Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Sababu ya girlfriend 👧 kuniblock

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kilichotokea Leo mahakamani

Featured Image
236 💬 ⬇️

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Featured Image
JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke akamwambia mumewe; "Tupige magoti tusali", Wakapiga magoti…: MKE: Eee baba msaidie mume wangu afike salama safari yake. MUME: Emen…
236 💬 ⬇️

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Featured Image

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Samahani dada sijui saa ngapi?
MDADA: Nani kakwambia saa yangu ndio ya kuangalia kila mtu?

236 💬 ⬇️

Angalia huyu mgonjwa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image
238 💬 ⬇️

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Featured Image
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=. Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia? Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui.
237 💬 ⬇️

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Featured Image
237 💬 ⬇️

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Featured Image

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima ajitambulishe, mfano:-
''YEAH NI TEMBA hapa au

239 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About