Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Biashara ambayo imefeli

Featured Image
238 πŸ’¬ ⬇️

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Featured Image

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE, MJOMBA KULE MWISHO.
MA-MDOGO UNAENDA?,
NGOJA ASHUKE BIBI.
HAYA SHEMEJI UMEIKUTA YA KUWAH.
Babu njoo ukae!
Baba angu hapo tusogee kidogo,

Β 

237 πŸ’¬ ⬇️

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Featured Image
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.
237 πŸ’¬ ⬇️

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Raha ya kuoa kijijini

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Featured Image
Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we mtoto! Niondolee wehu wako hapa!"
236 πŸ’¬ ⬇️

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Featured Image
240 πŸ’¬ ⬇️

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Featured Image
237 πŸ’¬ ⬇️

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About