Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Featured Image

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia:

Mkulima: Baba yako yupo?

Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda mjini.

ย 

237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Featured Image
238 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Misemo ya kina dada

Featured Image
237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Featured Image

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari ya zaidi ya mwezi) nje ya mkoa. Siku mmeo anarudi, yule mama alimtafuta fundi seremala amrekebishie chaga za kitanda zilikuwa zimeharibika, kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya above +18

239 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Featured Image

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani nilifanya mapenzi na dada yako, mdogo wako, rafiki yako na mama yako

236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Featured Image

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?.
MKE: Salama tu
MUME: Uko wapi?
MKE: Jamani si niko nyumbani
MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa blender nisikieโ€ฆ..mkeยญ akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Okay haya mi natoka kazini naja

ย 

237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Nilichokifanya leo

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About