Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Featured Image
Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua na watu wote waliokuwemo wamekufa. MKE; Ilikuaje wewe ukapona?
237 πŸ’¬ ⬇️

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Featured Image

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha?
Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana.
Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini?
Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.

236 πŸ’¬ ⬇️

Hapa itakuaje?

Featured Image
237 πŸ’¬ ⬇️

Huyu bibi kazidi sasa

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Featured Image
Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani akae na mtoto. MME: Akasimama akauliza hivi: Mheshimiwa hakimu hivi nikichukua ATM card nikaingiza kwenye mashine ikatoa pesa, sasa pesa zitakuwa ni za ATM au zakwangu?
238 πŸ’¬ ⬇️

Nilichokifanya leo

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Huyu ndo mwanamke

Featured Image
237 πŸ’¬ ⬇️

Kama simu yako ina wifi

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About