Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Featured Image
237 💬 ⬇️

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Featured Image

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.

Msichana: Napika vizuri kuliko wewe.

Mama: Nani kakuambia?

237 💬 ⬇️

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Featured Image
236 💬 ⬇️

Sio kwa wivu huu

Featured Image
236 💬 ⬇️

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Featured Image

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Binti akajibu, "bila samahani mama huku chini nina njia ya uzazi sio mashine ya photocopy"

238 💬 ⬇️

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Featured Image
238 💬 ⬇️

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Featured Image
236 💬 ⬇️

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Featured Image

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusaidie nini?
MLEVI: Eeh! nipe bia ya baridi kisaha wasikilize wote waliokaa hapa, wape bia na wao maana sipendi kunywa pombe wengine wananiangalia
Akaja mhudumu wa jikoni "nikusaidie nini?"

237 💬 ⬇️

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image
238 💬 ⬇️

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Featured Image
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About