Kwa nini dawa hutengenezwa na kutumika hospitalini wakati zina madhara?

✍️ SW - Melkisedeck ShineπŸ“… 2022-04-17 07:45:32πŸ’¬ 0 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Baadhi ya dawa za kulevya pamoja na dawa za kutibu, hutumika hospitali kuokoa maisha na kupunguza maumivu. Hii inamaanisha kwamba wataalamu kama madaktari na wauguzi hudhibiti matumizi ya dawa hizi. Kwani watahakikisha kwamba dawa sahihi zinatumika, i takiwavyo na kwa vipimo sahihi.

πŸ’¬

Discussion

Comments are public to read. Sign in to participate in the discussion.

0 comment(s)
πŸ” Login required to comment or reply

You can read the discussion, but only logged-in AckySHINE users can post comments or replies.

Log in to participate
No comments yet.