Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ

Jifunze kitu Kwenye mfano huu kuhusu Maombi na kuomba

โ€ข
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Nabii mmoja aliumwa
na Jino, lilimtesa sanaโ€ฆ
Akapiga magoti kumlilia
Mungu ili amponye..
Mungu akamuonesha mti
flani ili majani yake
Yapate kumtibu..
Akaenda kwenye mti ule,
Akachukua majani yake
akatumia na kweli
akaponaโ€ฆ
Baada ya Muda Mrefu
Kupita, nabii yule aliumwa
na Jino tenaโ€ฆ
Safari Hii alienda
moja kwa moja kwenye mti
Na kuchuma majani yake
na kuyatumia,Lakini
hakupona..
Akaja tena Kwa Mungu
na kumwambiaโ€ฆ
"Mbona ule mti niliutumia
Haukuniponyesha kama
Wakati ule? "
Mungu akamjibuโ€ฆ
"Mara ya Mwanzo ulipona
Kwa kuwa
ulinitegemea mimi, mara ya
Pili hakupona kwa kuwa
Uliutegemea Mti"..

KILA WAKATI TUNAPASWA
KUMUOMBA NA
KUMTEGEMEA MUNGU,
HATA KAMA KWA JAMBO
AMBALO ALISHATUJIBU..
KWA KUTOKUFANYA HIVYO
NDIYO MAANA MARA
KADHAA
TUNAKOSA MAFANIKIOโ€ฆ

โœ”Tulipooomba mchumba
Tulipompata
Hatukuombea Ulinzi wa
ndoa zetu, matokeo yake
Ni vilio kwenye ndoa
Karibu zote..

โœ” Tuliomba watoto,
Tulipowapata
muda mwingi tukatumia
Akili zetu kuwalea
Na kusahau kumshirikisha
Mungu katika malezi yao,
mwisho wa yote
Tunaishia kusema
Watoto wa siku hiziโ€ฆ

โœ” Tuliomba kazi kwa Mungu ,
Tulipopata tukaanza
Kutumia akili zetu katika
Kazi hizo na kuanza
Kudharau wenzetu na
Kuzisaliti ndoa
na familia zetu..
โ–ช Familia zinaliaโ€ฆ
โ–ช Watoto wanalia
Baraka zitatoka wapi?

โ–ช Kabla ya Kupata kazi
Tulikuwa Hatukosi
Kanisani,
Hakukosi kwenye
Maombiโ€ฆ
TUMEPATA KAZI
TUMEKUWA BIZE
HAKUNA MAOMBI
WALA KANISANI..
Baraka zitokee wapi?
Mafanikio yatoke wapi?
Mshahara mkubwa
Lakini madeni kila siku,
Tena tunakopeshwa na
Tuliowazidi mshaharaโ€ฆ

Wapendwa tustuke..
Tumrudie Munguโ€ฆ
Tusisingizie uchawi..
Tumejiroga wenyewe..

Tumuweke Mungu mbele..

