Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Featured Image
237 💬 ⬇️

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

 

237 💬 ⬇️

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Featured Image
238 💬 ⬇️

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Featured Image
MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki
236 💬 ⬇️

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Featured Image

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha?
Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana.
Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini?
Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.

236 💬 ⬇️

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Featured Image
237 💬 ⬇️

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Featured Image
236 💬 ⬇️

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Featured Image
236 💬 ⬇️

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Featured Image
236 💬 ⬇️

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Featured Image
237 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About