Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Maana ya kubarikiwa

Featured Image

Kubarikiwa ni Kutokutindikiwa na kuwa na matumaini ya siku zijazo. Kubarikiwa ni kuwa na amani, furaha, na matumaini katika maisha ya sasa na yajayo. Kubarikiwa sio kuwa na mali nyingi. Yesu hajawahi kumwambia mtu kuwa utakua tajiri sana kwa kuwa umebarikiwa wala hajawahi kumuahidi kumpa mtu utajiri. Unaweza ukawa na mali nyingi lakini zikakufanya ukakosa Amani, furaha na matumaini ya siku zijazo. Ndiyo maana Mungu anatupa kulingana na vile tunavyohitaji ili visiwe mtego kwetu.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joyce Nkya (Guest) on March 26, 2024

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Mary Mrope (Guest) on January 26, 2024

Baraka kwako na familia yako.

Stephen Kangethe (Guest) on October 6, 2023

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Patrick Kidata (Guest) on August 15, 2023

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Linda Karimi (Guest) on May 9, 2023

Mwamini Bwana; anajua njia

Janet Wambura (Guest) on December 10, 2022

Neema ya Mungu inatosha kwako

Thomas Mtaki (Guest) on June 12, 2022

Mungu akubariki!

Peter Tibaijuka (Guest) on April 1, 2022

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

George Tenga (Guest) on March 25, 2022

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Alex Nakitare (Guest) on December 29, 2021

Rehema hushinda hukumu

David Kawawa (Guest) on August 24, 2021

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

John Mwangi (Guest) on August 5, 2021

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Samson Mahiga (Guest) on July 27, 2021

Endelea kuwa na imani!

Agnes Njeri (Guest) on April 30, 2021

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Patrick Akech (Guest) on December 20, 2020

Imani inaweza kusogeza milima

James Mduma (Guest) on December 18, 2020

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Henry Mollel (Guest) on December 16, 2020

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Simon Kiprono (Guest) on November 11, 2020

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Edward Chepkoech (Guest) on November 11, 2020

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Janet Wambura (Guest) on September 28, 2020

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Frank Sokoine (Guest) on June 18, 2020

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Mariam Kawawa (Guest) on May 22, 2020

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Francis Mrope (Guest) on November 21, 2019

Katika imani, yote yanawezekana

Sarah Achieng (Guest) on November 1, 2019

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Alex Nyamweya (Guest) on October 20, 2019

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Nora Kidata (Guest) on June 9, 2019

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Samuel Omondi (Guest) on June 9, 2019

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Mary Sokoine (Guest) on June 3, 2019

Wakati wa Mungu ni kamilifu

George Wanjala (Guest) on May 13, 2019

Nakuombea πŸ™

Robert Ndunguru (Guest) on April 27, 2019

Nguvu hutoka kwa Bwana

Henry Mollel (Guest) on January 4, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Ann Wambui (Guest) on November 17, 2018

Tumaini ni nanga ya roho

Alice Wanjiru (Guest) on June 28, 2018

Sifa kwa Bwana!

David Chacha (Guest) on June 24, 2018

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Mary Sokoine (Guest) on February 18, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

George Mallya (Guest) on January 14, 2018

Mwamini katika mpango wake.

Joseph Mallya (Guest) on January 20, 2017

Dumu katika Bwana.

Vincent Mwangangi (Guest) on December 18, 2016

Rehema zake hudumu milele

Nancy Komba (Guest) on October 26, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Samson Mahiga (Guest) on September 7, 2016

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Patrick Mutua (Guest) on April 17, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Edwin Ndambuki (Guest) on February 25, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Anthony Kariuki (Guest) on February 20, 2016

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Rose Kiwanga (Guest) on January 6, 2016

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Josephine Nekesa (Guest) on September 10, 2015

Neema na amani iwe nawe.

Diana Mumbua (Guest) on August 28, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Edwin Ndambuki (Guest) on August 11, 2015

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Agnes Lowassa (Guest) on August 4, 2015

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Paul Kamau (Guest) on May 29, 2015

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Anthony Kariuki (Guest) on May 8, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Related Posts

Sala za kila siku

Sala za kila siku

Sala za kila siku katika maisha ndiyo hazina kubwa na msaada hasa wakati wa kufa. Adumuye katika ... Read More

Uwepo wa Mungu wakati wa shida

Uwepo wa Mungu wakati wa shida

Kwa kawaida kwenye maisha unapofikia Hatua unaona Mungu hayupo kabisa na wewe basi ujue huo ndio ... Read More

Maisha ya kiroho yanahitaji Mipango (Strategy)

Maisha ya kiroho yanahitaji Mipango (Strategy)

Kama yalivyo maisha ya kimwili, maisha ya kiroho pia yanahitaji mipango. Kila siku panga utafanya... Read More

Kumtafuta Mungu ni Jukumu lako Binafsi

Kumtafuta Mungu ni Jukumu lako Binafsi

Kumtafuta Mungu ni juk... Read More

Kuomba na Kushukuru

Kuomba na Kushukuru

Unapo mwomba Mungu Usisahau Kushukuru. Kushukuru ni kuomba mara ya pili. Utazidishiwa kile ulicho... Read More

Uwe na subira Baada ya kuomba

Uwe na subira Baada ya kuomba

Uwe na subira Baada ya kuomba kwa Mungu. Sio kila unachoomba kwa Mungu utakipata kwa wakati huo h... Read More

Furaha ya Binadamu

Furaha ya Binadamu

Kufanya Mambo mema ndipo kunaleta furaha ya kweli kwa Binadamu yeyote yule. Hakuna Binadamu anaye... Read More

Jambo la muhimu zaidi Duniani

Jambo la muhimu zaidi Duniani

Hakuna kitu cha Muhimu zaidi Duniani kama kumjua Mungu na kumuishi Mungu. Kila binadamu ameumbwa ... Read More

Mkono wa Mungu

Mkono wa Mungu

Kila jambo lina Mkono wa Mungu juu yake hata kama limefanyika bila kupangwa au kukusudiwa. Mbele ... Read More

Upendo wa siku zote

Upendo wa siku zote

Upendo wa siku zote huo ndio upendo atakao Mungu. Chuki na unafiki ni tabia ya Shetani, umoja ni ... Read More

Njia ya Kumrudia Mungu

Njia ya Kumrudia Mungu

Njia pekee ya Kumrudia Mungu tunapoanguka dhambini ni Njia ya Toba ya kweli ikiambatana na kukiri... Read More

Umuhimu wa kumsogelea Mungu

Umuhimu wa kumsogelea Mungu

Vile unavyomsogelea Mungu ndivyo na yeye anavyokusogelea. Vile unavyomkubali Mungu katika Maisha ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About