Tafakari chukua hatua

AckySHINE Solutions
โœจ Join AckySHINE for more features! โœจ

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
๐Ÿ‘ฅ Mary Sokoine Guest Jun 8, 2024
Imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Alice Mwikali Guest May 3, 2024
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
๐Ÿ‘ฅ Anna Mahiga Guest Sep 4, 2023
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
๐Ÿ‘ฅ Rose Kiwanga Guest Aug 17, 2023
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ George Mallya Guest Jul 6, 2023
Tembea kwa imani, si kwa kuona
๐Ÿ‘ฅ Samuel Were Guest May 26, 2023
Rehema hushinda hukumu
๐Ÿ‘ฅ Janet Wambura Guest Apr 28, 2023
Baraka kwako na familia yako.
๐Ÿ‘ฅ Mariam Hassan Guest Apr 19, 2023
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
๐Ÿ‘ฅ Joy Wacera Guest Feb 16, 2023
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
๐Ÿ‘ฅ Bernard Oduor Guest Feb 4, 2023
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
๐Ÿ‘ฅ Grace Mligo Guest Jul 21, 2022
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
๐Ÿ‘ฅ David Musyoka Guest May 24, 2022
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
๐Ÿ‘ฅ Brian Karanja Guest Mar 19, 2022
Neema ya Mungu inatosha kwako
๐Ÿ‘ฅ Stephen Amollo Guest Feb 9, 2022
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Lucy Wangui Guest Oct 23, 2021
Wakati wa Mungu ni kamilifu
๐Ÿ‘ฅ Mary Sokoine Guest Sep 24, 2021
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
๐Ÿ‘ฅ Moses Kipkemboi Guest Apr 16, 2021
Katika imani, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Josephine Nduta Guest Apr 3, 2021
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
๐Ÿ‘ฅ Victor Mwalimu Guest Mar 9, 2021
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
๐Ÿ‘ฅ George Ndungu Guest Jan 9, 2021
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
๐Ÿ‘ฅ Isaac Kiptoo Guest Sep 1, 2020
Mungu akubariki!
๐Ÿ‘ฅ Sarah Achieng Guest Jul 26, 2020
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
๐Ÿ‘ฅ Anna Mahiga Guest Jul 21, 2020
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
๐Ÿ‘ฅ Peter Mugendi Guest Jun 22, 2020
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
๐Ÿ‘ฅ Edith Cherotich Guest Apr 25, 2020
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
๐Ÿ‘ฅ Martin Otieno Guest Mar 24, 2020
Kwa Mungu, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Mary Njeri Guest Mar 5, 2020
Tumaini ni nanga ya roho
๐Ÿ‘ฅ Stephen Kangethe Guest Feb 2, 2020
Sifa kwa Bwana!
๐Ÿ‘ฅ David Musyoka Guest Feb 1, 2020
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
๐Ÿ‘ฅ Charles Wafula Guest Dec 5, 2019
Dumu katika Bwana.
๐Ÿ‘ฅ Monica Lissu Guest Sep 2, 2019
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
๐Ÿ‘ฅ Ruth Kibona Guest Aug 20, 2019
Neema na amani iwe nawe.
๐Ÿ‘ฅ George Wanjala Guest Aug 17, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Diana Mumbua Guest Jun 15, 2019
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
๐Ÿ‘ฅ Joyce Aoko Guest Apr 6, 2019
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
๐Ÿ‘ฅ Stephen Malecela Guest Jan 5, 2019
Mungu ni mwema, wakati wote!
๐Ÿ‘ฅ Joseph Kawawa Guest Nov 13, 2018
Mwamini katika mpango wake.
๐Ÿ‘ฅ Thomas Mwakalindile Guest Mar 20, 2018
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
๐Ÿ‘ฅ Joyce Aoko Guest Jan 23, 2018
Nguvu hutoka kwa Bwana
๐Ÿ‘ฅ Simon Kiprono Guest Nov 18, 2017
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
๐Ÿ‘ฅ Nora Kidata Guest Sep 21, 2017
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
๐Ÿ‘ฅ James Kawawa Guest Feb 23, 2017
Rehema zake hudumu milele
๐Ÿ‘ฅ Charles Mchome Guest Jan 10, 2017
Nakuombea ๐Ÿ™
๐Ÿ‘ฅ Andrew Mchome Guest May 11, 2016
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
๐Ÿ‘ฅ Paul Ndomba Guest Apr 13, 2016
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
๐Ÿ‘ฅ Ruth Kibona Guest Oct 26, 2015
Mwamini Bwana; anajua njia
๐Ÿ‘ฅ Peter Mwambui Guest Oct 25, 2015
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
๐Ÿ‘ฅ Stephen Malecela Guest Sep 22, 2015
Endelea kuwa na imani!
๐Ÿ‘ฅ George Ndungu Guest Jun 21, 2015
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
๐Ÿ‘ฅ Samuel Were Guest May 8, 2015
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

๐Ÿ”— Related Posts

๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About