Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Wanaume wote ni waaminifu

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Featured Image

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3. Hujapewa mbele?
4. Utapewa nyuma
5. Nitakupa nikikaa vizuri
6. Ngoja isimame nikupe

236 πŸ’¬ ⬇️

Kilichotokea Leo mahakamani

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Featured Image
Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua na watu wote waliokuwemo wamekufa. MKE; Ilikuaje wewe ukapona?
237 πŸ’¬ ⬇️

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Featured Image
237 πŸ’¬ ⬇️

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Featured Image
237 πŸ’¬ ⬇️

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Featured Image

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai akachukua tax wakati wa kurudi.walipofika sasa shughuli ilikuwa hivi.

Masai: we dureva? Naulisa Ng'ombe na mbusi ipi ngali?
Dereva: Ni ng'ombe ghali Masai.

236 πŸ’¬ ⬇️
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About