Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Uwe na subira Baada ya kuomba

Featured Image

Uwe na subira Baada ya kuomba kwa Mungu. Sio kila unachoomba kwa Mungu utakipata kwa wakati huo huo au kwa wakati unaofikiri. Mungu ni Mwaminifu Sana Kwenye kujibu maombi lakini vile vile ni mwenye Hekima Kwenye kukujibu, anajua wakati gani ni sahihi kukujibu maombi yako. Anaweza kukujibu saa hiyo hiyo, kesho, keshokutwa au hata mwakani kwa kuangalia wakati ufaao na kwa manufaa yako. Kwa hiyo unapoona hujajibiwa usife moyo, bali uwe na matumaini. Mungu anajua akujibu lini kwa kuwa anajua ni lini wakati ufaao na ni lini kitu kipi kina kufaa.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Mbithe (Guest) on May 14, 2024

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Benjamin Kibicho (Guest) on February 10, 2024

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Andrew Odhiambo (Guest) on December 1, 2023

Mwamini katika mpango wake.

Edward Lowassa (Guest) on October 14, 2023

Dumu katika Bwana.

John Malisa (Guest) on April 16, 2023

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Thomas Mtaki (Guest) on April 2, 2023

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Janet Mwikali (Guest) on March 24, 2023

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Lucy Wangui (Guest) on March 18, 2023

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

David Musyoka (Guest) on October 24, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

George Wanjala (Guest) on June 6, 2022

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Carol Nyakio (Guest) on April 16, 2022

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 16, 2022

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Esther Cheruiyot (Guest) on January 26, 2022

Rehema hushinda hukumu

Patrick Kidata (Guest) on January 9, 2022

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Edward Lowassa (Guest) on December 2, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Monica Nyalandu (Guest) on November 2, 2021

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Christopher Oloo (Guest) on October 8, 2021

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Christopher Oloo (Guest) on May 11, 2021

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Janet Sumari (Guest) on January 19, 2021

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

George Mallya (Guest) on January 11, 2021

Nguvu hutoka kwa Bwana

George Tenga (Guest) on December 15, 2020

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Daniel Obura (Guest) on September 18, 2020

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Linda Karimi (Guest) on July 25, 2020

Imani inaweza kusogeza milima

Ann Wambui (Guest) on April 27, 2020

Sifa kwa Bwana!

Peter Mbise (Guest) on February 12, 2020

Mungu akubariki!

Lucy Kimotho (Guest) on December 24, 2019

Katika imani, yote yanawezekana

Miriam Mchome (Guest) on June 25, 2019

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Anna Kibwana (Guest) on April 19, 2019

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Frank Macha (Guest) on April 7, 2019

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Victor Sokoine (Guest) on February 7, 2019

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Francis Njeru (Guest) on January 13, 2019

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Mary Mrope (Guest) on November 20, 2018

Neema na amani iwe nawe.

Alex Nakitare (Guest) on November 13, 2018

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Anna Kibwana (Guest) on November 5, 2018

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Monica Adhiambo (Guest) on August 29, 2018

Baraka kwako na familia yako.

John Malisa (Guest) on July 6, 2018

Neema ya Mungu inatosha kwako

John Lissu (Guest) on April 12, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

Alice Wanjiru (Guest) on April 7, 2018

Mungu ni mwema, wakati wote!

Anthony Kariuki (Guest) on March 12, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Susan Wangari (Guest) on November 5, 2017

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Anna Kibwana (Guest) on January 5, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Philip Nyaga (Guest) on July 6, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Nora Lowassa (Guest) on July 4, 2016

Nakuombea πŸ™

Frank Sokoine (Guest) on May 23, 2016

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

David Nyerere (Guest) on May 2, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

Andrew Odhiambo (Guest) on March 27, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Peter Mwambui (Guest) on September 2, 2015

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Stephen Kangethe (Guest) on July 25, 2015

Rehema zake hudumu milele

Betty Akinyi (Guest) on June 25, 2015

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Isaac Kiptoo (Guest) on April 13, 2015

Endelea kuwa na imani!

Related Posts

Sala ni Upendo

Sala ni Upendo

Sala sio maneno mengi au maneno ya kurudiarudia. Sala ni maneno au hata neno moja la kimapendo li... Read More

Hakuna Binadamu anayemchukia Mungu

Hakuna Binadamu anayemchukia Mungu

Hakuna Binadamu anayemchukia Mungu kama hajichukii yeye mwenyewe na wale wanaomzunguka. Huwezi ku... Read More

Mnyororo wa Baraka za Mungu

Mnyororo wa Baraka za Mungu

Usiache kusali na kutenda mema kwa kuwa huwezi jua ni watu wangapi wanategemea sala na matendo ya... Read More

Mungu yupo kwa ajili yako

Mungu yupo kwa ajili yako

Usifadhaike moyoni pale unapokuwa katika matatizo au unapopitia changamoto katika maisha. Kumbuka... Read More

Mungu ni zaidi ya Mzazi na upendo wake ni zaidi ya wa Wazazi

Mungu ni zaidi ya Mzazi na upendo wake ni zaidi ya wa Wazazi

Wakati wazazi waliweza kuaamua kuzaa mtoto tuu, Mungu yeye alikuchagua wewe utungwe mimba na kuku... Read More

Sali daima

Sali daima

Kama mtu anasali kila siku katika maisha yake hakuna kitu kitakachokuwa kigumu. Sala ni njia ya k... Read More

Umuhimu wa kumsogelea Mungu

Umuhimu wa kumsogelea Mungu

Vile unavyomsogelea Mungu ndivyo na yeye anavyokusogelea. Vile unavyomkubali Mungu katika Maisha ... Read More

Mawazo ya Mungu tunapokua na shida na mateso

Mawazo ya Mungu tunapokua na shida na mateso

Mawazo ya Mungu ni makuu. Mungu anatuwazia mema daima. Hata unapopitia shida na matatizo katika m... Read More

Uwe na maono

Uwe na maono

Uwe na maono au ndoto ya mambo unayotaka kufanya maishani naye Mungu atakubariki na kujidhihirish... Read More

Njia ya sala

Njia ya sala

Kwa njia ya sala Binadamu anampa Mungu Utukufu, Mungu anampa Binadamu Wokovu na Neema.

... Read More
Upendo mkuu wa Yesu

Upendo mkuu wa Yesu

Fikiria umenunua zawadi nzuri ya gharama sana na unataka kumpa mtu umpendaye sana. Akipokea zawad... Read More

Kumtafuta Mungu ni Jukumu lako Binafsi

Kumtafuta Mungu ni Jukumu lako Binafsi

Kumtafuta Mungu ni juk... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About