Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha za kutunisha Mfuko wa Jumuiya…sasa unakakaa mbele kabisa ili Muda wa Msosi usichelewe na kukuta kwenye Buffee yamebaki maharage!

MC : "Papai zuri kabisa kutoka Newala, Papai Mwendokasi, hili ni Shilingi laki 1..jamani Papai,nipeni ofa!"

MOSHA : "Laki 3 hapaaa!"

"Jamani laki 3 pale kwa Mosha, Papai linaondoka jamani, papai hili ni self contained kabisa….papai jamani"

KIBOLIBO: "Milioni 1 hapaaa"

"Jamani Mambo yanazidi kunoga hapa!…Benedict Kibolibo anataka papai kwa milioni 1 jamani, linaondoka papai!"

RWEYEMAMU : "nitanunua Papai hilo kwa Milioni 5"

Haya sasa jamani Rweyemamu ametoa ofa ya Milioni 5 Jamani, nani mweingineee?"

Kimyaaa…

Haya jamani Papai kama hakuna Ofa basi Papai linakwenda kwa Rweyemamu!……..haya sasa Kuna Kuku hapa Jogoo kabisa, bei yake ni laki 6 jamani Jogoo twitter huyu!"

WEWE "Milioni Mojaaa!"( hapa umejiwahi wa kwanza na wewe uonekane upo huku ukijua kabisa Wakina Mosha na Rweyemamu lazima watampandia Dau Jogoo, tena dau kubwa"

MC: ee sasa Kumekucha Jamani, Kabasele anamtaka Jogoo kwa Milioni 1 jamani!….ofa nyingineeee!"

Kimyaaa…

Jamani Jogoo anakwenda kwa Kabasele jamani!…ofa nyinginee!

Kimyaaa….

Kimyaaa….

πŸ˜πŸ˜πŸ˜β€¦hapa sasa ndio mfukoni kuna Buku jero,..huko kwengineko NMB nill balance…sasa unageuza mimacho kumtazama Mosha kama atapanda dau kwa jogooπŸ‘€(mama wee Mosha anachezea Simu!)…..unamtazama Rweyemamu (teh anatafuna Kuku)…..mama weee😝

MC: Haya jamani kama hakuna Mwingine basi zoezi letu liishie hapa na limekwenda kwa Mafanikio, Mpatieni Kabasele Jogoo wake!

Hapa sasa unapokea jogoo wako wa MILIONI kwa Tabasamu la Maiti….kule nyumbani Jogoo wako Mkubwa unauza elfu 20 lakini sasa haka kajogoo kapya Mkononi kanakuwa kazito utadhani umembeba John CenaπŸ‘€β€¦Mama weee hapa sasa vidari ulivyotafuna unaviona kama vimerudi kwenye Ulimi….Chicken wings zinataka kutokea Masikioni…..Uuuuwiiiii,😝😝😝

Na hapa sasa kabla Dinner haijaisha ndipo unapojikuta Umebuni Cocktail ya Sparetta na TomatoπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚.
chiel wie okee

