Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hali za ndoa

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, akamwambia baba yake akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa babaake, mwisho babaake akamwambia basi ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi hujiwez halafu nitakuonyesha jawabu! Basi kijana akajifanya anaumwa mzee akaitisha kikao cha ndugu wote pande 2, Mzee akaanza kueleza jaman kijana wetu anaumwa amepata ugonjwa wa utata hospital zote umeshindikana hivyo tumeenda kwa mganga wa jadi amenipa dawa na ina masharti, inatakiwa atakaye iandaa hii dawa awe mwanamke mwenye ndoa ambaye hajawah kutoka nje ya ndoa tangu alipoolewa ndo kijana wetu atapona! Kama ametoka nje ya ndoa asiandae dawa hii kwa sababu tukimpa kjana wetu watakufa wote! Je kina mama nani ataandaa? Walitoka nje wamama mmoja mmoja hadi mkewe na mamake mzazi wakatoka, akafata mama ake kijana, mashangazi na dada zake, mwisho wakabakia wanaume peke yao! Mzee akamwambia mwanangu umeona hali za ndoa zilivyo? Acha kujisumbua tulia na mkeo nadhani umejionea hali halisi. Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako! Kijana akazimia! SOMA TENA KISHA MTUMIE NA MWENZIO.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Zainab (Guest) on August 26, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joy Wacera (Guest) on August 10, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

George Tenga (Guest) on August 3, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Charles Wafula (Guest) on August 1, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Kimotho (Guest) on July 12, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on July 2, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Michael Onyango (Guest) on June 18, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on June 5, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

John Kamande (Guest) on May 28, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on May 25, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on May 18, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Charles Mrope (Guest) on April 16, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on April 5, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Charles Mchome (Guest) on March 4, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on March 1, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Mwanakhamis (Guest) on February 25, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on February 17, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Asha (Guest) on February 1, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Margaret Mahiga (Guest) on January 25, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on December 24, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Betty Kimaro (Guest) on December 4, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on December 1, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Catherine Naliaka (Guest) on November 28, 2016

😊🀣πŸ”₯

Rose Kiwanga (Guest) on November 24, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on November 4, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on October 23, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Elizabeth Mrope (Guest) on September 16, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on September 7, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Grace Mligo (Guest) on September 6, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on September 1, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mwanakhamis (Guest) on July 29, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Ann Awino (Guest) on July 26, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on June 16, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on May 17, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Issa (Guest) on May 8, 2016

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Elizabeth Mrope (Guest) on May 2, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

John Kamande (Guest) on April 25, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 2, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Catherine Naliaka (Guest) on March 22, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

David Nyerere (Guest) on March 18, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Khadija (Guest) on March 4, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Elizabeth Malima (Guest) on February 22, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Frank Sokoine (Guest) on February 6, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Sarah Mbise (Guest) on January 31, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Fadhili (Guest) on January 1, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Grace Njuguna (Guest) on December 26, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Aziza (Guest) on December 2, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Alice Jebet (Guest) on November 20, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Amani (Guest) on November 1, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Christopher Oloo (Guest) on October 24, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

David Ochieng (Guest) on October 1, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Mhina (Guest) on September 20, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

James Mduma (Guest) on August 7, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Warda (Guest) on June 26, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Michael Onyango (Guest) on June 18, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on June 18, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on April 28, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More