Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Featured Image
Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata na mazungumzo yakawa hivi: SECRETARY: Boss leo umesahau kufunga geti nyumbani kwako… Boss akabaki anashangaa… Baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na Secretary wake.
236 💬 ⬇️

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Featured Image
236 💬 ⬇️

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Featured Image
236 💬 ⬇️

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Featured Image
238 💬 ⬇️

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Featured Image
237 💬 ⬇️

Staili nyingine za michepuko ni shida

Featured Image
236 💬 ⬇️

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Featured Image

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"

Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"

Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana… naomba nirudishwe!"

 

238 💬 ⬇️

Ukata wa January

Featured Image
238 💬 ⬇️

Angalia uhuni wa huyu dereva

Featured Image
Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin umewagonga awa watu? Jamaa akajibu,"nilikua mwendo wa kasi sana, alafu nimejaza abiria ndani, gari likawa linakuja mbele yangu nilipokanyaga breki zikakatika, sasa ningefanya nin?"
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About