Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Featured Image
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=. Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia? Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui.
237 💬 ⬇️

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Featured Image
237 💬 ⬇️

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Featured Image
236 💬 ⬇️

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Featured Image

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wang hata mimi nilikuwa nataka nikuambie hivyo hivyo

 

238 💬 ⬇️

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Featured Image
Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia baba jana anamuita dada (housegir) malaika wangu, kwa hiyo nae atapaa?
236 💬 ⬇️

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Featured Image
Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!? Mama: Hapana mwanangu sijakuona.
236 💬 ⬇️

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Featured Image
Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhudumu akaja, Mhudumu: kaka nikuhudumie nini, Jamaa: afathal NILETEE MENU LISTI
237 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About