Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Featured Image

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, tuko katika harakati za kujenga kanisa, jitafutie nafasi katika ufalme wa mbingu kwa kuchangia ujenzi huu. Na Mungu atakubariki zaidi

236 πŸ’¬ ⬇️

Ni wazo tuu!

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Featured Image
RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke hata umpendeje atakugeuka tu RAFIKI: Nini tena ndugu yangu? Mbona shemeji mtu fresh sana JAMAA: Hata mimi nilikuwa najua hivyo, leo nimegundua kumbe ana siri kubwa sana ananificha, mi naita huu ni usaliti wa ndoa.
238 πŸ’¬ ⬇️

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Featured Image
237 πŸ’¬ ⬇️

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Featured Image
237 πŸ’¬ ⬇️

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Featured Image

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

MKE: "Mmmh! basi huyo aliebaki atakuwa MAMA MBILINGE KISIKI, maana yule mama ndo ANAJIFANYAGA MGUMU sanaaa.!!"

Β 

236 πŸ’¬ ⬇️
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About