Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue.
Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika.
Ilikua ni bahati tu alimvizia na
kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua
anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit, boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali.
Siku hiyo Bakari alikua jikoni, boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss: Bakariiii!
Bakari: Naam baba!
Boss: nani anakunywa wine yangu?
Bakari kimyaaaa hajibu kitu!
Boss: Bakariiiii !
Bakari: naam baba!
Boss: nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?

Boss kimyaaaa!
Bakari: Baba babaa!
Boss:ndio Bakari!
Bakari: Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?

Boss kimyaaaaaaa!
Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!

Mke wa Boss akaingilia kati
Mama: nyie msinitanie kabisa mnasemaje?
Bakari: kweli mama ukiwa jikoni husikii kitu nenda uone

Mama akaenda na Bakari akaanza

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeee!
Bakari: hebu niambie hiyo mimba ni ya baba au yangu?
Mama kimya

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeeee!
Bakari: hebu niambie ukweli hiyo mimba ni ya baba au yangu??
Mama kimya

Mama akatoka nje: kweli humu jikoni kuna tatizo nilikuwa nasikia jina tu

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mary Kidata (Guest) on July 18, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Chiku (Guest) on May 2, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Shamsa (Guest) on April 27, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Ann Wambui (Guest) on April 24, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on April 14, 2024

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on April 9, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthui (Guest) on April 2, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on March 24, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Irene Makena (Guest) on March 22, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Patrick Kidata (Guest) on March 16, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Diana Mumbua (Guest) on February 15, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on February 14, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Stephen Kikwete (Guest) on February 12, 2024

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Sharifa (Guest) on January 27, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

John Mushi (Guest) on January 14, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on January 13, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

John Lissu (Guest) on January 11, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Maimuna (Guest) on December 24, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Elizabeth Mtei (Guest) on December 23, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Monica Nyalandu (Guest) on December 10, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Zainab (Guest) on December 6, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Hellen Nduta (Guest) on October 31, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Edwin Ndambuki (Guest) on July 20, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

John Mushi (Guest) on July 10, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Zainab (Guest) on June 23, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Muslima (Guest) on June 21, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Francis Njeru (Guest) on June 19, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Henry Mollel (Guest) on June 17, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Moses Mwita (Guest) on June 12, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Edwin Ndambuki (Guest) on June 1, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on June 1, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Khamis (Guest) on May 29, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sultan (Guest) on May 17, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

James Kimani (Guest) on May 16, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 21, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on March 10, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Michael Onyango (Guest) on February 23, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Anna Sumari (Guest) on February 3, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 21, 2023

🀣πŸ”₯😊

Jane Muthui (Guest) on January 18, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on January 3, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

John Lissu (Guest) on December 30, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Khamis (Guest) on November 25, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Sharon Kibiru (Guest) on November 21, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Sumaya (Guest) on November 18, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Philip Nyaga (Guest) on October 23, 2022

Asante Ackyshine

Mwanais (Guest) on October 7, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Lissu (Guest) on September 22, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mgeni (Guest) on September 13, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Betty Akinyi (Guest) on August 26, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

George Ndungu (Guest) on July 29, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

James Kawawa (Guest) on July 15, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Benjamin Kibicho (Guest) on July 1, 2022

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Lydia Wanyama (Guest) on June 27, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Fadhili (Guest) on May 31, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 27, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on May 15, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on May 7, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Peter Otieno (Guest) on May 5, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lucy Wangui (Guest) on March 17, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More