Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Featured Image
Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, inabidi unisubiri mwembeni saa 1 usiku nitapita, mzee akafika saa 1 alikaa hadi saa 5 usiku, aliporudi nyumbani akamuuliza mkewe kwa hasira; sasa tumepanga nin halafu haujatokea ?
236 πŸ’¬ ⬇️

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Featured Image

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3. Hujapewa mbele?
4. Utapewa nyuma
5. Nitakupa nikikaa vizuri
6. Ngoja isimame nikupe

236 πŸ’¬ ⬇️

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Featured Image

Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?"
Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh?
Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.

244 πŸ’¬ ⬇️

Kama simu yako ina wifi

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Featured Image
238 πŸ’¬ ⬇️

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Misemo ya kina dada

Featured Image
237 πŸ’¬ ⬇️

Mshahara usiobadilika

Featured Image
237 πŸ’¬ ⬇️

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Featured Image
Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza vocal: Jamaa: dada mi nakupenda saana Dem: Kaka naomba umsikilize mchungaji
236 πŸ’¬ ⬇️

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Featured Image
237 πŸ’¬ ⬇️
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About