Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Featured Image

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

MKE: "Mmmh! basi huyo aliebaki atakuwa MAMA MBILINGE KISIKI, maana yule mama ndo ANAJIFANYAGA MGUMU sanaaa.!!"

 

237 💬 ⬇️

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Featured Image
BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote. SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week. MUME (anampigia mpango wa kando): Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week (Mpango wa kando) anamwambia mwanafunzi wake wa tution: wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.
237 💬 ⬇️

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Featured Image
Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we mtoto! Niondolee wehu wako hapa!"
236 💬 ⬇️

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Featured Image

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambulisha
1. Naitwa Anna niko SUA mwaka3 nasoma agriculture
2. Naitwa Stella niko UDSM mwaka2 nasoma public relation

 

237 💬 ⬇️

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Featured Image
238 💬 ⬇️

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Featured Image

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitapata mia kwa mia.
BABA: kwanini unasema hivyo?.

237 💬 ⬇️

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Featured Image
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About