Mimi Nimecheka sana
ππππππππππ
ZIARA ZA KUSHTUKIZAππ
Mimi ni msomaji mzuri wa magazeti, na msikilizaji mzuri wa redio, huwa naangalia luninga mara chache sana kama nikibahatika kupita mahala kuna luninga. Sasa wiki hii nimesikia mengi kuhusu hizi ziara za kushtukiza za viongozi wetu, nikaona hili ni jambo zuri tena linafaa kuigwa na sisi wananchi wapenda maendeleo. Nikaona nijipange na mimi nifanye ziara kadhaa za kushtukiza katika sehemu mbalimbali zinazonihusu.
Nikaona nianze na ziara ya kushtukiza pale shuleni kwa huyu mwanangu, maana kila siku anakunywa chai na kuondoka na daftari zake na mie sijawahi kwenda shuleni kwao toka nilipomuandikisha shule mwezi Januari. Nilifika shuleni na kumuona mwalimu mkuu, ambae alianza kutetemeka nilipomuambia kuwa nimekuja pale kwa ziara ya kustukiza, sijui alidhani mi ni mmoja wa Mawaziri wapya, maana nilimuona jasho linamtiririka ghafla. Akanikaribisha ofisi yake iliyokuwa na vitabu kila kona, na kuita waalimu wote na kunitambulisha kuwa ni kiongozi nimekuja kwenye ziara ya kustukiza.
Nilipojitambulisha kuwa ni mzazi, waalimu wote nikawaona waanza kupumua kwa raha. Nikawaambia kuwa mimi nina mwanafunzi pale na nilikuja ziara ya kustukiza kujua maendeleo yake. Baada ya mwalimu mkuu kusaka jina la mwanangu nae akanambia, βMzee huyu mtoto hajaja shule mwezi wa tatu sasa, tulijaribu kukutafuta ikashindikana, hatujui yu wapiβ Jasho likaanza kunitoka mimi, yule mtoto kila asubuhi nampa nauli anaenda shule, na mara nyingi ananiomba michango kumbe hata shule haji. Niliondoka bila kuaga presha ikiwa juu.
Nikaona niende kwenye genge la mke wangu nae nikamfanyie ziara ya ghafla nimhadithie mambo ya mwanae, nilipofika pale nikakuta kuna mdada mwingine anauza genge. Nikamsalimu, na kumuuliza mwenye genge ntampataje, jibu lake lingeniua kama ningekuwa si mkakamavu, βMume wake kaja kumchukua na gari wameenda kununua shamba Bagamoyoβ. Nikaondoka nimechanganyikiwa, nikajuwa hapa dawa yangu moja tu, nayo ni Sabrina, mtoto wa Kinyaturu pale ambapo nikipata maudhi huwa naenda kubembelezwa.
Nikatwanga mguu kwa Sabrina nae nikamfanyie ziara ya ghafla ili anipoze moyo. Nilipogonga mlango wa chumba chake akatoka mbaba wa miraba minne, akanisalimia kwa upole, βSalama kaka unasemaje?β Jibu likanitoka βSamahani mie nilimkopesha huyu dada wa chumba hiki vitenge, nilikuja kuuliza kama ameshapata hela yanguβ Ziara za kushtukiza zinataka moyo wa chuma jamani
Moses Mwita (Guest) on September 7, 2019
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! π
Rahim (Guest) on September 4, 2019
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
John Lissu (Guest) on July 16, 2019
π Kicheko bora ya siku!
Moses Mwita (Guest) on May 31, 2019
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Fatuma (Guest) on May 20, 2019
π Umeimaliza kabisa!
Irene Makena (Guest) on May 14, 2019
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ€£
Rose Mwinuka (Guest) on May 3, 2019
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
David Nyerere (Guest) on April 8, 2019
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! π
Charles Mboje (Guest) on February 16, 2019
ππ ππ
Catherine Mkumbo (Guest) on February 13, 2019
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! π€£
Binti (Guest) on February 11, 2019
π Nalia kwa kweli hapa!
