Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahamia kwa furaha, lakini furaha yao iliisha walipokuja gudundua nyumba ile iko karibu mno na reli treni ikipita mpaka kitanda kinacheza. Siku hiyo dalali akapita mke akamwita na kumwambia tatizo wakati treni inapita, wakaanza kubishana, yule mama akamwambia dalali kwa kuwa kuna treni itapita sasa hivi… njoo ndani uone mwenyewe. Bahati mbaya wakiwa wamejilaza kitandani ili dalali aone adhabu wanayopata, Mzee mwenye mali alirudi ghafla, akauliza, 'Nyie mnafanya nini hapa?' Masikini dalali kwa woga mkubwa akajibu' Tunangoja treni'
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Christopher Oloo (Guest) on June 13, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on June 8, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mercy Atieno (Guest) on May 21, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

John Mushi (Guest) on May 16, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Chris Okello (Guest) on May 7, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Umi (Guest) on April 23, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Peter Otieno (Guest) on April 9, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Joseph Mallya (Guest) on March 31, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Anna Kibwana (Guest) on March 5, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Margaret Mahiga (Guest) on March 3, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sultan (Guest) on February 26, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Andrew Mahiga (Guest) on February 4, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Josephine Nekesa (Guest) on January 28, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on January 18, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on December 28, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on December 21, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 23, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mary Kidata (Guest) on November 23, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on November 12, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on September 15, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on July 1, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Janet Wambura (Guest) on June 28, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Anna Mchome (Guest) on June 12, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Lydia Mutheu (Guest) on May 10, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Margaret Anyango (Guest) on April 9, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

John Lissu (Guest) on March 27, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

David Ochieng (Guest) on March 17, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

John Kamande (Guest) on March 15, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on March 15, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Abdullah (Guest) on February 13, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Peter Mugendi (Guest) on February 7, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Thomas Mtaki (Guest) on January 21, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on December 28, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on November 25, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Richard Mulwa (Guest) on October 9, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on September 23, 2018

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Ruth Mtangi (Guest) on September 7, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Habiba (Guest) on August 6, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Irene Makena (Guest) on July 19, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Sumari (Guest) on June 30, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on May 20, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on May 3, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Monica Nyalandu (Guest) on April 30, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on April 28, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 14, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Elizabeth Malima (Guest) on March 7, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Anna Mchome (Guest) on February 24, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Isaac Kiptoo (Guest) on February 23, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on February 15, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on February 2, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kangethe (Guest) on January 18, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on January 7, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Neema (Guest) on January 5, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Grace Minja (Guest) on December 24, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Josephine Nekesa (Guest) on November 25, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on November 23, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Samuel Were (Guest) on November 19, 2017

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sarah Karani (Guest) on September 24, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on July 28, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Sarafina (Guest) on July 21, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Related Posts

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

πŸ“– Explore More Articles