Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Featured Image
Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, inabidi unisubiri mwembeni saa 1 usiku nitapita, mzee akafika saa 1 alikaa hadi saa 5 usiku, aliporudi nyumbani akamuuliza mkewe kwa hasira; sasa tumepanga nin halafu haujatokea ?
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Featured Image

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipokwenda nyumbani akamuelezea mamake, mamake akamuuliza je wewe ulinyosha mtoto hapana mama yule mama akamuuliza kwanini.

236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Featured Image
Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ninyi ni MKE na MUME"
237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Featured Image
MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Featured Image

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha?
Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana.
Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini?
Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.

236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Featured Image
238 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About