Upendo na ubinafsi

✍️ DIN - Melkisedeck Leon ShineπŸ“… 2022-05-30 08:31:36πŸ’¬ 50 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Upendo hauandamani na ubinafsi. Huwezi kusema una upendo wa kweli kama huwezi kujinyima vile unavyovipenda kwa ajili ya yule au wale unaowapenda. Upendo wa kweli ni kujitoa.

πŸ’¬

Discussion

Share a thoughtful comment or reply. Content is escaped before display.

50 comment(s)
G
Grace Mushi2024-02-22 12:14:31
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
J
Joseph Kiwanga2024-02-21 05:59:01
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
R
Rose Lowassa2023-12-28 02:52:23
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
V
Victor Mwalimu2023-12-19 10:13:22
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
P
Paul Ndomba2023-10-23 07:01:04
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
M
Miriam Mchome2023-10-20 22:28:59
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
C
Catherine Mkumbo2023-07-12 00:15:56
Wakati wa Mungu ni kamilifu
L
Lydia Wanyama2023-07-10 18:39:49
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
D
David Ochieng2023-06-08 12:50:45
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
R
Rose Kiwanga2023-05-01 11:04:38
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
T
Thomas Mtaki2023-03-11 01:23:36
Neema ya Mungu inatosha kwako
B
Betty Akinyi2022-09-26 11:33:36
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
F
Faith Kariuki2022-08-20 04:25:55
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
S
Stephen Amollo2022-07-14 06:02:45
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
D
David Ochieng2022-05-22 03:16:06
Rehema zake hudumu milele
S
Samuel Were2022-03-29 09:10:21
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
P
Paul Kamau2022-03-08 18:47:04
Katika imani, yote yanawezekana
I
Irene Akoth2022-01-26 01:37:25
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
N
Nora Kidata2021-09-01 03:00:37
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
D
Diana Mallya2021-06-19 04:04:04
Tumaini ni nanga ya roho