ยท Osha mikono yako kwa sabuni kabla na baada
ya kutayarisha chakula
ยท Tumia vyombo safi na sehemu safi kwa
kutayarisha na kula chakula
ยท Viporo vipashwe moto vizuri kabla ya kula
ยท Chemsha maji ya kunywa na kuyaacha jikoni
dakika kumi baada ya kuchemka
Utayarishaji bora wa chakula
โข
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
