Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Featured Image

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja akafanikiwa kupanda akaondoka…

Yule aliyebaki akaanza kucheka sanaa mpaka machozi yakamtoka.

237 💬 ⬇️

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Featured Image
236 💬 ⬇️

Tabia za wachepukaji

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Featured Image
240 💬 ⬇️

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Featured Image

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na nyama nyingi tu, wakati anakula akagundua kuwa shemeji yake, mke wa rafiki yake hali nyama;

JAMAA: Aise hili ni bonge ya lanchi hii, lakini Levi mbona

236 💬 ⬇️

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Featured Image
237 💬 ⬇️

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Featured Image

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha?
Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana.
Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini?
Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.

236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About