Angalia nilivyomkomoa huyu dogo
Updated at: 2024-05-25 17:16:35 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,
Jana nlimtuma sukari akala yote.. Β
Sahii nmemtuma superglue haongei Β Sipendi ujinga mimi Β
π‘π‘π‘π‘π‘π‘
Read more
Close
Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi
Updated at: 2024-05-25 16:56:03 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;
Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugusa nyama nyie ndio mnaweza kushinda vishawishiπ€£π€£π€£π€£π€£
πββπββπββπββπββπββ
Read more
Close
Duh. Chezeya kuhama!
Updated at: 2024-05-25 17:06:55 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za umeme, inabidi tu uchemshe maji hadi yale ya kuflashia choo π‘π‘π‘π‘π‘
Read more
Close
Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??
Updated at: 2023-04-29 22:52:33 (3 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI⦠Asilimia 98% Ya Mamen Wapo SINGLE⦠HAPA NDIPO HESABU ZANGU ZINAFELI.. Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!?.
Read more
Close
Duh, huyu mama alichokifanya
Updated at: 2024-05-25 17:13:03 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mke: Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?
Mume: Β kitu gani unaweza niletea wewe?
Mke: Β we omba Alafu utaona.
Mume: Β Niletee msichana wa kizungu.
Mke: Β (mke akaendaLondon na kurudi)
Mume: Β zawadi yangu iko wapi?
Mke : Subiri ndani ya miezi 9!!!! ππππππππPia Wamama hawapendi ujinga
Read more
Close
Nimeitoa sehemu
Updated at: 2024-05-25 17:50:05 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
If⦠99 is: Ninety nine, 88 is: Eighty eight, 77 is: Seventy seven, 66 is: Sixty six, 55 is: Fifty five, 44 is: Forty four, 33 is: Thirty three, 22 is: Twenty two, Why 11 not Onety one?
Wazungu msitufanye Vilazaβ¦.!! π π π π π π π π π π Mungu anawaona
Read more
Close
Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi
Updated at: 2024-05-25 18:08:45 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.
2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.
3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?
4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.
5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.
6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.
7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.
8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.
9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.
10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi kufunika sufuria.
Read more
Close
Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani
Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani,
Updated at: 2024-05-25 18:04:38 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani,
mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti jamaa akamwambia ''dont worry bby'' ntakulipia!!
Read more
Close
Angalia nilichomfanyia huyu mwizi
Updated at: 2024-05-25 17:45:32 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke namuuliza unatafuta nini ananijibu hela ndipo nilipoanza na mie kutafuta nae maana hta hela ya kula Jana sikua nayo alichoka zaid nilipomuliza una uhakika uliweka humu?
*sipendagi ujinga
Read more
Close
Usichokijua kuhusu shamba lako
Updated at: 2024-05-25 17:01:04 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na bangi ni mali yako ππππ
Read more
Close