raphael Okoth Guest May 7, 2017
Tumaini ni nanga ya roho
๐Ÿ‘ฅ Francis Mrope Guest May 2, 2017
Tembea kwa imani, si kwa kuona
๐Ÿ‘ฅ Diana Mallya Guest Jan 10, 2017
Dumu katika Bwana.
๐Ÿ‘ฅ Charles Mchome Guest Jul 27, 2016
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
๐Ÿ‘ฅ Lydia Mutheu Guest Jul 5, 2016
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Jackson Makori Guest May 23, 2016
Mwamini Bwana; anajua njia
๐Ÿ‘ฅ Patrick Akech Guest Apr 16, 2016
Nguvu hutoka kwa Bwana
๐Ÿ‘ฅ Sarah Karani Guest Apr 13, 2016
Rehema zake hudumu milele
๐Ÿ‘ฅ Martin Otieno Guest Dec 22, 2015
Imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Mary Mrope Guest Oct 16, 2015
Neema ya Mungu inatosha kwako
๐Ÿ‘ฅ John Lissu Guest Sep 23, 2015
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
๐Ÿ‘ฅ Miriam Mchome Guest Sep 13, 2015
Rehema hushinda hukumu
๐Ÿ‘ฅ Rose Lowassa Guest Aug 14, 2015
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

๐Ÿ”— Related Posts

๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About