Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image
238 💬 ⬇️

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Featured Image
236 💬 ⬇️

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Featured Image
238 💬 ⬇️

Utani kwa wadada wembamba

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Featured Image
236 💬 ⬇️

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Featured Image
238 💬 ⬇️

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Featured Image

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipokwenda nyumbani akamuelezea mamake, mamake akamuuliza je wewe ulinyosha mtoto hapana mama yule mama akamuuliza kwanini.

236 💬 ⬇️

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

 

237 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About