Sala ni Hazina

✍️ DIN - Melkisedeck Leon ShineπŸ“… 2022-09-10 07:52:03πŸ’¬ 50 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Sala ni Hazina. Kusali ni muhimu sana. Sala unayosali leo inaweza kukusaidia hata miaka kumi ijayo au ikasaidia watoto wa watoto wako. Mungu ni mwenye fadhila na anakumbuka yote. Mwombe Mungu akulinde ukiwa mzima ili uwapo hatarini akukumbuke hata kabla hujamwomba.

πŸ’¬

Discussion

Share a thoughtful comment or reply. Content is escaped before display.

50 comment(s)
J
Joseph Kiwanga2024-07-18 21:29:39
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
T
Thomas Mtaki2024-07-02 04:35:06
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
S
Samuel Were2024-06-11 09:45:01
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
L
Lydia Mzindakaya2024-05-05 17:26:45
Tumaini ni nanga ya roho
R
Robert Okello2023-12-15 05:20:24
Neema na amani iwe nawe.
S
Stephen Kangethe2023-10-24 18:19:37
Katika imani, yote yanawezekana
G
Grace Wairimu2023-03-12 23:03:02
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
P
Patrick Mutua2023-02-23 21:34:49
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
P
Patrick Kidata2022-09-24 10:26:30
Mwamini katika mpango wake.
J
John Mwangi2022-08-26 23:32:56
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
L
Lydia Mutheu2022-06-07 18:04:40
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
J
Jane Muthoni2022-04-24 08:54:50
Imani inaweza kusogeza milima
S
Stephen Amollo2022-02-19 21:35:58
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
C
Chris Okello2021-11-07 20:18:08
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
J
Josephine Nekesa2021-05-30 07:40:06
Neema ya Mungu inatosha kwako
N
Nancy Komba2021-05-07 11:09:01
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
M
Moses Kipkemboi2021-05-06 12:56:22
Rehema zake hudumu milele
R
Ruth Mtangi2021-03-27 13:37:15
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
P
Peter Mwambui2021-03-13 17:35:03
Baraka kwako na familia yako.
G
George Tenga2021-03-09 19:44:17
Mwamini Bwana; anajua njia