Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?
Date: July 31, 2021
Author: SW - Melkisedeck Shine
Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda kufungua mlango
Akamkuta jamaa kalewa sana mlangoni kwao
JAMAA: Nini tena mheshimiwa kuamshana saa hizi?
MLEVI: Naomba uje unisukume.
Jamaa akiamini kuwa pengine kuna gari la huyu mlevi limezima jirani akamwambia subiri nikavae viatu. Baada ya kuvaa viatu akatoka na wakaanza kusindikizana na mlevi. Mlevi akaongoza njia
mpaka kwenye mabembea ya jirani akakaa kwenye bembea moja na kumgeukia jamaa na kumwambia.. Okay nisukume basi.
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.
Anaweza kukuacha kwa s...
Read More
Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yakeβ¦.
Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal...
Read More
Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,
...
Read More
Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More
Ndio hizi sasa
1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ...
Read More
1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamiliaβ¦.Je sungur...
Read More
*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*
*mchaga* : _chips yai bei gani?_
*mhudumu*: _elfu...
Read More
Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s...
Read More
1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More
Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu
Dah!!
Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana
..unaenda kuoga, unakumbuka k...
Read More
Hivi wadada mnaovaa mawigi.
ππ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ...
Read More
SHAYU (User) on February 16, 2025
du!Β‘ kipig kinamuhusu kutoa pombe iy
Peter Tibaijuka (Guest) on July 20, 2024
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Josephine Nduta (Guest) on July 18, 2024
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ππ
David Chacha (Guest) on June 14, 2024
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Linda Karimi (Guest) on June 12, 2024
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! π
Ruth Kibona (Guest) on June 5, 2024
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Elizabeth Mrema (Guest) on June 4, 2024
π Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
Zubeida (Guest) on May 23, 2024
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! π
Richard Mulwa (Guest) on May 9, 2024
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£
Stephen Mushi (Guest) on April 30, 2024
πππ π€£
Mwanaidi (Guest) on April 19, 2024
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Michael Mboya (Guest) on April 7, 2024
Huu ucheshi hauna kifani! π€£π₯
John Malisa (Guest) on March 31, 2024
Ucheshi wa hali ya juu! ππ
Elizabeth Mrope (Guest) on March 28, 2024
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Catherine Mkumbo (Guest) on March 23, 2024
π Nilihitaji kicheko hicho!
Abubakari (Guest) on March 9, 2024
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Mercy Atieno (Guest) on March 4, 2024
Hii imenichekesha sana! ππ
Faiza (Guest) on March 4, 2024
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! π
Grace Minja (Guest) on January 20, 2024
π ππ
Grace Mushi (Guest) on January 9, 2024
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
Anna Malela (Guest) on November 16, 2023
Hii imenichekesha sana! π€£π
Nancy Akumu (Guest) on October 29, 2023
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Monica Lissu (Guest) on October 26, 2023
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Lucy Mushi (Guest) on September 30, 2023
Kweli ni jokes za ukweli! ππ
Alice Jebet (Guest) on September 27, 2023
π Lazima nihifadhi hii!
Rose Lowassa (Guest) on September 12, 2023
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ππ
Bahati (Guest) on August 29, 2023
π Sikutarajia hiyo ikitokea!
Lydia Mahiga (Guest) on August 3, 2023
ππ€£ππ
Peter Otieno (Guest) on August 2, 2023
π Hiyo punchline!
Grace Majaliwa (Guest) on July 20, 2023
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! π
Grace Njuguna (Guest) on July 15, 2023
Mna talent ya jokes! ππ
Frank Macha (Guest) on June 22, 2023
Asante Ackyshine
Martin Otieno (Guest) on June 21, 2023
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Catherine Mkumbo (Guest) on June 5, 2023
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 26, 2023
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ
Nassor (Guest) on May 15, 2023
π Ninaihifadhi hii!
Vincent Mwangangi (Guest) on April 23, 2023
π€£ Ninashiriki hii na kila mtu!
Janet Mwikali (Guest) on April 7, 2023
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 17, 2023
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
Hawa (Guest) on March 5, 2023
π€£ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
Rehema (Guest) on February 25, 2023
π Nitaiiba hii bila shaka!
Susan Wangari (Guest) on February 17, 2023
π Ninaihifadhi kwa baadaye!
Wilson Ombati (Guest) on February 11, 2023
Hii ni bomba sana! π€£π
Nancy Komba (Guest) on January 23, 2023
π€£ππ
Patrick Akech (Guest) on January 20, 2023
π€£π₯π
Simon Kiprono (Guest) on December 27, 2022
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
Henry Mollel (Guest) on December 25, 2022
Mna kipaji cha ucheshi! ππ
Carol Nyakio (Guest) on December 9, 2022
π Kichekesho gani!
Sharon Kibiru (Guest) on November 18, 2022
π€£ππ
Anthony Kariuki (Guest) on November 11, 2022
Nimecheka kwa sauti! π€£π€£
Linda Karimi (Guest) on November 7, 2022
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Binti (Guest) on October 22, 2022
π Ninacheka sana sasa hivi!
Nicholas Wanjohi (Guest) on September 24, 2022
Hii ni joke ya ukweli kabisa! ππ€£
John Lissu (Guest) on September 24, 2022
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ
Nancy Kawawa (Guest) on September 14, 2022
ππ π
Richard Mulwa (Guest) on September 6, 2022
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£
Bernard Oduor (Guest) on August 30, 2022
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Grace Mushi (Guest) on August 23, 2022
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Rose Lowassa (Guest) on August 3, 2022
π Nacheka hadi nalia!
Catherine Mkumbo (Guest) on July 31, 2022
π€£ππ