Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheka kidogo na wewe hapa

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Featured Image

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa akaona huyo Bebi pengne mtoto anakojoa kitandani au akalia asije msumbua usiku

JAMAA:"msipate tabu mi ntalala hapa kwenye kochi" akalala
asubh wanakunywaΒ 

236 πŸ’¬ ⬇️

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Featured Image
237 πŸ’¬ ⬇️

Tabia za Kimama kwa wanaume

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Featured Image

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na nyama nyingi tu, wakati anakula akagundua kuwa shemeji yake, mke wa rafiki yake hali nyama;

JAMAA: Aise hili ni bonge ya lanchi hii, lakini Levi mbona

236 πŸ’¬ ⬇️

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Featured Image
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.
237 πŸ’¬ ⬇️

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About