Mwajabu (Guest) on February 8, 2019
π€£ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
Joseph Njoroge (Guest) on November 19, 2018
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ
Hellen Nduta (Guest) on November 14, 2018
Nimefurahia sana hii! π π
Thomas Mtaki (Guest) on November 2, 2018
π€£π€£ππ
Joy Wacera (Guest) on October 30, 2018
Hii ni bomba sana! π€£π
Samson Mahiga (Guest) on October 17, 2018
π€£π€£π
Rose Lowassa (Guest) on October 10, 2018
Hii ni joke ya kufurahisha sana! ππ
Alice Wanjiru (Guest) on October 7, 2018
Hii imenifurahisha sana! ππ
Stephen Kangethe (Guest) on October 1, 2018
ππ€£ππ
Patrick Akech (Guest) on October 1, 2018
π€£ Kichekesho bora kabisa!
Moses Kipkemboi (Guest) on August 3, 2018
Hii ni dhahabu ya vichekesho! π
David Ochieng (Guest) on August 1, 2018
π Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
Philip Nyaga (Guest) on July 27, 2018
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ππ
Sarah Karani (Guest) on July 8, 2018
ππ
Nora Lowassa (Guest) on June 30, 2018
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Selemani (Guest) on June 26, 2018
π Nitaiiba hii bila shaka!
Brian Karanja (Guest) on June 26, 2018
ππ
Chris Okello (Guest) on June 18, 2018
Kama kawaida! Bado nacheka! π
George Mallya (Guest) on May 23, 2018
Hii imenifurahisha sana! ππ
David Nyerere (Guest) on May 4, 2018
π Nacheka hadi chini sasa hivi!
David Kawawa (Guest) on May 2, 2018
Mna kipaji cha ucheshi! ππ
Victor Malima (Guest) on April 20, 2018
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
Halimah (Guest) on April 5, 2018
π Hii ni hazina ya kichekesho!
David Sokoine (Guest) on March 1, 2018
Nimecheka hadi nina furaha sana! π€£π
Mwagonda (Guest) on February 11, 2018
π Siwezi kuacha kucheka na hii!
Nora Kidata (Guest) on January 17, 2018
ππππ
Kheri (Guest) on January 16, 2018
π Ninaihifadhi hii!
Samuel Omondi (Guest) on December 26, 2017
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! π
Elizabeth Mrope (Guest) on December 4, 2017
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Arifa (Guest) on November 8, 2017
π Siwezi kuacha kucheka!
Alex Nyamweya (Guest) on October 24, 2017
Umetisha! ππ
Husna (Guest) on October 3, 2017
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Philip Nyaga (Guest) on September 15, 2017
π€£ Ninaituma sasa hivi!
Stephen Mushi (Guest) on September 10, 2017
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Mgeni (Guest) on September 5, 2017
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! π―
Wilson Ombati (Guest) on August 24, 2017
π€£π€£ππ
Sarah Karani (Guest) on July 24, 2017
π€£ Sikutarajia hiyo!
Philip Nyaga (Guest) on July 17, 2017
π Ninacheka sana sasa hivi!
Michael Mboya (Guest) on June 22, 2017
ππ
Mary Njeri (Guest) on May 31, 2017
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Azima (Guest) on May 31, 2017
π Umeshinda mtandao leo!
Sharon Kibiru (Guest) on May 27, 2017
π Lazima nihifadhi hii!
Dorothy Nkya (Guest) on May 17, 2017
ππ π
James Mduma (Guest) on April 27, 2017
π Hii ni dhahabu!
Emily Chepngeno (Guest) on April 15, 2017
π€£ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
James Kawawa (Guest) on April 14, 2017
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Nora Lowassa (Guest) on April 10, 2017
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! π
John Malisa (Guest) on March 30, 2017
Kweli ni jokes za ukweli! ππ
Charles Mrope (Guest) on March 1, 2017
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£