Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Featured Image
237 💬 ⬇️

Cheki kilichompata huyu dada!!

Featured Image
237 💬 ⬇️

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Featured Image
POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when u saw me u started 2 six six.(uliponiona ulianza ku-sitasita) u ran n decided 2 plant a car.
237 💬 ⬇️

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Featured Image

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU atoke nje" wakatoka wote ispokuwa Mchungaji na Wazee wawili.

237 💬 ⬇️

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Featured Image
Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia baba jana anamuita dada (housegir) malaika wangu, kwa hiyo nae atapaa?
236 💬 ⬇️

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Featured Image
240 💬 ⬇️

Utani wa wachaga

Featured Image
237 💬 ⬇️

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Featured Image

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Binti akajibu, "bila samahani mama huku chini nina njia ya uzazi sio mashine ya photocopy"

238 💬 ⬇️

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Featured Image
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About