Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Featured Image
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa. Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao. Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Featured Image

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumbani kwenu
NAKUA: Hakuna kitu kama hicho
DOGO: Kweli baba kuna jini liko kwenye kabati lenu la nguoโ€ฆ.

237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Featured Image
Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni: Nipe nianze na soda wakati chai inachemka. Mwenyeji: Utakunywa fanta au sprite? Mgeni: Nipe fanta wakati sprite inapoa.
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Featured Image
240 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Featured Image
237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Featured Image
Mume akamwambia mke wake: "Funga macho yako tufanye maombi" Akaanza kwa Kimombo:- "โ€ฆ Lord I pray for Grace, I pray for Mercy, I pray 4 Joy, I pray 4 Love, I pray 4 Hope, I pray 4 GLORY, I pray 4 Faith, I pray 4โ€ฆ."
237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About