Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Featured Image
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=. Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia? Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui.
237 πŸ’¬ ⬇️

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Featured Image

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani nilifanya mapenzi na dada yako, mdogo wako, rafiki yako na mama yako

236 πŸ’¬ ⬇️

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Usichokijua kuhusu shamba lako

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Featured Image

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia:

Mkulima: Baba yako yupo?

Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda mjini.

Β 

237 πŸ’¬ ⬇️

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Featured Image
MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo Bebi pengne mtoto anakojoa kitandani au akalia asije msumbua usiku
236 πŸ’¬ ⬇️
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About