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 236

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Alex Nakitare Guest Jan 3, 2017
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†
πŸ‘₯ Mary Sokoine Guest Dec 5, 2016
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚
πŸ‘₯ Henry Mollel Guest Nov 29, 2016
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†
πŸ‘₯ Mwachumu Guest Nov 14, 2016
πŸ˜„ Kichekesho gani!
πŸ‘₯ Irene Makena Guest Nov 11, 2016
πŸ˜„ Kali sana!
πŸ‘₯ David Sokoine Guest Oct 15, 2016
Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ
πŸ‘₯ Frank Sokoine Guest Oct 13, 2016
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚
πŸ‘₯ Moses Kipkemboi Guest Sep 17, 2016
🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
πŸ‘₯ Francis Mrope Guest Aug 29, 2016
πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚
πŸ‘₯ Abdillah Guest Aug 21, 2016
πŸ˜† Bado nacheka!
πŸ‘₯ Nassar Guest Aug 10, 2016
🀣 Sikutarajia hiyo!
πŸ‘₯ Ann Wambui Guest Jul 18, 2016
Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚
πŸ‘₯ Peter Mbise Guest Jul 13, 2016
🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Jul 9, 2016
Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚
πŸ‘₯ Irene Makena Guest Jul 7, 2016
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†
πŸ‘₯ Thomas Mtaki Guest Jul 7, 2016
Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ‘₯ Benjamin Kibicho Guest Jun 29, 2016
Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š
πŸ‘₯ Mariam Hassan Guest May 23, 2016
Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘
πŸ‘₯ Amani Guest May 13, 2016
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚
πŸ‘₯ Dorothy Nkya Guest May 4, 2016
🀣 Ujuzi wa hali ya juu!
πŸ‘₯ Isaac Kiptoo Guest Apr 25, 2016
πŸ˜‚πŸ‘Œ
πŸ‘₯ Peter Otieno Guest Apr 14, 2016
Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚
πŸ‘₯ Charles Mchome Guest Mar 31, 2016
Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘
πŸ‘₯ Baraka Guest Mar 23, 2016
πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!
πŸ‘₯ Peter Tibaijuka Guest Mar 16, 2016
Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚
πŸ‘₯ Anna Kibwana Guest Mar 14, 2016
πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!
πŸ‘₯ Anthony Kariuki Guest Jan 19, 2016
🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!
πŸ‘₯ Mariam Hassan Guest Jan 18, 2016
πŸ˜‚πŸ˜†
πŸ‘₯ Majid Guest Jan 2, 2016
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚
πŸ‘₯ Monica Nyalandu Guest Jan 2, 2016
Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£
πŸ‘₯ Rose Lowassa Guest Dec 26, 2015
Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„
πŸ‘₯ Francis Mrope Guest Dec 19, 2015
πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!
πŸ‘₯ Ahmed Guest Nov 18, 2015
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣
πŸ‘₯ Umi Guest Nov 12, 2015
πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!
πŸ‘₯ Shamsa Guest Nov 7, 2015
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣
πŸ‘₯ Kenneth Murithi Guest Oct 7, 2015
Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘
πŸ‘₯ Isaac Kiptoo Guest Sep 20, 2015
πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘
πŸ‘₯ Jacob Kiplangat Guest Sep 19, 2015
πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!
πŸ‘₯ Amir Guest Sep 15, 2015
πŸ˜„ Umenishika vizuri!
πŸ‘₯ Kenneth Murithi Guest Sep 15, 2015
Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†
πŸ‘₯ Edward Lowassa Guest Sep 14, 2015
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚
πŸ‘₯ Janet Sumari Guest Aug 24, 2015
πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚
πŸ‘₯ Bakari Guest Aug 20, 2015
πŸ˜‚ Hii ni kali sana!
πŸ‘₯ Zubeida Guest Aug 13, 2015
πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!
πŸ‘₯ Elijah Mutua Guest Aug 12, 2015
Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†
πŸ‘₯ Robert Okello Guest Jul 16, 2015
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†
πŸ‘₯ Sarah Karani Guest Jul 13, 2015
Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…
πŸ‘₯ Janet Sumari Guest Jul 11, 2015
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁
πŸ‘₯ Janet Mbithe Guest Jul 7, 2015
🀣 Nalia kwa kicheko kweli!
πŸ‘₯ Alice Mrema Guest Jun 26, 2015
Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†
πŸ‘₯ Maneno Guest Jun 7, 2015
πŸ˜… Bado nacheka!
πŸ‘₯ Ruth Wanjiku Guest May 30, 2015
πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„
πŸ‘₯ Andrew Odhiambo Guest May 21, 2015
Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†
πŸ‘₯ Kassim Guest May 11, 2015
😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
πŸ‘₯ Shamim Guest Apr 11, 2015
Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„
πŸ‘₯ Joyce Nkya Guest Apr 8, 2015
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About