AckySHINE ๐Ÿ”
AckyShine

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Featured Image

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU atoke nje" wakatoka wote ispokuwa Mchungaji na Wazee wawili.

237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamiliaโ€ฆ.Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTAโ€ฆJe rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGEโ€ฆJe samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

ย 

237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Featured Image
237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Januari kweli ngumu, soma hii

Featured Image
237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Featured Image
239 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Featured Image
237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Hapo sasa akili itakuja

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Featured Image

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na nyama nyingi tu, wakati anakula akagundua kuwa shemeji yake, mke wa rafiki yake hali nyama;

JAMAA: Aise hili ni bonge ya lanchi hii, lakini Levi mbona

236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Wazo la jioni hii

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About