Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Featured Image
238 💬 ⬇️

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Featured Image

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha?
Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana.
Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini?
Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.

236 💬 ⬇️

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Featured Image
238 💬 ⬇️

Wanaume wote ni waaminifu

Featured Image
236 💬 ⬇️

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Featured Image
236 💬 ⬇️

Stori za simu za wavulana na wasichana

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Featured Image
Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ilikuwa kwenye shelf ya chini, wakati anainama apate kuitazama vizuri kwa bahati mbaya (au nzuri!), shuzi likamtoka- druuuuuu,
236 💬 ⬇️

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Featured Image

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari ya zaidi ya mwezi) nje ya mkoa. Siku mmeo anarudi, yule mama alimtafuta fundi seremala amrekebishie chaga za kitanda zilikuwa zimeharibika, kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya above +18

238 💬 ⬇️

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Featured Image

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Demu: hello baby wangu leo bata wapi?

237 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About