Kwa nini watu wanaotumia dawa za kulevya mara nyingi hudanganya?

✍️ SW - Melkisedeck ShineπŸ“… 2022-04-17 04:00:42πŸ’¬ 0 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Wengi wa waathirika wa dawa za kulevya hukataa matatizo yao. Hudanganya kwa sababu hawataki kukubali matatizo yao pia hutoa maelezo kujitetea au kulaumu wengine. Mara nyingi huanza kudanganya au kusaliti marafiki na ndugu pale wanapohitaji fedha kwa ajili ya kununulia dawa za kulevya.

πŸ’¬

Discussion

Comments are public to read. Sign in to participate in the discussion.

0 comment(s)
πŸ” Login required to comment or reply

You can read the discussion, but only logged-in AckySHINE users can post comments or replies.

Log in to participate
No comments yet.