Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Featured Image
240 💬 ⬇️

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Featured Image
238 💬 ⬇️

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Featured Image
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu GIRL: Enhee… BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako GIRL: Ooh baby u care..
238 💬 ⬇️

Huyu mlinzi bwana

Featured Image
236 💬 ⬇️

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Featured Image

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa kula 3 tu yatabaki mangapi?

Akamjibu hivi:nikipewa na chai hakibaki kitu mwalimu.

236 💬 ⬇️

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Cheka na methali

Featured Image
237 💬 ⬇️

Lugha za namba ni noma

Featured Image
237 💬 ⬇️

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Featured Image
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About